gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Wateule hawaamini harakati za kizayuniNoma sana
Eeh bwana, tunasubiri warushe jiwe Iran tushangilieTaifa teule limetelekezwa na mungu waooo
Hivi mbona sisi kambi zetu zote zinaonekana Google earth, Mr. Slim akiamua kufanya yake si anatumaliza?Israel iliwashikilia raia wake zaidi ya sita, akiwemo askari muasi wa jeshi,kwa tuhuma za kufanya ujasusi ndani ya israel kwa ajili ya Iran.
Watuhumiwa hao walipiga picha kambi za jeshi, taarifa za watu mahsusi kwa ajili ya mauaji na kuzituma Iran kwa njia ya siri(code) waliyopewa na Iran
NB:
kwenye ujasusi hakuna aliye salama
Pesa haina jinsia wala rangiIsrael iliwashikilia raia wake zaidi ya sita, akiwemo askari muasi wa jeshi,kwa tuhuma za kufanya ujasusi ndani ya israel kwa ajili ya Iran.
Watuhumiwa hao walipiga picha kambi za jeshi, taarifa za watu mahsusi kwa ajili ya mauaji na kuzituma Iran kwa njia ya siri(code) waliyopewa na Iran
NB:
kwenye ujasusi hakuna aliye salama
Sio jiwe hata puto hawatarushaEeh bwana, tunasubiri warushe jiwe Iran tushangilie
Huyo Mr slim anavyopaishwa kama wanavyopambwa waisrael yani mbwembwe vita wanapigana na wanamgambo, kwa Iran mpaka leo anajishauriaingieje baadaya kushushiwa missiles za kufa mtu,, Mr slim wanyonge wake jeshi la Congo lisilokuwa hata na nidhamu ya jeshi, proxy wake m23,, waliyakanyaga mwaka 2013 kwa afande mwakiborwa, walichokutana nacho hawatakisahauHivi mbona sisi kambi zetu zote zinaonekana Google earth, Mr. Slim akiamua kufanya yake si anatumaliza?
ROSTAM AZIZI AWEZI KUKUBALI...Hivi mbona sisi kambi zetu zote zinaonekana Google earth, Mr. Slim akiamua kufanya yake si anatumaliza?