rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Nimekuwa kigoma kwenye Kambi ya wakimbizi pia nilikuwa benaco naongea nachokijuaUNAONGEA USICHOJUA WEWE
NENDA KIGOMA UKAE VZR NA WENYEJI UULIZIE DAWA YA RISASI NA KISU KUTOKUIINGIA MWILINI MWAKO.
NI HATARI,
Uongo sehemu ipi?Pitia profile yangu imejaa nyuzi za mambo ya Burundi..Nasemaje wewe ni Muongo mnoo hata
Uzi woteUongo sehemu ipi?
Acha uonho, nimekaa Kibondo walikuwa wanauwa kila siku, yaani wameuwawa sana hawa majambazi wa Burundi.Kwanza hawa jamaa huwa hayavunji milango kuiba tv, hawafanyi huo utopolo. Show zao huwa yanaiba maduka Hadi 30 kwa wakati mmoja, yanafunga mitaa kadhaa.
Ukishindwa kuwapa wanachotaka yatakumaliza na ukiwa yatakumaliza. Yakifanya mauaji yatahakikisha hata msibani kwako watu washindwe kukuaga, hayapigi risasi, yanashusha shoka kichwani kwako.
Ukipiga risasi huwa zinadunda kabisa Kama imepiga chuma. Yanaweza kuteka basi kadhaa kwa wakati mmoja. Kwa kawaida Askari huwa hawapendi kabisa Kuja kusaidia yanaposikia Warundi Wana show sehemu (huwezi kuwalaumu Askari kwa kweli).
Show nyingi huwa yanapiga mikoa ya Kigoma, Kagera, Geita na maeneo ya Shinyanga.
Nimekaa Kibondo, hawa Majambazi kuna siku unaweza sikia wameuwawa 10 hakuna cha risasi kudundaUNAONGEA USICHOJUA WEWE
NENDA KIGOMA UKAE VZR NA WENYEJI UULIZIE DAWA YA RISASI NA KISU KUTOKUIINGIA MWILINI MWAKO.
NI HATARI,
Kweli Kikwete karudi!Kwanza hawa jamaa huwa hayavunji milango kuiba tv, hawafanyi huo utopolo. Show zao huwa yanaiba maduka Hadi 30 kwa wakati mmoja, yanafunga mitaa kadhaa.
Ukishindwa kuwapa wanachotaka yatakumaliza na ukiwa yatakumaliza. Yakifanya mauaji yatahakikisha hata msibani kwako watu washindwe kukuaga, hayapigi risasi, yanashusha shoka kichwani kwako.
Ukipiga risasi huwa zinadunda kabisa Kama imepiga chuma. Yanaweza kuteka basi kadhaa kwa wakati mmoja. Kwa kawaida Askari huwa hawapendi kabisa Kuja kusaidia yanaposikia Warundi Wana show sehemu (huwezi kuwalaumu Askari kwa kweli).
Show nyingi huwa yanapiga mikoa ya Kigoma, Kagera, Geita na maeneo ya Shinyanga.
Risasi kudunda atakua kanogesha uzi tu mazee mbona ni kitu ambacho hakiwezekani kabisa hata kama sijakaa kibondo naelewa hivyo...Nimekaa Kibondo, hawa Majambazi kuna siku unaweza sikia wameuwawa 10 hakuna cha risasi kudunda
Mkuu mimi nina mbwa, nakuomba wewe usiyeogopa nikulete uje angalau uwasalimie kidogoHamna kitu hapo mkuu, Kama vijana watarime wanafukunzwa na mbwa tu North Mara wanatulia
DOhKwanza hawa jamaa huwa hayavunji milango kuiba tv, hawafanyi huo utopolo. Show zao huwa yanaiba maduka Hadi 30 kwa wakati mmoja, yanafunga mitaa kadhaa.
Ukishindwa kuwapa wanachotaka yatakumaliza na ukiwa yatakumaliza. Yakifanya mauaji yatahakikisha hata msibani kwako watu washindwe kukuaga, hayapigi risasi, yanashusha shoka kichwani kwako.
Ukipiga risasi huwa zinadunda kabisa Kama imepiga chuma. Yanaweza kuteka basi kadhaa kwa wakati mmoja. Kwa kawaida Askari huwa hawapendi kabisa Kuja kusaidia yanaposikia Warundi Wana show sehemu (huwezi kuwalaumu Askari kwa kweli).
Show nyingi huwa yanapiga mikoa ya Kigoma, Kagera, Geita na maeneo ya Shinyanga.
Geita sehemu gani ?Kwanza hawa jamaa huwa hayavunji milango kuiba tv, hawafanyi huo utopolo. Show zao huwa yanaiba maduka Hadi 30 kwa wakati mmoja, yanafunga mitaa kadhaa.
Ukishindwa kuwapa wanachotaka yatakumaliza na ukiwa yatakumaliza. Yakifanya mauaji yatahakikisha hata msibani kwako watu washindwe kukuaga, hayapigi risasi, yanashusha shoka kichwani kwako.
Ukipiga risasi huwa zinadunda kabisa Kama imepiga chuma. Yanaweza kuteka basi kadhaa kwa wakati mmoja. Kwa kawaida Askari huwa hawapendi kabisa Kuja kusaidia yanaposikia Warundi Wana show sehemu (huwezi kuwalaumu Askari kwa kweli).
Show nyingi huwa yanapiga mikoa ya Kigoma, Kagera, Geita na maeneo ya Shinyanga.
[emoji1787][emoji1787] Kweli dear na hali ya hewa hii wallah nabaka nitumie link tag hazifiki kwa app ningekuwa natumia web sawa
Hata mimi nawaza, kudunda risasi kunawezekanaje?Risasi kudunda atakua kanogesha uzi tu mazee mbona ni kitu ambacho hakiwezekani kabisa hata kama sijakaa kibondo naelewa hivyo...
Tulivyokua tunakua ndio story hizo ipotezee inaonekana habari za hadithi ya kudunda risasi ujakutana nayo mara nyingi sio kweli ni kunogesha story tu mazee kama movie za Kihindi...Hata mimi nawaza, kudunda risasi kunawezekanaje?