Majasusi wa Urusi (FSB) wambaini m-Ukraine aliyetega bomu Urusi na kumuua binti mwandishi wa habari (Darya Dugina)

Naunga mkonyo
 
Hizo radioactive Urusi wanajua sana kuzitumia asee. Utafikiri zimewekwa ardhini kwa ajili yao.
 
Naona unabwatuka tu hapa,uko mis informed unadandia dandia tu mada!Nimekwambia weka link au source ya hiyo habari Putin alitangaza siku 3,au hiyo ya Miezi 6!
Naomba Huo ushahidi wa Ukraine kupewa Long range missiles zinazoweza kufika Moscow!
US mwenyewe alisema hatotoa long range missile,wewe hiyo taarifa umeitoa wapi?
Eti bajeti imeisha,kumbe kweli napoteza muda Kwa kilaza!Hiyo bajeti kuisha ni Kwa mujibu wa nani?Maana mfano Kwa mafuta na gas,Sasa hivi Russia ndio anapata Hela nyingi zaidi ya kabla ya vita!Huko Ulaya na Marekani wananchi ndio wanalia Kwa inflation!Sasa wewe unaongea porojo gani?
Ukraine anasaidiwa na mataifa zaidi ya 30 Kwa Silaha,manpower, training na intelejensia lakini Bado anachapika field!Bila msaada wa mataifa hayo 30,operation ingekuwa imeisha!
Us aliingia Syria Ili ampindue Assad,baada ya Russia kuona hivyo naye akaingia kumsaidia Assad!Tuambie mwaka wa ngapi huu US Bado anambwela?
Naona niachane na wewe nimegundua napoteza muda tu!

 
Huo Muda wa kutoa maelezo yote hayo ungekua unapiga Cha 3 Sasa hivi.Hayaelewagi hayo.
 
Tangu ule msafara wa km 40 wa vifaru ugeuzwe vyuma chakavu,hakuna kitu nitawaelewa Urusi kuhusu Kyiv.Tutafika hadi December na Kyiv itakuwa imesimama imara.
 
Hivi ni nchi gani ambayo haiwezekani kabisa mtu kuingia na kuua na kuondoka bila kukamtwa!
haipo ila sio kwa mipango ya kitoto kama unayoifikiria hasa kwa kipind hiki Urusi yupo vitan na anajua anything can happen at any time so amejiboresha sana ki intelligence , so inakuwa aibu kubww kwa mdada kuingia ndan ya Urusi na kufanya matukio na kufanikiwa kutoka nje ya Urusi
 
Zingine hizi ni hadithi za vijiweni
 
una uhakika gan kama anaeza kuwa ni jasusi la hao anao wakimbia , WEST sio wakurupukaj kama Putin , wenyew wanakuambia hawana adui wa kudumu
 
unapotoa mifano angalia na zama za matukio husika , kwa kipind hiki ni risk sana kumuua huyo mama maana anaeza kuwa chambo ya kuwasaka hao mnaohisi watamsaka bibie , ukiwa msomaj bila reasoning hutolewa vingi , so ni ngumu sana Urusi kutuma yeyote kwenye mipaka ya nchi za west na usitegemee huyo dada atakuwa anaishi Ukraine kwa kipind hiki , na ndio maana katokea Estonia nchi mshirika wa NATO ili Urusi ajichanganye tu , kiufupi Kila nchi huja na ripoti kila baada ya matukio makubwa na hiyo ripoti haimaanish wataeza mkamata , Huyo dada anaielewa Urusi zaid yako na ndio maana kafanikiwa kuunda plan na akafanikiwa kutoka nje ya Urusi , mbali na yote ungekuwa timamu lazima ungeelewa kuwa ndani ya URUSI yapo mashushu ambayo yamemsaidia huyu dada kwa mambo mengi sana , na ubora wa Urusi ungeanzia kweny kuwashika hawa mashushushu kama hawawez bas hawatoweza mshika huyo dada
 
Tumia akili yako vzr na jibu ushajipa kuwa baada ya kumuua walibakia hujiuliz tu kuwa target haikuwa Osama bali walikuwa na yao na ndo waliendelea nayo , yaan wabongo kaz kwel ushabiki mwingi hata unapopajua kuwa ni ukweli
 
chai hii itaungua iondoe utam sasa , ipua wanywe warus wa buza
 
Tumia akili yako vzr na jibu ushajipa kuwa baada ya kumuua walibakia hujiuliz tu kuwa target haikuwa Osama bali walikuwa na yao na ndo waliendelea nayo , yaan wabongo kaz kwel ushabiki mwingi hata unapopajua kuwa ni ukweli
Wewe ndiye utumie akili vizuri,Ulisema sio kwamba walikuwa hawajui alipo ila walikuwa wanatafuta sababu ya kubaki!Mimi nikajenga hoja kwamba US haitaji sababu ya Osama ila abaki afgan!Kama angempata na kumuua hata mwezi wa 1 basi angetafuta tu sababu ya magumaahi kubaki Ili aendelee kupora!
Nakazia kwamba walikuwa hajui alipo na walipompata wakamuua!Yaani Bush ajue Osama alipo halafu akaushe eti asubiri sifa ipate regime ya Obama!Hauko serious
 
Wangeenda kuua walau top ranking officer ningekuelewa,ila unaenda kumuua mtu asiye na ulinzi,mwandishi wa habari Tena mwanamke,halafu unataka credit na kusema Russia wazembe!Sikuelewi
 
Tangu ule msafara wa km 40 wa vifaru ugeuzwe vyuma chakavu,hakuna kitu nitawaelewa Urusi kuhusu Kyiv.Tutafika hadi December na Kyiv itakuwa imesimama imara.
Baada ya kupotea,umerudi Tena!Yaani hata ifike mwaka 2025 na Bado Kyiv ikaendelea kusimama,Cha malengo yafikiwe!
US Kapigana Afgan miaka 20 lakini hajafanikiwa na kaondoka Kwa aibu!
 
Tangu ule msafara wa km 40 wa vifaru ugeuzwe vyuma chakavu,hakuna kitu nitawaelewa Urusi kuhusu Kyiv.Tutafika hadi December na Kyiv itakuwa imesimama imara.
Hii sentensi ya mwisho ungeiandika kwa herufi kubwa. Kyiv haitaanguka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…