TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari wadau..!
Maisha yana majaribu sana ,jamaangu kakopa mkopo bank akafungua duka pale kariakoo na mzigo wote umeungua huku nyumba yake pale Kimara inangoja kubomolewa .
Hakika majaribu ni mtaji ,Mungu ampe tu wepesi mzee Massawe[emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo imoji za kucheka zinaashiria nini..kama sio unafiki?Habari wadau..!
Maisha yana majaribu sana ,jamaangu kakopa mkopo bank akafungua duka pale kariakoo na mzigo wote umeungua huku nyumba yake pale Kimara inangoja kubomolewa .
Hakika majaribu ni mtaji ,Mungu ampe tu wepesi mzee Massawe[emoji23][emoji23][emoji23]
Anamkebehi MassaweMbona kama umeandika kwa furaha?
Au no utani tu
Kila penye majaribu kama haya,Mungu huwrka upenyo ambao ni wajibu wako kuutafutaHabari wadau..!
Maisha yana majaribu sana ,jamaangu kakopa mkopo bank akafungua duka pale kariakoo na mzigo wote umeungua huku nyumba yake pale Kimara inangoja kubomolewa .
Hakika majaribu ni mtaji ,Mungu ampe tu wepesi mzee Massawe[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo sijaona mtaji, badoHabari wadau..!
Maisha yana majaribu sana ,jamaangu kakopa mkopo bank akafungua duka pale kariakoo na mzigo wote umeungua huku nyumba yake pale Kimara inangoja kubomolewa .
Hakika majaribu ni mtaji ,Mungu ampe tu wepesi mzee Massawe😂😂😂
Kwa furaha hii uliyokuwa nayo, hukuwa na haja ya kufungua uzi.Habari wadau..!
Maisha yana majaribu sana ,jamaangu kakopa mkopo bank akafungua duka pale kariakoo na mzigo wote umeungua huku nyumba yake pale Kimara inangoja kubomolewa .
Hakika majaribu ni mtaji ,Mungu ampe tu wepesi mzee Massawe😂😂😂
Na kasema ni jamaa yake [emoji849]Kwa hizo emoji inaonesha kwa kiasi gani uwezo wako wa kufikiri ulivyo mdogo, lakini zaidi ya yote acha roho mbaya.
Ni ishara ya kwamba labda sio habari ya kweli, ni tungo tu.Hizo imoji za kucheka zinaashiria nini..kama sio unafiki?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni kweli mkuu umebarikiwa roho mbaya, yaani ukaweka na emoji ya kicheko kuonesha furaha. Khaa...Habari wadau..!
Maisha yana majaribu sana ,jamaangu kakopa mkopo bank akafungua duka pale kariakoo na mzigo wote umeungua huku nyumba yake pale Kimara inangoja kubomolewa .
Hakika majaribu ni mtaji ,Mungu ampe tu wepesi mzee Massawe😂😂😂
Kwanini unamcheka mtu ambaye kapata matatizo makubwa?Habari wadau..!
Maisha yana majaribu sana ,jamaangu kakopa mkopo bank akafungua duka pale kariakoo na mzigo wote umeungua huku nyumba yake pale Kimara inangoja kubomolewa .
Hakika majaribu ni mtaji ,Mungu ampe tu wepesi mzee Massawe[emoji23][emoji23][emoji23]
akinuna inasaidia nini,kuna vicheko vya huzuniMbona kama umeandika kwa furaha?
Au no utani tu