Erick zeph Stanley
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 647
- 72
Wakuu mi nimeshinda kuielewa hii kitu jana juzi na leo asubuhi profile yangu ya tcu ilikuwa vizuri kabisa lakini ajabu nimejaribu kuingia sa hizi nakuta majanga kwamba sijaaply chochote sa nikawauliza baadhi ya wenzangu kama saba hivi wakasema na za kwao hvo hvo sa nkapata utata but nikijaribu kuclick pale kwenye application ili niselect kozi nyingine hapafunguki sa sijajua tatizo nini na wakati huo huo jina langu halipo kwa wale waliokosa chuo during 1st round selection.. Jaribun kuangalia za kwenu wadau