Majambazi 13 wauawa Kibiti, wakutwa na Bunduki 8 pamoja na Pikipiki 2

Majambazi 13 wauawa Kibiti, wakutwa na Bunduki 8 pamoja na Pikipiki 2

Rais kashasema walazwe sasa mntaka wawakamate ili iwe nini kesi hatutaki
 
Hell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....

Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......

Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.

Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......
Watu wanasilaha uwakamate kama kuku wewe unaweza? Au raha yenu waue askari wetu?
 
Angalabu waliouawa baadhi yao hawatakosa kuwa na utambulisho. Polisi wachukue nafasi hiyo kuchunguza zaidi kwa lengo la kujua mtandao wao.

Na kama Polisi wamebaini majina yao, wayatangaze .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafakari.......
Picha za bunduki tumeziona, Je picha za majambazi waliouawa tutaziona lini?
 
Wanakosea kuua wote kwa pamoja hawatapata information ya wahalifu waliko wengine zaidi inatakiwa usiue kwanza wanateswa kisawasawa wanawapa habari zaidi then unawapotezaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaitwaje majambazi wakati hakuna rekodi zao za uporaji mali bali mauaji tu!?
 
Kama waliouwawa ndio majambazi kweli basi wapumzike salama
 
Mchana tunapigwa tochi na trafik

Usiku majambaz wanatega magogo

Walevi wa drive km za marck Schumacher hatuna raha[emoji3] [emoji3] [emoji3]

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
nimekusoma mkuu. hata mimi ni mlevi wa speed sana especially ninapokuwa na gari yenye engine kubwa na yenye kuruhusu mbio. nilikuja bongo mara moja nikawa na drive kwenda kijijini, nilipigwa torch zaidi ya kumi. nilivyofika Dodoma tukazinguana na traffic...wakanisweka ndani. wakaniachia baada ya masaa 3 baada ya kuomba niongee na RPC. kwa huko nyumbani tz, raha ya kuendesha gari haipo tena...
 
siro hayo mambo yuko vizuri, operation kimbunga haikumshinda, na hawa magaidi hawatamshinda. safi sana.
 
Hell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....

Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......

Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.

Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......
So clever

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....

Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......

Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.

Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......


Mkuu ulitakaje labda?
 
Lazima Tuungane kama Taifa kupambana na Upuuzi huu
Hawa niwakutokomezwa kimya kimya
 
Back
Top Bottom