Majenerali wa Jeshi la Isreal wataka vita visitishwe huko Gaza

Majenerali wa Jeshi la Isreal wataka vita visitishwe huko Gaza

Kuna watu hapa leo wanatuambia tuiangalie ghaza ilivyokua magofu ndio utajua kama usrahell wanashinda vitanana laah
Malengo ya usrahell tokea awali hayakua kuigeuza ghaza magofu tunawakumbusha tu kina T14 Armata na wenzie
Mwezi watisa sasa usrahell wamefanikiwa kuwaokoa magaidi wao 14 ndani ya kigamboni ya palestina itawahitajia miaka 20+ kuokoa magaidi wao walobakia kama wataweza kuwaokoa
Mwezi wa tisa sasa juzi sijui jana tumeona makombora yamerushwa kutokea khano younis kwenda usrahell kwamaana hio hamas ipo na tunayo sana
Wakati wanailaumu russia kushindwa dhidi ya nchi ila mnashindwa iongelea usrahell inayopigana na kata 😀🤗😀
Israel ipo hapo ilipo ikiwa na Jordan, Syria, Egypt, Lebanon zote zinaidai ardhi. Bado inawafanya inavyojisikia. Hao Hamas wasiishe warudi tena watengeneze magofu mengine hilo ni juu yao.

Netanyahu aliwaambia atatoa somo, likiisha wakitaka watapewa somo tena. Israel haijapunguza hata inch moja. Tofauti na Russia ambao wanapigana na jeshi la nchi, Israel haipigani na jeshi ndio maana kila siku mnalalamika watoto, wazee na wanawake kuuwawa sababu Hamas inawaweka mbele huku inajificha mashuleni na hospitalini na kambi za wakimbizi. Hapa unashangilia Israel haipigi, ikipiga unadai imepiga shule na kambi.
 
Kama kichwa cha habari kinavojieleza habari ambazo zina trend kwa sasa ni kwa Majenerali wa Jeshi la Israel kuitaka serikali ya Netanyahu kusitisha vita huko Gaza ili mateka wakombolewe salama na pia kuepusha vita na Hesbollah ya Lebanon kitu ambacho wao wanaona hakuna msingi huo hata kama Hamas wataendelea kubakia Gaza.

Hii inatokana na askari wa majeshi ya Israel kuchoka kupigana na kupelekea wengine ama kuacha jeshi au kuomba kuondolewa jeshini wakati huohuo ikíkabiliwa na upungufu mkubwa wa wapiganaji katika uwanja wa mapambano.

Habari zaidi zinapatikana katika vyombo vya habari mbalimbali duniani likiwemo gazeti maarufu la Israel "HAAERTZ''
Sisi majenerali wa kiyahudi wa mbagala kingugi tunasema hakuna kuondoa jeshi."
 
⚠️BREAKING NEWS⚠️

Israel wants to ceasefire with Hamas now. Israel knows that Hamas is in full power these days.

Israel even fears the war with Lebanon directly.
 

Attachments

  • IMG_20240703_192631.jpg
    IMG_20240703_192631.jpg
    113.2 KB · Views: 2
Huna unalolijua wewe zaidi ya kujipitisha kwangu huku unatingisha kalio.
Endelea kutukana huku JF ila kaa ukijua mabwana zako magaidi wanapukutishwa hapo Middle East.

 
Mimi nashauri hamas waikatae hii cease fire ya kihuni haiwezekani hamas walikubali cease fire kabla ya wao kuvamia rafah na hamas akiwatahadharisha kuwa hawatapata kitu zaidi ya kuua wasio na hatia sasa wanataka sizi faya wakati wamesha haribu rafah hii ngoma iendelee tu
 
Labda u kijana mdogo na hupendi kujisomea mambo ya duniani.

Hiyo kwa Ghaza siyo mara ya kwanza, ishabomolewa sana kanzia 1948.

Jiulize, kubomolewa kote huko Hamas wanapata wapi silaha? Wateka wa kizayuni wako wapi? mashambulizi ya ki guerilla wanayoyafanya saa zote wanatokea wapi?
Hamas sidhani kama wana silaha dhaifu kama inavyofikiriwa, IDF wamezidiwa morali ya vita na intelligence.

Hamas sio migambo, nahisi ni commandos kabisa wenye mafunzo ya hali ya juu, na wamesomea nchi wanachama kama Iran, Lebanon n.k....
 
Hamas sidhani kama wana silaha dhaifu kama inavyofikiriwa, IDF wamezidiwa morali ya vita na intelligence.

Hamas sio migambo, nahisi ni commandos kabisa wenye mafunzo ya hali ya juu, na wamesomea nchi wanachama kama Iran, Lebanon n.k....
Huko nyuma nilisoma ripoti ya magenerali wa Israel kuzuwia IDF wasione video za mazoezi ya Hamas maana zingewakatisha tamaa,nilipost humu,watu wakanidhihaki,ilikua siku nyingi kabla kabisa ya hii vita
 
Huko nyuma nilisoma ripoti ya magenerali wa Israel kuzuwia IDF wasione video za mazoezi ya Hamas maana zingewakatisha tamaa,nilipost humu,watu wakanidhihaki,ilikua siku nyingi kabla kabisa ya hii vita
Ni kweli mkuu, vyombo vya habari magharibi na Israel wanadhani kukubali hamas ni commandos wanahisi kujidhalilisha kwa kuwapandisha lakini ni heri wakubali hao Hamas ni commandos ambao ni highly trained ili kusudi dunia ifahamu IDF ina deal na watu ambao wana mafunzo ya special forces, kuwaita migambo inawashusha zaidi IDF kiuwezo mbele ya macho ya dunia kama jeshi lililoaminika ni bora zaidi duniani likihangaishwa na migambo.

Lakini ukweli usemwe, Hamas sio kama watu wanavyoifikiria, si kazi nyepesi hata kidogo useme watu wenye mafunzo ya migambo kuhangaishana na jeshi kama IDF ndani ya kieneo ambacho ukubwa wake unatembea kwa miguu kwenda na kurudi kwa siku moja, sio siku masaa machache.
 
Hii vita kwa sasa imepoteza mwelekeo. Nina uhakika pia malengo ya kuwakomboa mateka na kuiangamiza Hamas nayo hayatatimia.
Na ahadi ya kuanzisha vita dhidi ya Hezbollah pia itaota mbawa!!


Kimsingi Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu amefeli vibaya. Ni historia pekee ndiyo itamkumbuka yeye na wenzakefil wa Hamas, kwa mauaji ya halaiki waliyoyafanya.
Amefeli ila anavoshupaza shingo utafikiri yeye ndo anashika bunduki ..yule mtoto wake inabidi naye apelekwe jeshini ili tuone kama bi sara atakubali
 
Hamas sidhani kama wana silaha dhaifu kama inavyofikiriwa, IDF wamezidiwa morali ya vita na intelligence.

Hamas sio migambo, nahisi ni commandos kabisa wenye mafunzo ya hali ya juu, na wamesomea nchi wanachama kama Iran, Lebanon n.k....
Has kila mazayuni wakitangaza wamewamaliza wanatowa silaha mpya.
Jana au juzi wametowa silaha ya kudungulia ndege na wameshaiangusha helicopter ya kizayuni ndani ya Ghaza.
 
Hamas sidhani kama wana silaha dhaifu kama inavyofikiriwa, IDF wamezidiwa morali ya vita na intelligence.

Hamas sio migambo, nahisi ni commandos kabisa wenye mafunzo ya hali ya juu, na wamesomea nchi wanachama kama Iran, Lebanon n.k....
Hilo ni kweli, mgambi tu hawezi kufanya oparedheni waliyoifanya Oktoba 7.

Na walifahamu fika matokeo yatayofatia, walikuwa wamejitayarisha vya kutosha ndiyo maana mwezi wa 9 sasa bado wanajihami kishujaa kabisa.

Majenerali wa kizayuni wameshsema "Hamas hatuwawezi" kwa namna jeshi lao lilivyo na mashoga wengi kuliko wapiganaji.
 
Endelea kutukana huku JF ila kaa ukijua mabwana zako magaidi wanapukutishwa hapo Middle East.

The number of disabled Israeli army soldiers has exceeded 70,000 for the first time, including 8,663 who had been wounded after the start of the war on Gaza on... Number of Israeli disabled soldiers exceeds 70,000 since 7 October - Report
 
The number of disabled Israeli army soldiers has exceeded 70,000 for the first time, including 8,663 who had been wounded after the start of the war on Gaza on... Number of Israeli disabled soldiers exceeds 70,000 since 7 October - Report
Wataalm wa kivita wanakiri kuwa ni heri askari afe vitani kuliko kubaki anaishi na kilema, ni mzigo mkubwa sana kwa jeshi na nchi.

Ndiyo maana Hamas wakiwapiga hawarudii kuwashika wala kuwamalizia majeruhi, wanawawacha wabebe mzigo wao, mpaka mazayuni wakaja na kanuni yao ya "haniibal" ambayo inawataka askari wa kizayuni wasibebe mizigo ya askari waliojeruhiwa, wawamalize kabisa wao wenyewe.

Uzayuni umefikia mwisho wake, wale tuliokuwepo wakati wa mapambano ya SAfrika kusini kujikombowa tunaona kabisa kuwa uzayuni upo ukingoni. Bi;la Mmarekani na NATo saa hizi kungekuwa hakuna uzayuni, na wata badilika tu, utasaidi vilema mpaka lini?

Mwenyezi Mungu kawaongezea kilema cha ushoga wanajeshi wa kizayuni, askari ambao wanakwenda front huku wamevaa diapers, kuzuia mavi yaokuwatapakaa, ambayo hayana tena kizuizi cha asili.
 
Back
Top Bottom