Peter jaluo
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 1,750
- 253
Safi sana KakaJambazi
Mkuu ushaidi unao?Rpc kinondoni kashindwa kazi anakazi,ya kubanduana tu na ma wp
kabangaduh...kova hajafika hapo?
Kama ni ndani ni ngumu kuamini kwamba ni mfanyakazi wa benki kwa sababu muda ni kidogo sana kupeana taarifa na kuja kufanya tukio, unless walikuwa standby.
KigogoRpc kinondoni kashindwa kazi anakazi,ya kubanduana tu na ma wp
kumbe!.
subiri zamu yako sasa,ogopa wasije wakakupiga risasi za manyonyo.maumivu yake usipime.
Hapo, lazima boxer bm 150 imehusika.......
zina bima hizo acha tugawane umaskini kama wanavyotuibia huko dodomabaclays kinondoni branch wazee wa kazi au wazee wa ngwasuma au majambazi.inasemekana wamechukua hela mule bank....nilipigiwa sm nkaambiwa sahvv napita naona watu kibao wa jf...naona huu ni msimu wa majambazi kutafuta hela ya pasaka sjui
-------------------------