comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,950
Kuna hatari kubwa naiona kuhusu usalama wa bwn Trump
Hatari gani mkuu hamna lolote hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna hatari kubwa naiona kuhusu usalama wa bwn Trump
Sio Tanzania kule kiongozi ambapo raisi anauwezo wa kupelekesha kila taasisi na idaraHawana ubavu wa kumnyima commander inchief habari
Akumbuke pia mauti ya Eriel Sharon kule Israel.Wana ubavu hata wa kumtoa. Kumbuka kennedy alivyotolewa kwa kushadadia ujamaa.
Wenzetu si kama hapa kwetu ambapo raid anaweza kufanya au kuongea chochote atakacho halafu idara au hata miimili yote ikakubaliana naye. Wenzetu kila sekta inafanya majukumu yake kwa weledi wake bila kuingiliwa. Angalia jinsi mahakama yao ilivyotengua mpango wa Rais wao juu ya suala la mataifa mengine kuingia Marekani jambo ambalo ingekuwa hapa Tanzania hakuna jaji yeyote ambaye atadhubutu kupingana na mipango au hata matamshi ya Rais hata kama yataonekana dhahiri kuwa na mapungufu ktk utekelezaji wake. Idara ya kijasusi ya Marekani haiwezi kuburutwa na yeyote badala yake kiongozi akikomaa kuchuana nayo chochote chaweza kumfika. Kwa mwanzo huu wa Trump kupishana nao sidhani kama iko siku tena watajampa uwazi was ujasusi wao hasa yanayohusiana na nchi zenye mahusiano na Urusi. Watakuwa wameshamwekea alama ya kuwa na wasiwasi naye kwani wao wanajali zaidi maslahi ya kiusalama wa Taifa zaidi na si maslahi ya chama au ya kiongozi yeyote bila kujali ukuu wake ndani ya nchi.Hawana ubavu wa kumnyima commander inchief habari
Wale taarifa zote muhimu wanaweza kukaa nazo wenyewe na zile ambazo zitakuwa zinahatarisha usalama wa nchi watazimega kwa jeshi ambalo nalo pia Rais hawezi kulikurupusha apendavyo.Mm hapo bado sijawaelewa elewa. kwamba trump hawata mpa taarifa za kijasusi za dunia nzima au za urusi tu?
Na kama hizo taarifa hawata mpa rais trump na je hizo taarifa watampa Nani harafu na rais asijue.
Huyo DNI asipopewa taarifa zote atapeleka nini?Sijui mnapozungumzia jamii ya kijasusi mnazungumzia nini zipo zaidi ya Intelligence Agency 17 ndani ya US pia zipo zle zinajulikana kama "Big Five" (+1) kutokana na ukubwa wa majukumu yao na utendaji wao wa kazi kulinganisha na vyombo vingin ambazo ni FBI,CIA,Homeland Security,NSA na Secret Service lakini Intelligence Agency zote zikiwamo hizo
"Big Five" (+1) zote zinareport kwa Office of the Director of National Intelligence ambae office zake zipo Washington Fort Meade, Maryland , U.S. yalipo makao makuu ya NSA
Huyu DNI ( Director of National Intelligence) ndio mwenye security clearance kubwa na yeye ndio anakuwapo ktk kikao cha The President's Daily Brief (PDB) kinachofanyika kila siku saa 07:45 AM ambapo rais anapokea taarifa zote za kijasusi na mambo ya usalama na wanaohudhulia ktk kikao hicho ni Commander-in-chief, VP, Defense secretary na National security adviser so ni lazima Rais apate taarifa zote kila siku juu ya mambo ya ulinzi na Usalama
Kuna mdau hapa jabulani anasema CIA wanaweza kufanya kama walivyofanya kwa J.F Kennedy November 22, 1963
Dallas, Texas, U.S. mifumo ya sasa hivi ni ngumu sana narudia ni ngumu sana kwa Taasisi kufanya hvyo
kwahiyo kama itafikia hivyo kunaposibility kubwa ya kufanyiwa assassination?Katika hali isiyokuwa ya kawaida nchini Marekani. Jamii ya Kijasusi ya Marekani imeamua kumpa kwa vipimo ripoti za kijasusi Rais wa Marekani Donald Trump.
Habari zinasema kumekuwa na vita baridi kati ya Ikulu ya White house na jamii ya kijasusi ambayo Trump amekuwa akiilaumu hasa baada ya KUVUJA kwa maongezi ya Mteule wake na mshauri wake mkuu wa mambo ya usalama bwana Mike Flynn aliyelazimika kujiuzulu baada ya mazungumzo yake na balozi wa Urusi KUVUJWA hadharani.
Trump amekuwa akilaumu idara hizi kuwa ZINAVUNJA sheria kwa KUVUJISHA maksudi habari nyeti/classified za serikali kwa vyombo vya habari.
Pia jamii hii ya kijasusi imeanzisha uchunguzi dhidi ya baadhi ya wasaidizi wa Trump ambao nao huenda wamefanya ama wamekuwa wakifanya mawasiliano na maafisa wa Urusi.
Hili limemkasirisha Trump ni kama vile wanataka kumchafua ili aachie uongozi..
Nao maofisa wa kijasusi wanaogopa kumpa Trump SIRI ZOTE wakihofu tabia yake ya KUMSIFIA Vladimir Putin rais wa Urusi kama INAYOWAKERA.
Habari zinasema katika breafings ambazo hupewa rais kila siku WAMEZIPUNGUZA hasa zile zinazohusika na jasusi unaofanywa dhidi ya SERIKALI ZA KIGENI.
Kuna madai kuwa hawampi ushirikianao kama vile VYANZO ama NAMNA wanavyokusanya habari kutoka mataifa mbali mbali wanayoyafanyia ujasusi.
Moja ya wanabunge wa California aliyekatika kamati ya Bunge ya UJASUSI /Intelligence committee wa chama cha Democrat Adam Schiff amenakiliwa akisema kumekuwa na malalamiko ndani ya jamii hiyo.
Naye Trump amaeamua kwenda kwa wananchi ili awe karibu nao. Hivyo amaeamua kufanya mkutano wa hadhara katika mji wa Meliboun utakaohudhuriwa na watu walio na TIKETI maalum tu. Sijui kutoaminiana kati ya Trump na Jamii hiyo utafika wapi?
Chanzo: WALL STREET JOURNAL
Si rahisi vile. Kuna tetesi pia anataka KUVISUKA upya vyombo hivyo kama alivyofanya rais Goerge Bush.kwahiyo kama itafikia hivyo kunaposibility kubwa ya kufanyiwa assassination?
Mkuu walichofanikiwa wenzetu weupe ni kutengeneza mifumo na taasisi imaraHuyo DNI asipopewa taarifa zote atapeleka nini?