haa mym
JF-Expert Member
- Jul 7, 2014
- 4,829
- 4,614
Pamoja na kuyumba kwake ila Membe alikuwa anawajulia sana jamaa kwa Diplomasia yupo vizuri.Diplomasia ya hizi nchi mbili imeyumba kwa kiasi fulani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na kuyumba kwake ila Membe alikuwa anawajulia sana jamaa kwa Diplomasia yupo vizuri.Diplomasia ya hizi nchi mbili imeyumba kwa kiasi fulani
Najua....Ila hao spies wakaanza ku-paste yote waliyo-copy toka kwa ndugu zao tar.9 Dec!Wale hawakuwa spies! Wacha ujinga wako wewe [emoji41][emoji41][emoji41]
UtadumuYes ni kweli membe was intelligent when it comes to important issues especially national interest i agree with you
Mkuu mwenye uelewa amekuelewa hakuna state security aliye mzembe hivyo they are full of techniques![]()
Mkuu, hapo sehemu kuna mgodi unaoitwa Kayelekera ambapo ndipo pamegunduliwa hiyo Uranium.
Ila Karonga ni rahisi sana kuingia kutokea Tanzania hivyo hao wanaodaiwa wamekamatwa, wanaweza kuwa ni wanakijiji wa jirani na mpakani.
Pengine walikuwa wakishangaashangaa tu eneo hilo maana limewekwa uzio.
Malawi waache propaganda za kijinga.
Majasusi wa Tanzania hawawezi kwenda hiyo sehemu leo kienyeji hivyo wakati tayari wanaweza kuwa wanazo picha za kupigwa kutoka kwenye ndege na taarifa zote huenda wanazo tangu madini hayo yagunduliwe mwaka 2009.
Hivyo ondoa shaka.
Unaweza nisaidia tafsili ya hayo maneno kwa kiswahili(yenye rangu nyekundu)
Maana umeniacha na ninataman sana kuelewa
Kweli kabisa JF imepoteza credibility. Imegeuka kijiwe cha wahuni
Usimdharau adui yako hata kama wewe unajijua una nguvu za ziada kuliko adui yako
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Wanatembea kwa pamoja kama nyumbu sasa huo ndio ujasusi au utalii ....eeeeeh ..
hahaha, yeriko ametoka zake iringa kulima mahindi, amekuja mjini kusoma, hajawahi kufanya hizo shughuli lakini anajifanya ameandika kitabu cha ujasusi, hivi hata wanaokisoma wanakuwa wamekosa kazi? hivi kweli yeriko anajua ujasusi au anausikia?hahahaYericko Nyerere hayumo humo kweli?
Mawazo yameheshimiwa Mkuu, ila kuna kitu lazima ujifunze mambo Haya kiundani sana, weakness yako kubwa ni Ku JUDGE haraka bila kuwa na ushahidi wa kina.
Tafuta kuna Uzi uko humu toka jana angalau aliyeuleta alileta habari yote ilivyoandikwa.
Wewe unachokifanya hapa ni kuleta Propaganda dhidi ya TISS ilhali kipaumbele hapa ni utaifa kwanza.
Huwezi kuthibitisha kuwa waliokamatwa ni Majajusi wakati hata kule Malawi hawajathibitisha kupitia vyombo rasmi ila wewe hapa ushathibitsha na kuanza kutoa hukumu.
Halafu kwa Elimu ndogo tu ni kuwa mara nyingi Agents wanapokamatwa huwa hawatoi habari hovyo hovyo,
Mfano Leo Tanzania ikamate Agents wa Malawi halafu OCD wa Tunduma ndio atoe taarifa kwa umma.
You must be an Intelligent in this things
Nyie nn tena mnaongea wenyewe tu
Harafu eti wapelelezi na walikuwa wamebeba camera !!!!!!!!!????Ninachojiuliza wamekamatwaje wote pamoja,
Mkuu lakini kwa uzoefu wako inakuwaje majasusi 8 washikwe kwa pamoja hapa ndipo nimekuwa na mashaka na uwezo wao utakuwa ni Mdogo sana.Usisumbuke nao Mkuu unaweza ukadhani hao ni Watu tofauti tofauti wanatiririka na hicho Kifaransa chao ila nikuhakikishie tu kuwa huyo ni Mtu mmoja. JF ni zaidi ya uijuavyo Mkuu!