JipuKubwa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2013
- 2,341
- 2,390
Cette notion n'est pas toujours exacte.Mbona umesahau pia kusema kuwa kuna UKIMWI kinoma hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cette notion n'est pas toujours exacte.Mbona umesahau pia kusema kuwa kuna UKIMWI kinoma hapo?
Nakumbuka kuna uzi mmoja huko nyuma tena mwaka huu huu niliandika kuhusu mapungufu makubwa ya Idara husika hasa kwa Watendaji wake wa sasa na jinsi wanavyokuwa recruited ila nilichoambulia ni lawama, kashfa na matusi japo baadhi nashukuru Mungu walinielewa na bahati nzuri leo kile kile nilichojaribu kukizungumzia na madhaifu yake kimejidhihiri huko nchini Malawi na sasa tunaanza kutafutana.
Muwe mnaheshimu mawazo ya Watu humu kwani kuna wengine japo hawapo humo Kwenu Kikazi lakini Umossad wao ulianzia tokea wakiwa tumboni bado hawajazaliwa na wanaweza wakawa wana ujuzi wa haya mambo pengine hata kushinda mlioajiriwa humo.
Mkuu naungana kabisa na Wewe tena kwa 100% kuwa kama hizo Njemba za Kiudukuzi zingekuwa imara wala wasingekamatwa hivyo na jambo la aibu sana. Bado nasisitiza kuwa mabadiliko makubwa sana yanahitajika kufanyika katika hiyo idara hasa kuanzia ngazi ya kugundua Kipaji, Kumfunza na kumfanyia Uchunguzi wa kina ( Vetting ) na kuimarisha kule Vyuoni mwao wanakopikwa.
Cette notion n'est pas toujours exacte.
Kuna machangu kinaoma hapo.
Tambua kuna wengine yawezekana hao waliokamatwa ni Wanafamilia wetu hivyo kupata taarifa zao ni jambo la Kisheria na la Kikatiba kabisa. Siku nyingine jaribu kuhifadhi kidogo ujinga wako hata kwa muda tafadhali! Mbona wale Makomandoo Wetu ambao kimsingi huwa hawatakiwi kujulikana kivile kutokana na Unyeti wao ila Yule mmoja wao alipofariki Watanzania hatukufichwa na tuliambiwa kuwa alikuwa ni Leutenant Rajab?
Ila kukamata majajuc 8 kwa wakat mmoja sizan kama n kweli
Ila labda maana cc watanzania vichwa vyetu hivii
Cette notion n'est pas toujours exacte.
Unaonekana unaelewa kiundani Mkuu.Funguka 100%Sasa majasusi gani wanatembea kwa pamoja .
.au masomo waliyofundishwa hawakuzingatia ..ujasusi mission kama iyo inabid mtu ajifanye kuomba kaz hapo hapo na kujifanya mmalawi wa asili
....au ndio huwa hawasomi mossad wanavofanya kazi
C'est très simple mon ami.[emoji23]c'est un concept difficile à définiret dont la portée exacte suscite maintes
Acha utotoNaambiwa walipofika Lilongwe wakaanza kufanya show-off ya kupasuliana matofali na kulalia misumali kama walivyofanya Tar.9 Dec pale Uhuru Stadium.....
Shubaaamit!
Hili wazo lako limenisumbua sana tangia jana. Iweje wote wanane waende eneo la tukio kwa pamoja. Tena gazeti la malawi linasema wanakijiji ndio waliwastukia kutokana na kubeba kamera kubwa kubwa na kuwaripoti polisi.Sasa majasusi gani wanatembea kwa pamoja .
.au masomo waliyofundishwa hawakuzingatia ..ujasusi mission kama iyo inabid mtu ajifanye kuomba kaz hapo hapo na kujifanya mmalawi wa asili
....au ndio huwa hawasomi mossad wanavofanya kazi
c'est un concept difficile à définiret dont la portée exacte suscite maintes
Hili wazo lako limenisumbua sana tangia jana. Iweje wote wanane waende eneo la tukio kwa pamoja. Tena gazeti la malawi linasema wanakijiji ndio waliwastukia kutokana na kubeba kamera kubwa kubwa na kuwaripoti polisi.
Pia taarifa ya malawi inasema mgodi umefungwa. Kwamba wapelelezi wanaenda kuchunguza kama kuna matengenezo ya silaha za nyuklia kwenye mgodi uliofungwa nalo linashangaza.
Wabongolala mnachotwa kirahisi kweli na propaganda!!Majasusi kama nyumbu au kondoo wote wanakaa au kutembea pamoja au hata kuonekana tu wakizoeana? Kama ni wa kitanzania itabidi serikali ipitie upya uaandaaji wa hawa wasalama wake. Ni kushindwa kwa hali ya juu sana katika jicho la kiusalama. Revisit revisit revisit.....
Wachinjwe tu...tabia za kispy hatupend sisi...tena wanabahat maana wangekamatwa na boko haram wangechnjwa kabsaa....
Wewe kama ni mtanzania ni mpumbav.u sanaNaambiwa walipofika Lilongwe wakaanza kufanya show-off ya kupasuliana matofali na kulalia misumali kama walivyofanya Tar.9 Dec pale Uhuru Stadium.....
Shubaaamit!