Majanga mengine T.C.U

Majanga mengine T.C.U

Erick zeph Stanley

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2013
Posts
647
Reaction score
72
Wakuu mi nimeshinda kuielewa hii kitu jana juzi na leo asubuhi profile yangu ya tcu ilikuwa vizuri kabisa lakini ajabu nimejaribu kuingia sa hizi nakuta majanga kwamba sijaaply chochote sa nikawauliza baadhi ya wenzangu kama saba hivi wakasema na za kwao hvo hvo sa nkapata utata but nikijaribu kuclick pale kwenye application ili niselect kozi nyingine hapafunguki sa sijajua tatizo nini na wakati huo huo jina langu halipo kwa wale waliokosa chuo during 1st round selection.. Jaribun kuangalia za kwenu wadau
 
Wakuu mi nimeshinda kuielewa hii kitu jana juzi na leo asubuhi profile yangu ya tcu ilikuwa vizuri kabisa lakini ajabu nimejaribu kuingia sa hizi nakuta majanga kwamba sijaaply chochote sa nikawauliza baadhi ya wenzangu kama saba hivi wakasema na za kwao hvo hvo sa nkapata utata but nikijaribu kuclick pale kwenye application ili niselect kozi nyingine hapafunguki sa sijajua tatizo nini na wakati huo huo jina langu halipo kwa wale waliokosa chuo during 1st round selection.. Jaribun kuangalia za kwenu wadau

hata ya kwangu nimeangalia mda huu ipo hivo hivo yan majanga jaman wknd itakua chungu sasa.
 
Hahahaha...nimejaribu kuangalia ya dogo pia naona hivyohivyo na jina lake halimo miungoni mwa yale ya 2nd application na awali ilikuwa sawa, sijui shida itakuwa nini aisee.
 
dedline tayari usihofu kama jana ili kuwa powa basi usijali
 
punguzeni preshw web ya tcu ndivyo ilivyo,very poor,nq safari hii walivyoweka elf 50 nikajua wata improve kumbe ndio yaleyale!
 
Mi naamini ni system failure itajirekebisha tu yenyewe, Ondoa shaka.
 
Aisee hili jambo ni kwa wooote.. Me ninachek hapa imezingua hivyo hivyo.. Nimewachekia washkaj zangu 5 Zikiwemo One nzur tu jambo ni lilelile.. But nimejaribu kuwasiliana na WAJUZI wa mambo wanasema ni matatizo ya MTANDAO SO akanisihi nisiguse chochote bali ni LOG OUT NIWAACHIE TCU WAFANYE YAO
 
Aisee hili jambo ni kwa wooote.. Me ninachek hapa imezingua hivyo hivyo.. Nimewachekia washkaj zangu 5 Zikiwemo One nzur tu jambo ni lilelile.. But nimejaribu kuwasiliana na WAJUZI wa mambo wanasema ni matatizo ya MTANDAO SO akanisihi nisiguse chochote bali ni LOG OUT NIWAACHIE TCU WAFANYE YAO

mi mwenyewe sigusi kitu nsje nkaleta majanga mengine
 
Back
Top Bottom