Pia Annunak walikua spiritual being na Immortal sababu waliweza kutumia nguvu za kiroho kuamsha miili yao na kufanya miujiza hiyo ni power ambayo viumbe wote yaani Annunak,Humanoid na reptilian wanayo ila inahitaji code kuatach power na kuamsha nguvu zilizopo ndani yetu ili kufikia high level of Spiritual codes,
Katika historia ya Mwanadamu ni Yesu tu iliyefikia level ya juu mno kiasi kwamba akakirimiwa Uungu kamili yaani yeye na Uungu vilishikana kua kitu kimoja kiasi kwamba huwezi mtenganisha Mungu
(Father of all au the ultimate power iliyofanyiza Ulimwengu na yeye)
Kumbuka sisi ni Spirit tulivaa miili na kuexist katika Dunia katika maumbo pia Annunak nao walivaa miili,pia kuna Chitauli na viumbe wengi katika Ulimwengu wanaexist katika miili ila source yetu ni spirit yaani energy kuu,sisi ni kama mianga katika Ulimwengu wa Roho hatuna Mwanzo wala mwisho yaani ni immortal milele!
Hii ni elimu nyingine tena ya zaidi na inahitaji darasa!