technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Siku hizi technology jinsi ilivyo unaweza zoom ilo eneo hata ukiwa umbali wa km 50 ukapekua kila kitu unachokitaka na ukaonfoka.....malawi kuna watz wengi sana waliokaa kule miaka mingi. pia kuna wamalawi wengi mno mwambao mwa ziwa wenye mlengo wa kibongo kwasababu huwa wanaamini wanabaguliwa. jamaa wanaamini unaweza kuvamia kinu cha nukes mikono mitupu, bila vikinga athari, bila silaha, na mmeongozana kama bata..tena mchana..hahaha. tusidharau nchi yetu namna hiyo. hao malawi wametafuta tu kitu cha kuzusha ili kuiweka dunia ijue mgogoro uliopo. ni kweli malawi na mozambique kuna watz wengi sana wachimbaji wadogowadogo wa madini, si ajabu hao jamaa walikuwa wanaamini pale wataokota kitu, au hawa hawajakuwepo pale ila wamekamatwa kupelekwa pale kuambiwa wamekuwepo pale kimakosa ili kufanya sababu tu ya mzozo wa maneno(kwani wa vitendo malawi wanaiogopa tz mno). kwahiyo, ujumbe waliokuwa wameutarajia hadi sasa umeshasambaa, kazi yao imetimia. wamewaacha wabongo wanajadili tiss 8 kukamatwa mchana karibu na kinu cha nuke malawi...hahaha, hata mtu ambaye hajapitia tiss hawezi fanya uzembe wa aina hiyo.
Kwanza wangekuwa wamewakamata watu wetu kweli taarifa isingetoka na kuvuja kirahisi hivyo maana na wao wanaogopa reaction yetu pia.....
Hata Mimi sizani kama TISS wanaweza Fanya uzembe kiasi hicho .....
Hii habari itakuwa imetengenezwa....