Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Nisaidie hizo link ulizosemaMi la 1A mkuu, kwiyo sipo popote mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisaidie hizo link ulizosemaMi la 1A mkuu, kwiyo sipo popote mkuu
Wew mmarekani mweusi vp marekani ilivamiwa na China wakalalamika China ikatoa data kwa takribani miaka minne wamarekani wakivamia China ule ukamalizwa namnaAustralia hawajakomaa bado upande wa Infosec hivyo nchi zilizoendelea zaidi kwa hiyo mifumo ni threat kwao na wanawaattack.
Sio rahisi kusikia nchi kama U.S imepata cyber attack kutoka nje.
Hata hueleweki ulichoandika.Wew mmarekani mweusi vp marekani ilivamiwa na China wakalalamika China ikatoa data kwa takribani miaka minne wamarekani wakivamia China ule ukamalizwa namna
Friji nazo zinaelekea huko hatari sanaNa hawa sindo walikuwa wanazozana na china!! Na china anamshuku Australia kwa maana yaonyesha alitoa taarifa fulani za china ambazo zilisadiki kuwa covid 19 chanzo ni mchina!.. ndio maana marekani akafikia hatua ya kuita "china virus".. Ni zamu ya Australia kupimwa mbavu sasa..
Ukiishi ki digital ukumbuke na manual maana teknolojia ya sasa unaweza kukalishwa giza ama ukakosa maji kisa mifumo yote inatumia computer!.. zikihakiwa tu watu hawaogi..😅
We we ndo huelewiHata hueleweki ulichoandika.
Haya nenda jukwaa la mapenzi kapige stori huko.Huku pamekuzidi elimuWe we ndo huelewi
Issue gani sielewi fafanua mpaka niende jukwaa la mapenzi were ndo uende weweHaya nenda jukwaa la mapenzi kapige stori huko.Huku pamekuzidi elimu
Duh...!Issue gani sielewi fafanua mpaka niende jukwaa la mapenzi were ndo uende wewe
Ugomvi wa marekani na China kuhusu kuingiliana mifumo yao computer miaka mitano au sita ilipita? Kama hujasikia basi wewe bado sanaDuh...!
Anga ngumu sana kujilindaCyber security inazidi kupaa juu...
Career yako ni information security?Ugomvi wa marekani na China kuhusu kuingiliana mifumo yao computer miaka mitano au sita ilipita? Kama hujasikia basi wewe bado sana
Acha tu boss ila ni fursa pia kwa white hackersAnga ngumu sana kujilinda
Anga ngumu sana kujilinda
You correct to some extent but ulimwengu wa computer shida yake watu wanaumiza vichwa kila siku.Anga ni rahisi sana kuilinda endapo watoa ushirikiano wa kindugu.
Kama hafahamu mifumo ya ulinzi wa anga letu mingi imejengwa na wataalam wa uchina.
I stand to be corrected.
Ukimpa mkandarasi wa kigeni akujengee miundombinu basi hapohapo unaweka vijana wako wajifunze ili kurudufu ile master copy ambayo wewe baadae aibadilisha na kuweka nakshi za kiusalama uzitakazo.
Ndo maana mataifa makubwa yakivamia nchi fulani kwa uelewa wa miundombinu yake huanza kwa kubomoa kwa makombora miundombinu hiyo.
Kwasababu wanayo michoro.
Hapa pia, I stand to be corrected.
Lakini "strategic installations" zote mara nyingi hujengwa na nchi husika ili kuzuia saboitage ikiwa zitajengwa na wageni.
Ndiyo si haba kwa maeneo hayoCareer yako ni information security?
Una certificate ipi?Ndiyo si haba kwa maeneo hayo
Lakini ninachosema ni kuwa marekani kwa sasa hawezi jigamba kwamba anaweza Fanya chochote kwa kuwa hats tramp aliwekwa na urusi kwa kupitia anga hizi za cyber security wakazididiwa keteCareer yako ni information security?
Wewe pata information hapa so uwanja wa interviews nakuambia ukweli hali imebadilika sanaUna certificate ipi?
Vp zile kelele za urusi kuingilia mifumo yao ya uchaguzi hadi Donald akaingia madarakani unaikumbuka?Australia hawajakomaa bado upande wa Infosec hivyo nchi zilizoendelea zaidi kwa hiyo mifumo ni threat kwao na wanawaattack.
Sio rahisi kusikia nchi kama U.S imepata cyber attack kutoka nje.