Majasusi wabobezi 8 wa Kitanzania wakamatwa nchini Malawi

Majasusi wabobezi 8 wa Kitanzania wakamatwa nchini Malawi

Wachinjwe tu...tabia za kispy hatupend sisi...tena wanabahat maana wangekamatwa na boko haram wangechnjwa kabsaa....
Akili yako imeoza! Ungekuwa karibu yangu ningecheza na mavi yako jinga sana wew
 
Sema Wewe Baba akisema GENTAMYCINE anaonekana ana Chuki na Mfitinishi. Mtazuga sana kwa kusema kuwa siyo Majasusi lakini na nyie tambueni kuwa hata hao Malawi na wao tokea ila Diplomatic Row ya miaka mitatu minne iliyopita na Wao pia walijiimarisha sana Kiulinzi na Kiusalama hivyo kukataa kuwa hao waliokamatwa siyo Majasusi ni Ujinga kama siyo Upumbavu uliopitiliza.

Moja ya Kanuni kubwa ya Kijasusi ambayo niliisikia tu katika Vijiwe vya Kahawa inasema kuwa NEVER UNDERESTIMATE YOUR OPPONENT EVEN IF YOU'RE THE STRONGEST AND GIGANTIC. Sijui kwa hawa wa Kwetu Tanzania hii waliisahau au labda haiwahusu!
Unaweza nisaidia tafsili ya hayo maneno kwa kiswahili(yenye rangu nyekundu)
Maana umeniacha na ninataman sana kuelewa
 
kukamatwa majajusi 8 tena kwa pamoja..??..hii si lakupendeza kwa idara usika...
ngoja tusubiri maagent wa kumwaga humu watatuambia.....
 
Kweli kabisa JF imepoteza credibility. Imegeuka kijiwe cha wahuni
 
Kinachoondoa uhalisia wq suala zima ni majasusi kupeleleza kwa jirani wakiwa kwenyr kundi.

Hii inawezekana tu kama wangeenda kama watafiti au watalii. Na kwa jinsi hiyo wasingekamatwa maana mamlaka za malawi zingetaarifiwa na wao wangesindikizwa kwenda eneo husika.

Kwamba wamevamia eneo sensitive kama hilo wakiwa kundi mchana kweupe pasipo wenyeji kuwa na taarifa ndiyo inatia shaka.
 
Walifuatana kama nyumbu au ni nini hasa.Hajwezekani wakawa majasusi tena waliobobea ! Labda recruits.
 
Nakumbuka kuna uzi mmoja huko nyuma tena mwaka huu huu niliandika kuhusu mapungufu makubwa ya Idara husika hasa kwa Watendaji wake wa sasa na jinsi wanavyokuwa recruited ila nilichoambulia ni lawama, kashfa na matusi japo baadhi nashukuru Mungu walinielewa na bahati nzuri leo kile kile nilichojaribu kukizungumzia na madhaifu yake kimejidhihiri huko nchini Malawi na sasa tunaanza kutafutana.

Muwe mnaheshimu mawazo ya Watu humu kwani kuna wengine japo hawapo humo Kwenu Kikazi lakini Umossad wao ulianzia tokea wakiwa tumboni bado hawajazaliwa na wanaweza wakawa wana ujuzi wa haya mambo pengine hata kushinda mlioajiriwa humo.

Mkuu naungana kabisa na Wewe tena kwa 100% kuwa kama hizo Njemba za Kiudukuzi zingekuwa imara wala wasingekamatwa hivyo na jambo la aibu sana. Bado nasisitiza kuwa mabadiliko makubwa sana yanahitajika kufanyika katika hiyo idara hasa kuanzia ngazi ya kugundua Kipaji, Kumfunza na kumfanyia Uchunguzi wa kina ( Vetting ) na kuimarisha kule Vyuoni mwao wanakopikwa.
Mawazo yameheshimiwa Mkuu, ila kuna kitu lazima ujifunze mambo Haya kiundani sana, weakness yako kubwa ni Ku JUDGE haraka bila kuwa na ushahidi wa kina.

Tafuta kuna Uzi uko humu toka jana angalau aliyeuleta alileta habari yote ilivyoandikwa.

Wewe unachokifanya hapa ni kuleta Propaganda dhidi ya TISS ilhali kipaumbele hapa ni utaifa kwanza.

Huwezi kuthibitisha kuwa waliokamatwa ni Majajusi wakati hata kule Malawi hawajathibitisha kupitia vyombo rasmi ila wewe hapa ushathibitsha na kuanza kutoa hukumu.

Halafu kwa Elimu ndogo tu ni kuwa mara nyingi Agents wanapokamatwa huwa hawatoi habari hovyo hovyo,

Mfano Leo Tanzania ikamate Agents wa Malawi halafu OCD wa Tunduma ndio atoe taarifa kwa umma.

You must be an Intelligent in this things
 
Back
Top Bottom