Majasusi wabobezi 8 wa Kitanzania wakamatwa nchini Malawi

Majasusi wabobezi 8 wa Kitanzania wakamatwa nchini Malawi

Majasusi kama nyumbu au kondoo wote wanakaa au kutembea pamoja au hata kuonekana tu wakizoeana? Kama ni wa kitanzania itabidi serikali ipitie upya uaandaaji wa hawa wasalama wake. Ni kushindwa kwa hali ya juu sana katika jicho la kiusalama. Revisit revisit revisit.....

Sema Wewe Baba akisema GENTAMYCINE anaonekana ana Chuki na Mfitinishi. Mtazuga sana kwa kusema kuwa siyo Majasusi lakini na nyie tambueni kuwa hata hao Malawi na wao tokea ila Diplomatic Row ya miaka mitatu minne iliyopita na Wao pia walijiimarisha sana Kiulinzi na Kiusalama hivyo kukataa kuwa hao waliokamatwa siyo Majasusi ni Ujinga kama siyo Upumbavu uliopitiliza.

Moja ya Kanuni kubwa ya Kijasusi ambayo niliisikia tu katika Vijiwe vya Kahawa inasema kuwa NEVER UNDERESTIMATE YOUR OPPONENT EVEN IF YOU'RE THE STRONGEST AND GIGANTIC. Sijui kwa hawa wa Kwetu Tanzania hii waliisahau au labda haiwahusu!
 
Kazi imeanza haya wenye Kazi zenu hizi za Kijasusi ambao najua mpo wengi mno humu JF na mmejazana hebu tupeni ukweli wa hii taarifa ya Serikali ya nchini Malawi kuwa imewakamata Majasusi sita ( 6 ) wa Kitanzania wakiwa wanafanya Ujasusi wao.
View attachment 450785
Source: Gazeti la The Citizen la leo tarehe 27, December 2016 tena ipo front page kabisa.

Je tunaweza pia kuwajua hao Watanzania Majasusi waliokamatwa kwani yawezekana kuna wengine ni Wategemezi wetu wa Kimaisha.

Nawasilisha.

Huenda na Ben Saanane akawa huko!
 
Cna cha kuongezea kumbe tayari ulishabandika bandiko liweke bhas iliwatu wafaidi unajua ili watu wajue kama alivotoa document .Nkanga chief ..ibakie historia mkuuu
 
Sema Wewe Baba akisema GENTAMYCINE anaonekana ana Chuki na Mfitinishi. Mtazuga sana kwa kusema kuwa siyo Majasusi lakini na nyie tambueni kuwa hata hao Malawi na wao tokea ila Diplomatic Row ya miaka mitatu minne iliyopita na Wao pia walijiimarisha sana Kiulinzi na Kiusalama hivyo kukataa kuwa hao waliokamatwa siyo Majasusi ni Ujinga kama siyo Upumbavu uliopitiliza.

Moja ya Kanuni kubwa ya Kijasusi ambayo niliisikia tu katika Vijiwe vya Kahawa inasema kuwa NEVER UNDERESTIMATE YOUR OPPONENT EVEN IF YOU'RE THE STRONGEST AND GIGANTIC. Sijui kwa hawa wa Kwetu Tanzania hii waliisahau au labda haiwahusu!
Sidhani kama inavyo aminishwa na watu kwamba ni wale majasusi wabobezi wa kazi.Kama ni kweli kuna watz wamekamatwa wakifanya ujasusi Malawi basi nafikiri ni wale vijana wetu wa SUUK walikua field.
 
Sidhani kama inavyo aminishwa na watu kwamba ni wale majasusi wabobezi wa kazi.Kama ni kweli kuna watz wamekamatwa wakifanya ujasusi Malawi basi nafikiri ni wale vijana wetu wa SUUK walikua field.

Kwahiyo Malawi wamekurupuka tu Mkuu? Ila kwa mfano ingekuwa Rwanda labda ndiyo ingekuwa kweli Mkuu au? Nasubiri jibu lako kwani yaonekana Wewe ni Mbobezi.
 
Wamejuaje ni majasusi! au ndio Bifu....sio wanakamata watu wetu kwa kisingizio cha ujasusi.....
 
Jambo siriasi kama hili watu wanalichangia kwa utani utani, hivi hamjui kuwa 'DECEPTION IS A WEAPON TO EVERY WAR'. Malawi ni nchi wala isichukuliwe kirahisi sana kiasi cha kutokuwa na wasiwasi wakati WASIWASI NDIYO AKILI YA KIUSALAMA. Naipenda Tanzania yangu.
 
Back
Top Bottom