Metsada
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,456
- 867
wewe unajua nini kuhusu ujasusi?????Kwani haiwezekani au hujui?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe unajua nini kuhusu ujasusi?????Kwani haiwezekani au hujui?
We jamaa umenichekesha sana!!Wanatembea kwa pamoja kama nyumbu sasa huo ndio ujasusi au utalii ....eeeeeh ..
Asante mkuu uchungu wakuzaliwa kwenye hii nchi tumebakia nao watanzania wachache sana nakupongeza pia kwa ujasiri wa kuleta hii mada hapa jukwaani,tuukatae unafiki wa wacache wanao taka kuhodhi hii nchi kwa kutugawa katika kila nyanja,msimamo wa baba wataifa na mapungufu yake yote tunge ukubali na kuacha kumuenzi kinafiki tungekuwa mbali sana kimaendeleo kama wenzetu wa uchina lakini tumekataa ukweli na kufata uongo tunaoupenda!! Tuko pamoja mkuuMkuu nimependa huu mchango wako hadi natamani nikufahamu tu nikupe Zawadi. Laiti baadhi yetu humu JF tungekuwa na IQ hii nzuri na iliyotukuka ya huyu Jamaa wengine wala tusingepata taabu kuwafundisha Watu jinsi ya kufikiri na kujenga hoja. Mkuu nimekukubali mno na nakubalina na ulichokiandika kwa 100%. Tunaoijua nchi ilipotoka, ilipokuwa na inapoenda tumekuelewa mno na akhsante kwa kufunguka Kiume kabisa huku ukisema ukweli ambao naamini utakuwa mchungu kwa wahusika. Kula like yangu tafadhali!
Hata hivyo tumeshamsamehe bureNi dalili za uropokaji izo. Hajuwi alisemalo
Mkuu upo vizuri sana. Big up [emoji1]Mawazo yameheshimiwa Mkuu, ila kuna kitu lazima ujifunze mambo Haya kiundani sana, weakness yako kubwa ni Ku JUDGE haraka bila kuwa na ushahidi wa kina.
Tafuta kuna Uzi uko humu toka jana angalau aliyeuleta alileta habari yote ilivyoandikwa.
Wewe unachokifanya hapa ni kuleta Propaganda dhidi ya TISS ilhali kipaumbele hapa ni utaifa kwanza.
Huwezi kuthibitisha kuwa waliokamatwa ni Majajusi wakati hata kule Malawi hawajathibitisha kupitia vyombo rasmi ila wewe hapa ushathibitsha na kuanza kutoa hukumu.
Halafu kwa Elimu ndogo tu ni kuwa mara nyingi Agents wanapokamatwa huwa hawatoi habari hovyo hovyo,
Mfano Leo Tanzania ikamate Agents wa Malawi halafu OCD wa Tunduma ndio atoe taarifa kwa umma.
You must be an Intelligent in this things
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Wanatembea kwa pamoja kama nyumbu sasa huo ndio ujasusi au utalii ....eeeeeh ..
[emoji1] [emoji1] mwenyewe napatwa na wasiwasi,sio wavuvi kweli hao walikua wanavua ziwa Nyasa!!!!Acheni utani, yaani Tanzania ikachunguze kama Malawi wanatengeneza silaha za nuclear?
[emoji125] [emoji125]Cette notion n'est pas toujours exacte.
Jamani acheni hizi porojo kwa kweli; mtu akitaka kufanya ujasuri maeneo kama hayo haiwezekani kufanya hivi. Kama ni kweli ni majasusi wanahitaji kufukuzwa!Kazi imeanza haya wenye Kazi zenu hizi za Kijasusi ambao najua mpo wengi mno humu JF na mmejazana hebu tupeni ukweli wa hii taarifa ya Serikali ya nchini Malawi kuwa imewakamata Majasusi wanane ( 8 ) wa Kitanzania wakiwa wanafanya Ujasusi wao.
View attachment 450785
Source: Gazeti la The Citizen la leo tarehe 27, December 2016 tena ipo front page kabisa.
Je tunaweza pia kuwajua hao Watanzania Majasusi waliokamatwa kwani yawezekana kuna wengine ni Wategemezi wetu wa Kimaisha.
Nawasilisha.
Yeah sure!!Ni ka mji kadogo kanakohudumiwa na mji wa Kyela kwa mahitaji mengi. Kuna high unemployment rate kama maeneo mengi ya malawi. Mabinti hujiuza ili waishi.
Ndo wanatujasusi hivyo humuNyie nn tena mnaongea wenyewe tu
Nimejiuliza sana hili swali, but till now nahang tuu bila jibu, emb kina nanihiii mtusaidie hapaNiulize tu, tukijua wanatengeneza tunafanyaje? Au na sisi tutatengeneza au kuwashitaki??
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125]Katika saikolojia ukiona mtu anaandika lugha ya kigeni kwenye jambo la msingi labda utakuwa unatuona malodilofa au unatu snowden
Au ndo wameanza course wako wanapractise ,waache wanafunzi hawa!!!Usisumbuke nao Mkuu unaweza ukadhani hao ni Watu tofauti tofauti wanatiririka na hicho Kifaransa chao ila nikuhakikishie tu kuwa huyo ni Mtu mmoja. JF ni zaidi ya uijuavyo Mkuu!
Kubeba kamera sawa but the issue is kukamatwa kwa pamoja kama kuku, this's a jerk guys!!!Harafu eti wapelelezi na walikuwa wamebeba camera !!!!!!!!!????
Mwenyewe hainiingii akilini, risasi yenyewe sijui kama wanaproduce wenyewe!!!Kuna mtu anaamini ujinga huo? Nuclear Malawi?
Israel inaukubwa gani??mbona inawatesa waarabu wote wa asiaSio rahisi hivyo makomambo kukamatwa kijinga ivo especially watanzania,hizo ni propaganda za Malawi,kanchi kenyewe kama Dar es salaam Kwa ukubwa
Israel inaukubwa gani??mbona inawatesa waarabu wote wa asia