Majambazi wapora kwenye benki ya Barclays tawi la Kinondoni TX

Majambazi wapora kwenye benki ya Barclays tawi la Kinondoni TX

Makomandoo wetu huwa wanakosa sehemu za kwenda kujaribiwa kwahiyo huwa wanajijaribu wenyewe.
 
Rpc kinondoni kashindwa kazi anakazi,ya kubanduana tu na ma wp
 
utakubaliana na kova kuwa bodaboda na bajaj katikati ya jiji wanaleta na kuchangia uporaji
 
Tupo mtaani tunaendelea na uchunguzi na kuwatafuta wahusika>soon tutawakamata
 
duh...kova hajafika hapo?
kabanga
===>Utasikia Watu wenye vitu vizito ndio wameiba hapo,tehe tehe
===>Utasikia walikuwa wamevaa tisheti za bluu,nyekundu,nyeupe na zina alama za vidole vikimaanisha "PEACE"
===>Chezea Kouva Weye!
 
Last edited by a moderator:
Kama ni ndani ni ngumu kuamini kwamba ni mfanyakazi wa benki kwa sababu muda ni kidogo sana kupeana taarifa na kuja kufanya tukio, unless walikuwa standby.

Mkuu plan huwa ni za muda mrefu si za kushtukiza, unakuta tokea mlinzi mlangoni hadi wahusika wa masanduku ya fedha wanahusika...

Unless fedha zilizoibwa si za bank bali za mtu aliyetoka kuchukua fedha kwa akaunti yake wakamkwapulia kwa mtindo wa "hit n' run"
 
Rpc kinondoni kashindwa kazi anakazi,ya kubanduana tu na ma wp
Kigogo
===>Mtatoa sana siri zenu,ila zikiwazidi wataomba ip hapa waka -match na line zenu,halafu mtajua maharage mboga au futari
 
Last edited by a moderator:

t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
t5.gif
 
Sijaelewa bado iliyoibiwa ni bank au wamemuibia tu huyo mmama
 
Kama hawajauwa raia siyo mbaya!!!Hongera wa ZEE WA NGWASUMA!!!!
 
BARCLAYS WAWE MAKINI, MAANA BRANCH ZAO NYINGI ZIMEKAA KATIKA MAZINGGIRA YA KUIIBIWA IBIWA., mfano: branch ya tanesco mikocheni.
 
baclays kinondoni branch wazee wa kazi au wazee wa ngwasuma au majambazi.inasemekana wamechukua hela mule bank....nilipigiwa sm nkaambiwa sahvv napita naona watu kibao wa jf...naona huu ni msimu wa majambazi kutafuta hela ya pasaka sjui

-------------------------
zina bima hizo acha tugawane umaskini kama wanavyotuibia huko dodoma
 
Back
Top Bottom