Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe nae ni Jasusi Mkuu? I never knew this! Basi atakuwa ameshatufanyia Ujasusi Watu wengi sana.
Wallah nilitaka kusema hivi kabla yako nikaacha .[emoji87]Huwezi kuwa mbobezi halafu ukakamatwa badilisha hiyo heading mkuu
Kumbe mnawasaka na majasusi wa jf mkuu
Jambo siriasi kama hili watu wanalichangia kwa utani utani, hivi hamjui kuwa 'DECEPTION IS A WEAPON TO EVERY WAR'. Malawi ni nchi wala isichukuliwe kirahisi sana kiasi cha kutokuwa na wasiwasi wakati WASIWASI NDIYO AKILI YA KIUSALAMA. Naipenda Tanzania yangu.
Kuna machangu kinaoma hapo.![]()
Labda Ben Saanane alipita Karonga na pengine kujirusha kwenye hii klabu maarufu iitwayo Marina.
Nahisi ni propaganda ya wamalawi kuchokonoa waTz
Na inabidi awe ni mtaalamu wa nuclear aliyebobea.Sasa majasusi gani wanatembea kwa pamoja .
.au masomo waliyofundishwa hawakuzingatia ..ujasusi mission kama iyo inabid mtu ajifanye kuomba kaz hapo hapo na kujifanya mmalawi wa asili
....au ndio huwa hawasomi mossad wanavofanya kazi
Hii habari ni ya kitoto na ndio maana serikali haijakanusha mpaka sasa.
Huwezi kuwa mbobezi halafu ukakamatwa badilisha hiyo heading mkuu
Wallah nilitaka kusema hivi kabla yako nikaacha .[emoji87]
Mhhh hakuna kitu Kama hicho,When one body exerts force on a second body, the second body simultaneously exerts a force equal in magnitude and opposite in direction on the first body.
Kuna machangu kinaoma hapo.