Majambazi ya Burundi ni habari nyingine

Hakuna jambazi hanae weza pambana na polisi ukiona jambazi hanatamba tambua polisi wako nyuma yao
 
Hakuna jambazi anaeweza pambana na polisi ukiona jambazi
 
Yakitoka saiti huwa hayaaminiani yenyewe kwa yenyewe kwa hiyo mtu mmoja anashika bunduki bila risasi mwingine magazine( yenyewe kwa yenyewe risasi zinafanya kazi)
Jambazi hana uwezo wa kupambana na polisi ukiona jambazi anatamba tambua polisi wako nyuma yao,haiwezekani jambazi atoke Burundi mpaka Shinyanga au geita
 
Kuna ukweli na uongo , ukweli yakivamia yanafunga mtaa na mara nyingi wanakuwa na silaha za kijeshi.
Uongo ni kuwa risasi zinadunda mara nyingi opresheni ya kuwamaliza inafanya na jwtz
 
Aahaaaaa

Tangu lemutuz katutoka umekosa content za kuandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…