George mahugija
Member
- Dec 24, 2016
- 65
- 26
Upumbavu huo muachage
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15][emoji15]Naambiwa walipofika Lilongwe wakaanza kufanya show-off ya kupasuliana matofali na kulalia misumali kama walivyofanya Tar.9 Dec pale Uhuru Stadium.....
Shubaaamit!
Majasusi kama nyumbu au kondoo wote wanakaa au kutembea pamoja au hata kuonekana tu wakizoeana? Kama ni wa kitanzania itabidi serikali ipitie upya uaandaaji wa hawa wasalama wake. Ni kushindwa kwa hali ya juu sana katika jicho la kiusalama. Revisit revisit revisit.....
Kazi imeanza haya wenye Kazi zenu hizi za Kijasusi ambao najua mpo wengi mno humu JF na mmejazana hebu tupeni ukweli wa hii taarifa ya Serikali ya nchini Malawi kuwa imewakamata Majasusi sita ( 6 ) wa Kitanzania wakiwa wanafanya Ujasusi wao.
View attachment 450785
Source: Gazeti la The Citizen la leo tarehe 27, December 2016 tena ipo front page kabisa.
Je tunaweza pia kuwajua hao Watanzania Majasusi waliokamatwa kwani yawezekana kuna wengine ni Wategemezi wetu wa Kimaisha.
Nawasilisha.
Huenda na Ben Saanane akawa huko!
Sidhani kama inavyo aminishwa na watu kwamba ni wale majasusi wabobezi wa kazi.Kama ni kweli kuna watz wamekamatwa wakifanya ujasusi Malawi basi nafikiri ni wale vijana wetu wa SUUK walikua field.Sema Wewe Baba akisema GENTAMYCINE anaonekana ana Chuki na Mfitinishi. Mtazuga sana kwa kusema kuwa siyo Majasusi lakini na nyie tambueni kuwa hata hao Malawi na wao tokea ila Diplomatic Row ya miaka mitatu minne iliyopita na Wao pia walijiimarisha sana Kiulinzi na Kiusalama hivyo kukataa kuwa hao waliokamatwa siyo Majasusi ni Ujinga kama siyo Upumbavu uliopitiliza.
Moja ya Kanuni kubwa ya Kijasusi ambayo niliisikia tu katika Vijiwe vya Kahawa inasema kuwa NEVER UNDERESTIMATE YOUR OPPONENT EVEN IF YOU'RE THE STRONGEST AND GIGANTIC. Sijui kwa hawa wa Kwetu Tanzania hii waliisahau au labda haiwahusu!
Sidhani kama inavyo aminishwa na watu kwamba ni wale majasusi wabobezi wa kazi.Kama ni kweli kuna watz wamekamatwa wakifanya ujasusi Malawi basi nafikiri ni wale vijana wetu wa SUUK walikua field.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Wanatembea kwa pamoja kama nyumbu sasa huo ndio ujasusi au utalii ....eeeeeh ..
Acheni utani, yaani Tanzania ikachunguze kama Malawi wanatengeneza silaha za nuclear?Nimeona hyo mkuu.
Gazeti la Malawi limeandika kwamba walienda kuchunguza kama Wanatengeneza silaha za nuclear. Sasa sijui kama ni propaganda ama chokochoko za hawa wenzetu.
Tumeingia mgogoro na Rwanda umewai kusikia kitu kama hicho hayo ni majungu tu na kutafuta kiki kwa wa MalawiKwahiyo Malawi wamekurupuka tu Mkuu? Ila kwa mfano ingekuwa Rwanda labda ndiyo ingekuwa kweli Mkuu au? Nasubiri jibu lako kwani yaonekana Wewe ni Mbobezi.
Kumbe mnawasaka na majasusi wa jf mkuuHata waliopo hapa jf tukiwakamata watajuta.
Kumbe mnawasaka na majasusi wa jf mkuu
Unawajua majasusi wewe au umetoka kwenye usingizi WA ChristmasNaambiwa walipofika Lilongwe wakaanza kufanya show-off ya kupasuliana matofali na kulalia misumali kama walivyofanya Tar.9 Dec pale Uhuru Stadium.....
Shubaaamit!
Unaza kuisaidia police!Inawezekana Ben Saa8 na yeye ni mmoja wao.