Majambazi wapora kwenye benki ya Barclays tawi la Kinondoni TX

Majambazi wapora kwenye benki ya Barclays tawi la Kinondoni TX

271010-bank-robbery.jpg
 
Kila mtu angalie fursa iliyooo iliyopo mbele yake bila kumdhuru mtu physical NAWAPA BIG UP VIJANA tena nawashauro watulie wakafubgue miradi sasam
 
Mara nyingi uizi wa namna hii huwa ni michongo ya wafanyakazi wa benki husika...

Kama alikuwa ana-deposit itakuwa wametoka naye mbali, ila kama aliwithdraw naweza kuwaza kama wewe! Tukio limetokea nje au ndani ya benki?

Kama ni ndani ni ngumu kuamini kwamba ni mfanyakazi wa benki kwa sababu muda ni kidogo sana kupeana taarifa na kuja kufanya tukio, unless walikuwa standby.
 
jamani nashukuru sikuwenda maana ningekabwa koo kwani mm ndo bank yangu hiyo
 
vp hawajasindikizwa na hari na polisi ndo njama chao kwani hiyo benki haina walinzi au wote wale wale
 
Sasa yameporwa mahela ya bank au mahela ya customer? Sijafaham
 
Uchunguzi ufanyike mara moja

Mkuu uchunguzi gani ufanyike wakati Polisi wanawajua hao waliofanya hilo tukio na baadae wanaenda kuchukua fungu lao..! Na kwa vile hawajaua wala kujeruhi basi wanatelezea tu..
 
Watu wasiojulikana wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamevamia benki ya Barclays tawi la Kinondoni na kupora kiasi kikubwa cha fedha ambazo idadi yake haijajulikana mara moja.

Tukio hilo limetokea muda huu saa nne , katika tawi la benki hiyo iliyopo Kinondoni eneo la Bakwata likihusisha watu watatu waliokuwa na pikipiki mmoja wao akiwa na bastola
 
Watu wasiojulikana wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamevamia benki ya Barclays tawi la Kinondoni na kupora kiasi kikubwa cha fedha ambazo idadi yake haijajulikana mara moja.

Tukio hilo limetokea muda huu saa nne , katika tawi la benki hiyo iliyopo Kinondoni eneo la Bakwata likihusisha watu watatu waliokuwa na pikipiki mmoja wao akiwa na bastola

IGP ernest umesikia?wameona mwema kaondoka wameanza tena pesa zinachukuliwa kirahisi tu mabomu yanalipuliwa kirahisi rahisi tu.
 
Mmh hapo pana kitu, ukianzia kwa huyo mama aliyebeba hilo fuko la fedha; Hizo fedha ni zake au za kampuni fulani? Lakini pia kwa upande wa pili hao majambazi walijuaje muda wa kuwasilishwa kwa hizo fedha benki. Lakini pia benki zetu zipoje kiulinzi? Nashindwa kuelewa ktk wakati huu ambao teknolojia ipo juu kusiwepo na mfumo wa kiulinzi wa kufuatilia matukio ndani ya benki na kuchukua hatua za haraka.
 
kumbe walikuwa na target wao kuwa ni huyo mama, basi huo mchezo umeanzia kwa wanaomfahamu huyo mama, leo pande hizo ni full bata tunaipa kuwa ni j.4 kuu.
 
Sikukuu imefika watoto wa kike wanataka skuna, watu hawana kazi, kinachofuata ndio hiko..
 
Back
Top Bottom