Mtu unasoma Arts & Social Sciences (CASS) halafu unafeli?
What a shame?!!
LAZIMA UKUBALI MKUU WASTANI40% UNADISCO? JE INGEKUWA 50% KAMA MUCCoBS &SUA INGEKUAJE? YAANI UDSM UKIWA NA COURSEWORK YA 25 TAYARI HUNA SUPP LOL MNAPENDELEWA WASTANI40%
Dah! Mjomba inabidi uache chang'aa maana inakupeleka pabaya.
Mjomba Chan'gaa mbona nilishaacha?
Mtu utasomaje Arts halafu una-disco Mjomba?
unasema SUA wastan wa 50,katika rank ya kimataifa,kimekuwa cha ngap? Hata kwenye mia moja bora hakipo,fikiri kabla hujachangia,.
hahaha wanafunzi 500 mnashangaa??ifm kila mwaka first yr wanadisko zaid ya robo tatu...yan unakuta coz moja wako zaid ya elfu moja afu wakiingia 2nd yr wanabaki 400's..mi sion cha ajabu hapo
Mtu unasoma Arts & Social Sciences (CASS) halafu unafeli?
What a shame?!!
we ar discussing abt UDSM..;!not any COLG lyk sua,mucobs etc
unasema SUA wastan wa 50,katika rank ya kimataifa,kimekuwa cha ngap? Hata kwenye mia moja bora hakipo,fikiri kabla hujachangia,.
Kasome wewe ufaulu
Mjomba Elimu ni Elimu tu usipojipanga lazima ukamatwe. Na sio watu wa kwanza kudisco hawa ni kila mwaka watu wanadisco sema kwa kuwa taarifa watu mlikuwa hamzipati ndio maana imeonekana ni jambo la ajabu sana.
Ivi wewe unasoma darasa la ngapi vile?? Au ni mchora zombi??