utakodi mlinz mara ngapi akupeleke kudeposit?maana waweza kuta mwngne anaweka au kuchukua hela kila ya masaa matatu, huyo mama anatia huruma utakuta watu wake wakaribu ndo wamekula njama!Yupi sasa, aliyewatuma kuiba au aliyemshawishi mama abebe mzigo bila ya ulinzi
Hii ndio tabu ya cash economy!baclays kinondoni branch wazee wa kazi au wazee wa ngwasuma au majambazi.inasemekana wamechukua hela mule bank....nilipigiwa sm nkaambiwa sahvv napita naona watu kibao wa jf...naona huu ni msimu wa majambazi kutafuta hela ya pasaka sjui
-------------------------
usiwape majambazi pongezi kiasi hicho kwani watajua wana wafuasi wanaopenda matendo yao ya kijambazi.....siku ukikutana na majambazi ndiyo utajua uzuri wao kama unavyowapa pongezibora wamepata ridhiki yao, hongera yao kwa kukamata fursa!!
utakodi mlinz mara ngapi akupeleke kudeposit?maana waweza kuta mwngne anaweka au kuchukua hela kila ya masaa matatu, huyo mama anatia huruma utakuta watu wake wakaribu ndo wamekula njama!