GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #221
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu acha kufananisha Israel na vitu vya kijingaIsrael inaukubwa gani??mbona inawatesa waarabu wote wa asia
Hapo Malawi Mtanzania anaogopwa sana ndio tatizo kubwa, na hata hili swala la hao jamaa kukamatwa, limechochewa na uoga na mtu mmoja kuutaka umaarufu aonekane yuko makini, kamera na kutembea kundi, ni vitu secondary sana.Kubeba kamera sawa but the issue is kukamatwa kwa pamoja kama kuku, this's a jerk guys!!!
Israel siyo malawi na huwezi kulinganisha hivyo vitu viwili. Israel imekomazwa na vita, malawi kapigana vita ipi? Israel imeendelea kiteknolojia kiasi cha kuzalisha drones, ndege za kivita na silaha mbalimbali wakati mmalawi sijui anazalisha nini ukiachana na mbewa!Israel inaukubwa gani??mbona inawatesa waarabu wote wa asia
Hata makosa waliyosomewa ni trespassing na siyo espionage, ni mambo yanayochochewa na kikundi kidogo cha watu pamoja na mitandao.Sidhani kama watakua majasusi, inawezekana ikawa ni wananchi wa kawaida walioingia kinyume cha sheria malawi
Umekurupuka kucomment jipe muda utafakari jibu langu,acha tabia ya kukurupuka kabisa hivi unataka kunambia Iran haina technologia,Saudi Arabia je,acha kabisa tabia za kukurupuka na rudia tena soma uelewe kinacho zungumzwaIsrael siyo malawi na huwezi kulinganisha hivyo vitu viwili. Israel imekomazwa na vita, malawi kapigana vita ipi? Israel imeendelea kiteknolojia kiasi cha kuzalisha drones, ndege za kivita na silaha mbalimbali wakati mmalawi sijui anazalisha nini ukiachana na mbewa!
Vitu vya kijinga ndio vipi??nakushauri pia acha kuwa na mawazo mfuMkuu acha kufananisha Israel na vitu vya kijinga
Stupidity(Ujinga) - Lack of knowledge and understanding as defined by Mr Sugu.Kumbe neno Ujinga nalo ni tusi? Nilikuwa sijui hilo Mkuu. Kwahiyo kumbe hata Mwenyezi Mungu nae basi ana matusi kwani kama Wewe ni msomaji mzuri wa Maandiko yake yaliyomo katika Vitabu vyake ( sisi Wakristo Biblia ) maneno kama Mjinga na Mpumbavu yametumika / ameyatumia mno. Naomba ufafanuzi wako katika hili Mkuu ili nijue kuwa napoteza muda wangu kwa Genius au J.U.H.A. tu!
Ungeongea hoja kwa hoja Nilizotoa. Kukurupuka umekufanya wewe, mimi nimesema Israel imekomazwa na vita, ungetolea mfano kwamba malawi imepambana na nani? Nikasema Israel ina Teknolojia, ungetolea mfano kuwa Malawi ina teknolojia ya aina ile na ile. Iran sijui Saudia, zimeanza kubuni teknolojia baadae lakini mwanzoni zilitegemea zaidi manunuzi kutokana na uwezo wa kifedha uliotokana na mafuta. Israel walianza ubunifu miaka mingi, ukitaka kuthibitisha hilo, soma mapambano yao dhidi ya Manazi walioua wayahudi pale walipoanza kulipiza visasi,kabla hata ya kuundwa kwa Mossad, zana walizokuwa wakibuni na kuzitumia, ndipo utakapoelewa kuwa wewe ndie uliekurupuka.Umekurupuka kucomment jipe muda utafakari jibu langu,acha tabia ya kukurupuka kabisa hivi unataka kunambia Iran haina technologia,Saudi Arabia je,acha kabisa tabia za kukurupuka na rudia tena soma uelewe kinacho zungumzwa
Kumuelewesha chizi unajipakazi,narudia tena acha kukurupuka hakuna mahala nimefananisha nguvu ya teknolijia malawi na israel ila nilitaka kumjibu mmoja wa wadau aliye kebehi kuwa malawi ina lingana na dar ni rahisi kuipiga yaani kirahisi na mimi nikampa mfano mzuri tu kama ukubwa wa eneo ni sababu why waarabu wote wanamgwaya israel!!wewe nae unakurupuka kama umetoka kwenye fumanizi na chupi mkononi unakimbilia kuanika utupu wako hapa kazi ya kichwa sio kufugia nyweleUngeongea hoja kwa hoja Nilizotoa. Kukurupuka umekufanya wewe, mimi nimesema Israel imekomazwa na vita, ungetolea mfano kwamba malawi imepambana na nani? Nikasema Israel ina Teknolojia, ungetolea mfano kuwa Malawi ina teknolojia ya aina ile na ile. Iran sijui Saudia, zimeanza kubuni teknolojia baadae lakini mwanzoni zilitegemea zaidi manunuzi kutokana na uwezo wa kifedha uliotokana na mafuta. Israel walianza ubunifu miaka mingi, ukitaka kuthibitisha hilo, soma mapambano yao dhidi ya Manazi walioua wayahudi pale walipoanza kulipiza visasi,kabla hata ya kuundwa kwa Mossad, zana walizokuwa wakibuni na kuzitumia, ndipo utakapoelewa kuwa wewe ndie uliekurupuka.
Malawi haina mafuta, haina uzoefu kivita, uchumi wake mdogo, una kipi kinachojustify kuilinganisha na Israel? Rwanda ambayo imetolewa mfano na baadhi ya wazungumzaji humu, iko level zingine tofauti na haiwezi kulinganishwa na Malawi. Haya leta hoja za msingi na sio kuongea kwa mihemko.
Sasa kwa kauli kama hizo hapo ulizoweka, ni nani chizi kati yangu na wewe? Tunaongelea Malawi na Israel, wewe unazungumzia fumanizi, mara chupi, una akili timamu kweli?Kumuelewesha chizi unajipakazi,narudia tena acha kukurupuka hakuna mahala nimefananisha nguvu ya teknolijia malawi na israel ila nilitaka kumjibu mmoja wa wadau aliye kebehi kuwa malawi ina lingana na dar ni rahisi kuipiga yaani kirahisi na mimi nikampa mfano mzuri tu kama ukubwa wa eneo ni sababu why waarabu wote wanamgwaya israel!!wewe nae unakurupuka kama umetoka kwenye fumanizi na chupi mkononi unakimbilia kuanika utupu wako hapa kazi ya kichwa sio kufugia nywele
Hunakazi ya kufanya wewe endelea kubishana sina muda wakupoteza huoSasa kwa kauli kama hizo hapo ulizoweka, ni nani chizi kati yangu na wewe? Tunaongelea Malawi na Israel, wewe unazungumzia fumanizi, mara chupi, una akili timamu kweli?
Ni heri hata ungekaa kimya tu. Na unaposema ukubwa wa eneo hauamui matokeo ya kivita au uwezo wa nchi, hilo lina maana gani kama hutahusisha uchumi, nguvu ya kijeshi, teknolojia au uwezo kivita?
Hebu nieleweshe sasa, ulikuwa unakusudia kusema nini?
Una maneno weye...Mwambie Mumue hapo juu atutafsirie na asidhani wote tumeishi Ulaya kama yeye wakati Watu wengine humu tumuzaliwa Matombo na kukulia Kihonda na hiyo lugha kwetu ni mtihani kuielewa. au kama vipi Wewe Mkewe sasa tudhihirishie kuwa upo vizuri kwa Ngeli kama Mumeo au pengine hata kumzidi na ututafsirie huo Ung'eng'e hapo kwani si wa ki spoti spoti.
Hata Wamalawi wana majasusi wao humo nao wanajifanya wachimbaji one mistake 100 goalsSasa majasusi gani wanatembea kwa pamoja .
.au masomo waliyofundishwa hawakuzingatia ..ujasusi mission kama iyo inabid mtu ajifanye kuomba kaz hapo hapo na kujifanya mmalawi wa asili
....au ndio huwa hawasomi mossad wanavofanya kazi