Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Shem si yupo😂😂😂😂Kipenzi sipati notification za tag hizo si kutiana hamu [emoji1787][emoji1787] naziogopaga sana hizo story
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shem si yupo😂😂😂😂Kipenzi sipati notification za tag hizo si kutiana hamu [emoji1787][emoji1787] naziogopaga sana hizo story
[emoji1787][emoji1787] Hayupo nisije nikabaka yupo mbali na mimiShem si yupo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nikutag tena ila umejua kunifurahisha sana[emoji1787][emoji1787] Hayupo nisije nikabaka yupo mbali na mimi
[emoji1787][emoji1787] Kweli dear na hali ya hewa hii wallah nabaka nitumie link tag hazifiki kwa app ningekuwa natumia web sawaNgoja nikutag tena ila umejua kunifurahisha sana
Kama yupo mbali nikupe contact ya jambazi la Burundi , hata hizo kazi huwa yanafanya pia ahhhaaah[emoji1787][emoji1787] Hayupo nisije nikabaka yupo mbali na mimi
[emoji1787][emoji1787] Kweli dear na hali ya hewa hii wallah nabaka nitumie link tag hazifiki kwa app ningekuwa natumia web sawa
Shindwaaaaa [emoji1787]Kama yupo mbali nikupe contact ya jambazi la Burundi , hata hizo kazi huwa yanafanya pia ahhhaaah
Kabisaaa, now atakuwa ashapewa wale mabikra tunaoaminishwa humuAahha aendelee kupumzika kwa amani Le mbabazz, super coffee you know
Hakuna jambazi hanae weza pambana na polisi ukiona jambazi hanatamba tambua polisi wako nyuma yaoKwanza hawa jamaa huwa hayavunji milango kuiba tv, hawafanyi huo utopolo. Show zao huwa yanaiba maduka Hadi 30 kwa wakati mmoja, yanafunga mitaa kadhaa.
Ukishindwa kuwapa wanachotaka yatakumaliza na ukiwa yatakumaliza. Yakifanya mauaji yatahakikisha hata msibani kwako watu washindwe kukuaga, hayapigi risasi, yanashusha shoka kichwani kwako.
Ukipiga risasi huwa zinadunda kabisa Kama imepiga chuma. Yanaweza kuteka basi kadhaa kwa wakati mmoja. Kwa kawaida Askari huwa hawapendi kabisa Kuja kusaidia yanaposikia Warundi Wana show sehemu (huwezi kuwalaumu Askari kwa kweli).
Show nyingi huwa yanapiga mikoa ya Kigoma, Kagera, Geita na maeneo ya Shinyanga.
Hakuna jambazi anaeweza pambana na polisi ukiona jambaziKwanza hawa jamaa huwa hayavunji milango kuiba tv, hawafanyi huo utopolo. Show zao huwa yanaiba maduka Hadi 30 kwa wakati mmoja, yanafunga mitaa kadhaa.
Ukishindwa kuwapa wanachotaka yatakumaliza na ukiwa yatakumaliza. Yakifanya mauaji yatahakikisha hata msibani kwako watu washindwe kukuaga, hayapigi risasi, yanashusha shoka kichwani kwako.
Ukipiga risasi huwa zinadunda kabisa Kama imepiga chuma. Yanaweza kuteka basi kadhaa kwa wakati mmoja. Kwa kawaida Askari huwa hawapendi kabisa Kuja kusaidia yanaposikia Warundi Wana show sehemu (huwezi kuwalaumu Askari kwa kweli).
Show nyingi huwa yanapiga mikoa ya Kigoma, Kagera, Geita na maeneo ya Shinyanga.
Jambazi hana uwezo wa kupambana na polisi ukiona jambazi anatamba tambua polisi wako nyuma yao,haiwezekani jambazi atoke Burundi mpaka Shinyanga au geitaYakitoka saiti huwa hayaaminiani yenyewe kwa yenyewe kwa hiyo mtu mmoja anashika bunduki bila risasi mwingine magazine( yenyewe kwa yenyewe risasi zinafanya kazi)
AahaaaaaKwanza hawa jamaa huwa hayavunji milango kuiba tv, hawafanyi huo utopolo. Show zao huwa yanaiba maduka Hadi 30 kwa wakati mmoja, yanafunga mitaa kadhaa.
Ukishindwa kuwapa wanachotaka yatakumaliza na ukiwa yatakumaliza. Yakifanya mauaji yatahakikisha hata msibani kwako watu washindwe kukuaga, hayapigi risasi, yanashusha shoka kichwani kwako.
Ukipiga risasi huwa zinadunda kabisa Kama imepiga chuma. Yanaweza kuteka basi kadhaa kwa wakati mmoja. Kwa kawaida Askari huwa hawapendi kabisa Kuja kusaidia yanaposikia Warundi Wana show sehemu (huwezi kuwalaumu Askari kwa kweli).
Show nyingi huwa yanapiga mikoa ya Kigoma, Kagera, Geita na maeneo ya Shinyanga.
Kuna ukweli na uongo , ukweli yakivamia yanafunga mtaa na mara nyingi wanakuwa na silaha za kijeshi.
Uongo ni kuwa risasi zinadunda mara nyingi opresheni ya kuwamaliza inafanya na jwtz