Majaribu ni mtaji. Kuna jamaa ana duka Kariakoo limeungua halafu ana nyumba pale Kimara na amepokea notisi ya kubomolewa

Majaribu ni mtaji. Kuna jamaa ana duka Kariakoo limeungua halafu ana nyumba pale Kimara na amepokea notisi ya kubomolewa

Kwani kigumu hapo ni nini maana moto na bomoabomoa havihusiani kabisa,cha msingi arudi kwa mganga wake wayajenge kwani inaonekana amekuwa mbishi kuwapatia wazee damu
 
Habari wadau..!

Maisha yana majaribu sana ,jamaangu kakopa mkopo bank akafungua duka pale kariakoo na mzigo wote umeungua huku nyumba yake pale Kimara inangoja kubomolewa.

Hakika majaribu ni mtaji, Mungu ampe tu wepesi mzee Massawe[emoji23][emoji23][emoji23]
Unachekelea mitihani ya mwenzio? Typical looser. Amini, atasimama tena.
 
Habari wadau..!

Maisha yana majaribu sana ,jamaangu kakopa mkopo bank akafungua duka pale kariakoo na mzigo wote umeungua huku nyumba yake pale Kimara inangoja kubomolewa.

Hakika majaribu ni mtaji, Mungu ampe tu wepesi mzee Massawe[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii roho ya kuzimu huwa mnatoa wapi wenzetu? Mbona mi hata nikijitahidi kuitafuta siipati?
 
Ukisikia jini kisirani limekudondokea ndo hii sasa
 
Kuna mama alikuwa akiimba mtaisoma namba.Akatumbuliwa vyeti feki ajakaa sawa akachezea hasira za jiwe kimara kubomolewa nyumba yake.
Yaani alipigwa two in one.
 
Back
Top Bottom