Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hiki unachosema hapa kinahusiana na zile story pendwa za Anunaki? au kuna utofauti ktk haya mambo?Hakuna Ulimwengu utachomwa moto wewe ila mwovu ataondolewa na watakatifu wataulithi milele,
Hii Dunia ipo milele yote haitaangamizwa kama ulikua hujui hata Mungu mwenyewe atakuja kuishi hapa through Jesus Christ yaani ufalme wa Mungu utahamia hapa na mbingu zitafumuliwa au husomi Maandiko wewe?
'Mbingu ni mbingu za Bwana na Dunia amewapa wanadamu' hilo andiko unalielewa kweli ndugu mtumishi?
Mkuu mie huwa nakufuatilia sana hasa ktk zile mada za Anunaki..je hizi story za yesu unazozisema hapa zinaingia pia ktk zile story zako za Anunaki? Kristo na Anunaki kuna connection yoyoteWakristo wa kongo wanakufa kwa sababu ya ujinga wao na kutotambua nafasi zao,
Hata Wakristo wa bongo wanaburuzwa na CCM sababu ya kutojitambua kama wewe hapo,
Kumbuka ukiwa Mkristo ni Kristo anaishi ndani yako na utaishi maisha ya miujiza ila kwa sababu ya ujinga na kutojitambua utaendelea kuburuzwa na Ibilisi kwa kutojitambua hivi Mkristo unaongozwa na Roho Mtakatifu nani atakua juu yako?
Wewe jamaa hujui Injili ni nini!
Hapana ni vitu viwili tofauti Annunak ni viumbe waliokua ni advanced kwenye science na techMkuu mie huwa nakufuatilia sana hasa ktk zile mada za Anunaki..je hizi story za yesu unazozisema hapa zinaingia pia ktk zile story zako za Anunaki? Kristo na Anunaki kuna connection yoyote
Pia Annunak walikua spiritual being na Immortal sababu waliweza kutumia nguvu za kiroho kuamsha miili yao na kufanya miujiza hiyo ni power ambayo viumbe wote yaani Annunak,Humanoid na reptilian wanayo ila inahitaji code kuatach power na kuamsha nguvu zilizopo ndani yetu ili kufikia high level of Spiritual codes,Hiki unachosema hapa kinahusiana na zile story pendwa za Anunaki? au kuna utofauti ktk haya mambo?
Dah ukipata muda njoo na hii mada ili nijifunze kituPia Annunak walikua spiritual being na Immortal sababu waliweza kutumia nguvu za kiroho kuamsha miili yao na kufanya miujiza hiyo ni power ambayo viumbe wote yaani Annunak,Humanoid na reptilian wanayo ila inahitaji code kuatach power na kuamsha nguvu zilizopo ndani yetu ili kufikia high level of Spiritual codes,
Katika historia ya Mwanadamu ni Yesu tu iliyefikia level ya juu mno kiasi kwamba akakirimiwa Uungu kamili yaani yeye na Uungu vilishikana kua kitu kimoja kiasi kwamba huwezi mtenganisha Mungu
(Father of all au the ultimate power iliyofanyiza Ulimwengu na yeye)
Kumbuka sisi ni Spirit tulivaa miili na kuexist katika Dunia katika maumbo pia Annunak nao walivaa miili,pia kuna Chitauli na viumbe wengi katika Ulimwengu wanaexist katika miili ila source yetu ni spirit yaani energy kuu,sisi ni kama mianga katika Ulimwengu wa Roho hatuna Mwanzo wala mwisho yaani ni immortal milele!
Hii ni elimu nyingine tena ya zaidi na inahitaji darasa!