Majasusi wabobezi 8 wa Kitanzania wakamatwa nchini Malawi

Majasusi wabobezi 8 wa Kitanzania wakamatwa nchini Malawi

Malawi wanaitamani Tanzania wanapewa kichwa sana sijui na nani! Chokochoko tangu mdaaa

Kuna vita kubwa ya Kimaslahi na ambayo inahusisha Super Powers watatu na ndiyo chanzo cha haya yote Mkuu. Malawi wanapewa Kiburi na Jeuri na Marekani na Ujerumani huku wao wakichukizwa na Kitendo cha Tanzania kuwakumbatia sana Wachina katika Sekta mbalimbali hasa za Kiuchumi kitu ambacho kimewaudhi mno kwani hata Wao walitamani mno kupewa nafasi ya kutoa msaada wao wa kutuwezesha Watanzania kuitumia Uraniam yetu lakini walipogundua tu kuwa sisi Kipaumbele chetu ni kwa Wachina sasa wanapenyeza chuki zao dhidi yetu Tanzania indirectly kabisa kupitia Malawi na taasisi zake Nyeti.

Na usisahau juzi kati tena hapa nchi ya Urusi nayo ilionyesha nia ya kuitumia Uranium yetu iliyogundulika kitendo ambacho kinaweza kuwaweka Strategical Friends China na Urusi pamoja kitu ambacho kitawaathiri sana Marafiki wakuu wa Ulaya Marekani na Wajerumani hasa Kiuchumi.

Naomba niishie hapa na niwaachie wengine nao waweze kutiririka Mkuu.
 
Mkuu lakini kwa uzoefu wako inakuwaje majasusi 8 washikwe kwa pamoja hapa ndipo nimekuwa na mashaka na uwezo wao utakuwa ni Mdogo sana.
hiyo mwulizeni yeriko nyerere na kitabu chake ipo ukurasa gani? hahahaha elimu za kibongo bwana. atu kamtu kamesoma sijui kwenye gazeti gani sijui kwenye mtandao gani, kamejifanya kutunga kitabu cha ujasusi. na kenyewe kamebobea kwenye ujasusi. ile kesi yake kisutu imeisha? na hachomoki pale ili akafanye ujasusi gerezani.
 
Kuna vita kubwa ya Kimaslahi na ambayo inahusisha Super Powers watatu na ndiyo chanzo cha haya yote Mkuu. Malawi wanapewa Kiburi na Jeuri na Marekani na Ujerumani huku wao wakichukizwa na Kitendo cha Tanzania kuwakumbatia sana Wachina katika Sekta mbalimbali hasa za Kiuchumi kitu ambacho kimewaudhi mno kwani hata Wao walitamani mno kupewa nafasi ya kutoa msaada wao wa kutuwezesha Watanzania kuitumia Uraniam yetu lakini walipogundua tu kuwa sisi Kipaumbele chetu ni kwa Wachina sasa wanapenyeza chuki zao dhidi yetu Tanzania indirectly kabisa kupitia Malawi na taasisi zake Nyeti.

Na usisahau juzi kati tena hapa nchi ya Urusi nayo ilionyesha nia ya kuitumia Uranium yetu iliyogundulika kitendo ambacho kinaweza kuwaweka Strategical Friends China na Urusi pamoja kitu ambacho kitawaathiri sana Marafiki wakuu wa Ulaya Marekani na Wajerumani hasa Kiuchumi.

Naomba niishie hapa na niwaachie wengine nao waweze kutiririka Mkuu.
ukifika mazingira kama hayo, ndipo utajiuliza kwanini vikundi vingine vinakuwa masikini lakini vinakuwa na silaha nzito kupigana na serikali, ni kwasababu kuna mkubwa mmoja mwenye maslahi anasupply. katika hili tz inabidi tuwe makini...tuboreshe tiss yetu na tuwe makini katika uchaguzi wa rafiki. lazima tuforesee. historia inaonyesha hakuna aliyewakumbatia russia na china akaishia pazuri. syria ni mfano tosha. ila kwa wote waliokuwa pro westerners mwisho wao huwa ni mzuri. mfano ni kenya na nchi zingine za kibepari africa. hivyo, kama ikiwezekana, tuwapige tu chini wachina na warusi tujiunge na waulaya magaribi, na kama urusi na china watang'ang'ania kutugana, basi welete dau la kueleweka litakalofuta machozi zote ya usumbufu na vita baridi. la sivyo, piga chini twenzetu kwa wamagaribi.
 
Majasusi wenyewe ni wanaccm tena ukiwaunajua ukimbelembele,ujasusi ulikuwa kwanyerere ukafia kwa Mzee Mwinyi maana Mkapa aliuza tiss kupitia NBC,Kikwete akawa anatafuta wapambe na watoto wa vigogo wenzie anawapa kazi awamu yanne ilikuwa sifa kujifanya usalama wa taifa yaani mtu anaona proudoff wakati yuko kitengo nyeti,huyu magufuli yeye hakuwa na watu wakumsaidia kazi maana hata nia ya uraisi aliibuka nayo kama katoka kwenye njozi!!reshufle kuanzia police force,TPDF mpaka Tiss inahitajika kuna maruki na malegelege wengi tu

Mkuu nimependa huu mchango wako hadi natamani nikufahamu tu nikupe Zawadi. Laiti baadhi yetu humu JF tungekuwa na IQ hii nzuri na iliyotukuka ya huyu Jamaa wengine wala tusingepata taabu kuwafundisha Watu jinsi ya kufikiri na kujenga hoja. Mkuu nimekukubali mno na nakubalina na ulichokiandika kwa 100%. Tunaoijua nchi ilipotoka, ilipokuwa na inapoenda tumekuelewa mno na akhsante kwa kufunguka Kiume kabisa huku ukisema ukweli ambao naamini utakuwa mchungu kwa wahusika. Kula like yangu tafadhali!
 
Mkuu nimependa huu mchango wako hadi natamani nikufahamu tu nikupe Zawadi. Laiti baadhi yetu humu JF tungekuwa na IQ hii nzuri na iliyotukuka ya huyu Jamaa wengine wala tusingepata taabu kuwafundisha Watu jinsi ya kufikiri na kujenga hoja. Mkuu nimekukubali mno na nakubalina na ulichokiandika kwa 100%. Tunaoijua nchi ilipotoka, ilipokuwa na inapoenda tumekuelewa mno na akhsante kwa kufunguka Kiume kabisa huku ukisema ukweli ambao naamini utakuwa mchungu kwa wahusika. Kula like yangu tafadhali!
hivi ukijua ujasusi wa kitz unavyotendeka, utakuwa ujasusi tena huo? ukijua mitego yangu mimi na eneo ninalotega, utakuwa mtego tena huo? ninyo hamuijui intelijensia ya nchi hii na mmesoma tu kitabu cha yeriko nyerere. mmepotea. hajuelewi, mngekuwa mnaelewa huo usingekuwa ujasusi tena. kutokuelewa ujasusi uanvyofanyika hapa nchini ndio ubora wa ujasusi wetu huo.
 
Mkuu lakini kwa uzoefu wako inakuwaje majasusi 8 washikwe kwa pamoja hapa ndipo nimekuwa na mashaka na uwezo wao utakuwa ni Mdogo sana.

Mkuu wanavyopikwa miaka hii ya Kidijitali ni tofauti sana na walivyopikwa Watangulizi wao Kianalojia. Products za sasa zina mapungufu fulani fulani ambayo kila mara nimekuwa nikiyasema humu na hata kuna post moja katika uzi huu huu nimeelezea kiundani kidogo.
 
Nayakubali matokeo ya tafiti mbili zilizofanywa juu ya afya ya akili ya Watanzania na uwezo wao wa kutumia akili:
1) watu wawili kati ya 5 au 40% ni wagonjwa wa akili, na
2) Watanzania wana uwezo mdogo sana wa kutumia akili (low intellectual quotient).
Ndiyo maana mandiko yao humu jf yanashangaza sana.
1517946-Club_Marina_Karonga_District.jpg


Labda Ben Saanane alipita Karonga na pengine kujirusha kwenye hii klabu maarufu iitwayo Marina.
 
Mkuu wanavyopikwa miaka hii ya Kidijitali ni tofauti sana na walivyopikwa Watangulizi wao Kianalojia. Products za sasa zina mapungufu fulani fulani ambayo kila mara nimekuwa nikiyasema humu na hata kuna post moja katika uzi huu huu nimeelezea kiundani kidogo.
kwa hiyo kwa akili yako unaamini hao watakuwa ni majasusi kweli wamerundikana wote 8 kuelekea eneo moja kwa pamoja kama kumbikumbi?hahaha, jasusi wa kueleweka angepanga chumba hotelini tu pale na angepata kila kitu, na hata kama ni kwenda hilo eneo wala wasingeenda wote kiasi hicho.mmoja tu au wawili wangeenda na kwa tahadhari kubwa, na usiku sio mchana. tatizo mnajifanya mnajua sana.
 
Nimejaribu kufikiri sana juu ya hili suala lakini naliona liko toofauti sana na wengi wanavyofikiria....

Masuala ya kiujasusi mara nyingi huonekana kama ya kijinga jinga hivi lakini huwa ndiyo halisi.Hao wanaodaiwa kuwa ni wapelelezi kutoka hapa kwetu ni ngumu sana hata serikali pinzani kusema kwa uhakika kuwa ni wapelelezi maana kimsingi wanapokwenda kwenye suala kama hili sidhani kama wanabeba vitu vya kuwatambulisha kwa uwazi kabisa kuwa wao wametoka wapi unless wawe hawajielewi...

Kubeba kamera inawezekana pale walijitambulisha kuwa wao ni wapiga picha fulani kutoka mule mule nchini na kuna mambo ambayo hayakuwa ya kawaida ambaayo yalionwa kutoka kwao.Kitu ambacho sitaki kukiamini ni wao kushtukiwa na wanakijiji...

Jambo hili nakataa kwasababu ni jambo lisiloweza kukubalika mtu wa aina hii kufanya uzembe mkubwa hivi hata kama kitenmgo chetu kina madhaifu makubwa kiasi gani,inawezekana habari hii ya watu hawa kujulikana na wanakijiji imesemwa ili kuonesha kuwa sisi ni dhaifu sana wakati ni kinyume,hizi ni propgaganda tu....

Yote katika yote bado kuna mengi ya kusubiriwa kutoka serikalini kwetu na kwa ya nchi hiyo jirani....
 
ukifika mazingira kama hayo, ndipo utajiuliza kwanini vikundi vingine vinakuwa masikini lakini vinakuwa na silaha nzito kupigana na serikali, ni kwasababu kuna mkubwa mmoja mwenye maslahi anasupply. katika hili tz inabidi tuwe makini...tuboreshe tiss yetu na tuwe makini katika uchaguzi wa rafiki. lazima tuforesee. historia inaonyesha hakuna aliyewakumbatia russia na china akaishia pazuri. syria ni mfano tosha. ila kwa wote waliokuwa pro westerners mwisho wao huwa ni mzuri. mfano ni kenya na nchi zingine za kibepari africa. hivyo, kama ikiwezekana, tuwapige tu chini wachina na warusi tujiunge na waulaya magaribi, na kama urusi na china watang'ang'ania kutugana, basi welete dau la kueleweka litakalofuta machozi zote ya usumbufu na vita baridi. la sivyo, piga chini twenzetu kwa wamagaribi.
Lakini hoja yako ni nzuri bati ninachojua pamoja na kuwa China ni rafiki yetu mkubwa bado British ndio rafiki yetu mkubwa zaidi makampuni yake yanaongoza kuwekeza Tanzania kuliko nchi yeyote....

Makampuni yake yamewekeza kwenye kutafuta gesi pia mtwara.....

Hivyo bado naona pamoja na diplomacy yetu na nchi za magharibi kuyumba bado British atatukingia kufua maana anayo maslahi makubwa Tanzania kuliko nchi yeyote ile dunia...........

Bado Nina imani tutavuka salama kwenye ili swala maana sisi hatuna waasi wa kupandikizwa kuja kutusumbua kama walivyofanya Syria......

Bado naona tuko salama hizi ni changamoto tu kidogo kidogo......
 
kwa hiyo kwa akili yako unaamini hao watakuwa ni majasusi kweli wamerundikana wote 8 kuelekea eneo moja kwa pamoja kama kumbikumbi?hahaha, jasusi wa kueleweka angepanga chumba hotelini tu pale na angepata kila kitu, na hata kama ni kwenda hilo eneo wala wasingeenda wote kiasi hicho.mmoja tu au wawili wangeenda na kwa tahadhari kubwa, na usiku sio mchana. tatizo mnajifanya mnajua sana.

Tunakushangaa sana unavyotumia nguvu nyingi kwa kitu kidogo sana halafu hata haueleweki. Kuna Watu wengine nadhani ndiyo mlipaswa mtupwe na mpotee kabisa Mto Ruvu kuliko hata wale Watu saba ( 7 ) waliotupwa na kufa kwani si tu kwamba hamna akili bali hamna faida ya kuendelea kuwepo duniani. Siku zingine jaribu kuuficha kidogo Upumbavu wako japo hata kwa muda tu tafadhali.
 
Lakini hoja yako ni nzuri bati ninachojua pamoja na kuwa China ni rafiki yetu mkubwa bado British ndio rafiki yetu mkubwa zaidi makampuni yake yanaongoza kuwekeza Tanzania kuliko nchi yeyote....

Makampuni yake yamewekeza kwenye kutafuta gesi pia mtwara.....

Hivyo bado naona pamoja na diplomacy yetu na nchi za magharibi kuyumba bado British atatukingia kufua maana anayo maslahi makubwa Tanzania kuliko nchi yeyote ile dunia...........

Bado Nina imani tutavuka salama kwenye ili swala maana sisi hatuna waasi wa kupandikizwa kuja kutusumbua kama walivyofanya Syria......

Bado naona tuko salama hizi ni changamoto tu kidogo kidogo......
waingereza wana maslahi makubwa sana, norway na finland pia (hasa huko kwenye gas and oil exploration), canada na marekani pia kwenye migodi iyo ya acacia wapo. itabidi tuendelee kuwa karibu nao. wachina wakati mwingine naona waongo tu. bagamoyo port ni hewa tu, ahadi kibao hewa tu. wamemaliza ndovu wetu, wezi wakubwa na hawajali afya za walaji hata kwenye viwanda bubu vilivyojaa kariakoo na buguruni/ilala. ...kwenye majumba ya watu. bora tuwauzie westerners uranium na ninaamini tunayo uranium nyingi kuliko malawi kwani sisi tunayo tunduru, dodoma na maeneo mengine, malawi wanagombania mafuta na gas ziwa nyasa ambayo wanauchumi wamesema yapo lakini machache sana kiasi kwamba sio economic viable, mtaji wa kuwekeza pale kuyachimba na kuprocess ni mkubwa kuliko faida utakayopata. hivyo yabaki tu chini.
 
Usisumbuke nao Mkuu unaweza ukadhani hao ni Watu tofauti tofauti wanatiririka na hicho Kifaransa chao ila nikuhakikishie tu kuwa huyo ni Mtu mmoja. JF ni zaidi ya uijuavyo Mkuu!
Shemeji wacha nichangie mada walau robo maana naona nimekukera kwa kifaransa changu ingawa pia tulikuwa tunajadili mada iliyopo mezani..

Niseme kwamba If you are walking down the right path and you are willing to keep walking, eventually you will make progress.
Kwasababu the future rewards those who press on.

Tusisahau kuwa gharama ya kulinda Uhuru wa nchi, na kuhakikisha nchi iko salama na inapiga hatua za maendeleo, gharama hiyo ni kubwa and often itatulazimu hata kusacrifice uhai wetu.


Sijui kama hao waliokamatwa ni "majasusi" ama la, lakini kama ni kweli ni maafisa wa idara ya usalama hatupaswi kubeza kwa kukamatwa kwao kwani hatujui wamekamatwaje, wanasema ukimsifia baba yako ana mbio pia msifie na anayemkimbiza! Wamalawi nao wana idara yao ya intelijensia na iko vizuri tu kwa ninavyo sikia..

Ila kama ni watu tu wa kawaida na si "majasusi" tusishangae kwanini wamekuwa labed as intelligence agents.. Wote tunaijua sababu

Kwahiyo kwa wale wanaokejeli na kubeza, wajitathimini upya na kujiuliza, kama wale waliokamatwa ni maafisa wetu wa usalama, je walichokuwa wanakifanya kule ni kwaajili ya nani kama sio sisi sote! Walijitoa katika utumishi kwa ajili ya maslahi ya taifa lao.. So badala ya kuwabeza, tunapaswa kukumbuka ushujaa wao kwa faida ya sisi sote.

(Thats is only if kama waliokamatwa ni "majasusi", kama ni watu tu wakawaida, No worries, linaisha tu)


Mungu ibariki Tanzania.
 
Tunakushangaa sana unavyotumia nguvu nyingi kwa kitu kidogo sana halafu hata haueleweki. Kuna Watu wengine nadhani ndiyo mlipaswa mtupwe na mpotee kabisa Mto Ruvu kuliko hata wale Watu saba ( 7 ) waliotupwa na kufa kwani si tu kwamba hamna akili bali hamna faida ya kuendelea kuwepo duniani. Siku zingine jaribu kuuficha kidogo Upumbavu wako japo hata kwa muda tu tafadhali.
nilikuchokoza makusudi kwasababu nakufahamu, na nilijua wewe ni empty kichwani nikikupiga kidole kimoja tu utatoa povu. mi nakaa pembeni nakucheka tu unavyofurika. hamna lolote vichwan mwenu na hamjui intelijensia yeyote. bora hata msijadili, ulimwengu wa intelijensia mnaoufikiria ninyi ni so backward kiasi kwamba mnapoteza muda kujiaminisha kwamba mnajua kitu.
 
kwa hiyo kwa akili yako unaamini hao watakuwa ni majasusi kweli wamerundikana wote 8 kuelekea eneo moja kwa pamoja kama kumbikumbi?hahaha, jasusi wa kueleweka angepanga chumba hotelini tu pale na angepata kila kitu, na hata kama ni kwenda hilo eneo wala wasingeenda wote kiasi hicho.mmoja tu au wawili wangeenda na kwa tahadhari kubwa, na usiku sio mchana. tatizo mnajifanya mnajua sana.
Well noted kuna siku kuingia DRC kukaa gest tano tofauti na kila asubuhi kuhamia gest nyingine baada ya siku tano kurudi DSM na kila kitu kiwahusu m23 kilichofata m23 ni historia.......
 
Nimeona hyo mkuu.

Gazeti la Malawi limeandika kwamba walienda kuchunguza kama Wanatengeneza silaha za nuclear. Sasa sijui kama ni propaganda ama chokochoko za hawa wenzetu.
Kuna mtu anaamini ujinga huo? Nuclear Malawi?
 
Well noted kuna siku kuingia DRC kukaa gest tano tofauti na kila asubuhi kuhamia gest nyingine baada ya siku tano kurudi DSM na kila kitu kiwahusu m23 kilichofata m23 ni historia.......
malawi kuna watz wengi sana waliokaa kule miaka mingi. pia kuna wamalawi wengi mno mwambao mwa ziwa wenye mlengo wa kibongo kwasababu huwa wanaamini wanabaguliwa. jamaa wanaamini unaweza kuvamia kinu cha nukes mikono mitupu, bila vikinga athari, bila silaha, na mmeongozana kama bata..tena mchana..hahaha. tusidharau nchi yetu namna hiyo. hao malawi wametafuta tu kitu cha kuzusha ili kuiweka dunia ijue mgogoro uliopo. ni kweli malawi na mozambique kuna watz wengi sana wachimbaji wadogowadogo wa madini, si ajabu hao jamaa walikuwa wanaamini pale wataokota kitu, au hawa hawajakuwepo pale ila wamekamatwa kupelekwa pale kuambiwa wamekuwepo pale kimakosa ili kufanya sababu tu ya mzozo wa maneno(kwani wa vitendo malawi wanaiogopa tz mno). kwahiyo, ujumbe waliokuwa wameutarajia hadi sasa umeshasambaa, kazi yao imetimia. wamewaacha wabongo wanajadili tiss 8 kukamatwa mchana karibu na kinu cha nuke malawi...hahaha, hata mtu ambaye hajapitia tiss hawezi fanya uzembe wa aina hiyo.
 
waingereza wana maslahi makubwa sana, norway na finland pia (hasa huko kwenye gas and oil exploration), canada na marekani pia kwenye migodi iyo ya acacia wapo. itabidi tuendelee kuwa karibu nao. wachina wakati mwingine naona waongo tu. bagamoyo port ni hewa tu, ahadi kibao hewa tu. wamemaliza ndovu wetu, wezi wakubwa na hawajali afya za walaji hata kwenye viwanda bubu vilivyojaa kariakoo na buguruni/ilala. ...kwenye majumba ya watu. bora tuwauzie westerners uranium na ninaamini tunayo uranium nyingi kuliko malawi kwani sisi tunayo tunduru, dodoma na maeneo mengine, malawi wanagombania mafuta na gas ziwa nyasa ambayo wanauchumi wamesema yapo lakini machache sana kiasi kwamba sio economic viable, mtaji wa kuwekeza pale kuyachimba na kuprocess ni mkubwa kuliko faida utakayopata. hivyo yabaki tu chini.
Ndio watu waliobaki wanaaminika katika uwekezaji (British) ukiangalia kwa makini sehemu nyingi wanazowekeza hasa Africa wanawekeza kwa muda mrefu sana na ni waaminifu toka walipoamulisha kampuni yao irudishe chanji ya rada niliwaheshimu sana........

Ukiangalia hata east Africa makampuni yao mengi ni makini na ndio yanaaminika sana east angalia uwekezaji wao Kenya hiyo safaricom...

Wanatafuta mafuta poa central Kenya....

Wanatafuta mafuta Uganda.......

Kukweli jamaa ni very smart kwenye uwekezaji........

Wachina tuwaachie wajenge tu miundombinu kama reli na barabara sio kuwapa kila kitu chetu.....
 
Back
Top Bottom