Majasusi waivuruga Australia. Wadukua mifumo yao ya kiusalama ya kompyuta. Macho yaelekezwa kwa China, Russia na Korea Kaskazini


Hapo ndipo tunapokosea na nafikiri serikali itabidi ililiangalie hili suala.

Tunatakiwa sasa tuwe strategic kwenye masuala haya na tukisomesha watu kama profesa Mbarawa baadae wanakuja kuwa nyuma ya timu ya kimkakati kuhakikisha nchi siku moja hailali giza.

Ukiletewa kompyuta za kutoka nje we wazifanyia ukaguzi na updates ambazo zinaendana na mazingira yako.

Yaani siku ya kufanya updates za servers inakuwa inabadilika, ukifanya istallations unaweka features ambazo zinakuwa haziweki servers too open kwa live sessions.

Haya masuala ni mazito sana.
 
Shida ni uvuvu wa kufikiri na kuwaza nchi watu wanawaza matumbo yao tu mpaka unashangaa

Kwa mfano suala la antivirus ndo lililowaacost marekani
 
Wewe pata information hapa so uwanja wa interviews nakuambia ukweli hali imebadilika sana
Kijana uwe unakubali kujifunza acha kukaria story za vijiweni.Nimekuona toka mwanzo ulivyorukia kuniqoute sema nikataka niende na wewe polepole.Na nilivyoona unakomalia mambo ya virus sijui transistor nikaamua nijiridhishe kabisa ndo maana nikakuuliza kama una certificate yoyote ya hii field hata ile ya beginners kama Network,huna.Halafu unaniambia nikae nijifunze unadhani unaweza kunifunza kitu hii field wewe? Mimi nilivyomaliza nilitaka kuspecialize na Cyber ilikuwa moja na ya machaguo yangu sema nikaiacha nikaenda field nyingine but within IT.Japo sijakaa kufanya mtihani wowote wa cyber ili nipate certification ila kwa maelezo yako ninayokuona unayatoa kwa wadau humu nakuambia nakuzidi sana tu.
Cha muhimu kubali kujifunza sio kusoma articles mtandaoni unashika point fulani halafu unakuja kubishana na kuelekeza watu usiowajua huku.Kuna siku utabishana hadi na professional hackers.
 
Shida ni uvuvu wa kufikiri na kuwaza nchi watu wanawaza matumbo yao tu mpaka unashangaa

Kwa mfano suala la antivirus ndo lililowaacost marekani

programs kama Kaspersky ni nzuri sana kwa mataifa kama letu.

Wateja wao wengi ni mataifa yanayoendelea.
 

Mkuu, cyber security ndo hot sasa hivi, jaribu kuangalia hiyo.
 
Sidhani kama ingekuwa rumours mjadala ungefikia hatua ile ya international medias kujadili pamoja na chama cha Democratic wenyewe
Hata rumours zinajadiliwa mbona.Yanayojadiliwa kuhusu #covid19 yote si ground rumours tu.Hata hivyo cyber haina mwenyewe cha kufanya ni kuendana tu na kasi ya teknolojia.Sio kwamba US hawadukuliki,wanadukulika ila sio kirahisi hivyo.Na wapo makini hicho kitengo huwezi pata kazi ya infosec serikalini kama wewe sio raia wa Marekani.Ila kuna baadhi ya nchi wanafanya hivyo pia.
 
Wew kunizidi wala sina shida maana sikujui kama unajua mambo funguka wadau wapate Madini kutika kwako kama ulitaka kunifanyia assessment mimi pia ninaweza kukuuliza baadhi ya mambo huenda ukashindwa kunijibu kwa hiyo kubwa ni kushirikishana na kuwasaidia wenye maamuzi katika nchi.

Mimi naamini kwa uwezo wangu mdogo nimetoa hazina yangu kwa wadau sasa wewe uliyenizidi embu shusha madude tutoe tongo tongo

Kubishana na prof. wa IT kwangu mimi sioni ni tatizo maana atanielekeza ninapikosea jambo nami niko huru maana siwezi jua mambo yote
 

Kabla ya job offer wanakufanyia National Security Clearance
 
Russian government hackers used antivirus software to steal U.S. cyber capabilities
https://www.google.com/url?sa=t&sou...Vaw0xInPBXJU7LynzuAO23a4w&cshid=1592583081371
 
So nirudi darasani?

Kulingana na level yako na pia soko, yes.

Kama una degree basi chukua masters ya cyber security waweza kuwa hata na masters tatu!

Kwasababu ukiwa na level ulo nayo ambayo naamini uko kwenye masuala ya networking ukitop up na hii cyber security unapanda kwa kasi sana na unakuwa kwenye kundi la elites.

Cyber Security mara nyingi ni pamoja na systems interrogations, secure IT infrastructure pamoja na IT security policies and enforcement.

Mkuu, unaweza kuwa upo TCRA wanisoma tu au?

🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…