Majanga ya Asili: Tukafanye utafiti kwa Wahadzabe na wanaofanana nao ili tufahamu jinsi wanavyotambua majanga haya kabla hayajatokea?

Mkuu,kuna vitu vingine mtu huupuuza na matokeo yake huleta maafa.
Hayayepukiki,lakini kuna uwezekano wa kupunguzwa. Kupunguzwa kwake, ni kuingia gharama na kukubali hasara.
Pichani,ni makazi ya watu. Jiulize, huyo mtu ana miaka mingapi hapo mbele?
Katumia gharama kujenga,lakini ameambulia hasara. Kisa tu,akae mjini.
Jiulize ikinyesha usiku,au kaacha tu watoto! Matokeo yake,serikali inalaumiwa! Kwenye video hapo,utaona mtu kaanika nguo. Hajali,liwalo na liwe.
Kwenye swala la ujenzi,kungekuwep masterplan ya wilaya,ijulikane wapi panafaa ujenzi na wapi hapafai.
Hao watu wana uwezo asilia kugundua,ila ni huko kwao
 

Attachments

  • IMG_20231202_172927_544.jpg
    1,005 KB · Views: 4
  • VID_20231202_173213.mp4
    30.6 MB
  • IMG_20231202_173344_913.jpg
    1.3 MB · Views: 4
  • IMG_20231113_172456_230.jpg
    1.4 MB · Views: 4
Pascal Mayalla
Wewe ni mwandishi mzuri sana, nakushauri uende uhazabeni ukafanye utafiti.
Ukitaka ufadhili useme mapema nitakuunga na wafadhili.
Mkuu Glenn , asante hoja imepokelewa, na ushauri umekubalika, japo mimi sio researcher ila mwandishi yoyote wa habari wa IJ, anaweza kufanya social research yoyote as long as sio scientific research!. Ngoja niifanyie kazi.
P
 
A
ahaaaaaaa
 
Serikali haijatangaza Janga ,Huwa Kuna utaratibu
Kwa hiyo wafe wangapi ndo liwe janga? Waumie wangapi ndo tujue ni janga?
Wangapi wakose makazi ndo serikali itangaze ni janga?
Kama siyo janga, je walijitakia??
Tutajifunza lini kuthamini uhai na maisha ya wenzetu??
 
paschali Kila binadamu ni researcher tofauti ni kwenye methodology. Na waandishi wa habari wazuri ni ma-researcher wazuri
 
Situation Iko controlled
How!?
Mbona wanazungumzia kuunda time ya wataalamu wa miamba?
Mbona mafuriko ya Mozambique na tetemeko Ugiriki walijiongeza?
Anyway subiria siku ya mazishi ya alaiki utaona hao viongozi wako watakavyo uza sura zao na matamko yao ya kuwahakikishia ccm haitoruhusu hilo janga lijirudie!
Shame!
 

Aisee
 
Nyoka, jongoo na wadudu wengine watembeao kwa tumbo pamoja na baadhi ya mijusi ni wanyama wenye uwezo wa kudetect majanga, hata tetemeko la ardhi

Wanyama hawa wana tabia ya kuhama siku 3 mpaka 5 kabla ya kutokea kwa majanga haya

Mababu zetu waliexperience hicho na hata hizi jamii za Wawindaji pia
 
Upo sahihi sana Paschal, indigenous knowledge ni muhimu sana kwenye kutafuta majawabu ya hizi natural disasters.
 
Nnaangaika na kinachonipa ugali mezani hayo mengine angaiken nayo ninyi majiniaz
Wewe msssssenge innocent dependent unapenda kuongea uongo kisa tu dayamondi anakutatua marinda. Wewe matterco lokole tunakujua vizuri shoga wewe mpigwa miti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…