Majenerali wa Jeshi la Isreal wataka vita visitishwe huko Gaza

Majenerali wa Jeshi la Isreal wataka vita visitishwe huko Gaza

Wataalm wa kivita wanakiri kuwa ni heri askari afe vitani kuliko kubaki anaishi na kilema, ni mzigo mkubwa sana kwa jeshi na nchi.

Ndiyo maana Hamas wakiwapiga hawarudii kuwashika wala kuwamalizia majeruhi, wanawawacha wabebe mzigo wao, mpaka mazayuni wakaja na kanuni yao ya "haniibal" ambayo inawataka askari wa kizayuni wasibebe mizigo ya askari waliojeruhiwa, wawamalize kabisa wao wenyewe.

Uzayuni umefikia mwisho wake, wale tuliokuwepo wakati wa mapambano ya SAfrika kusini kujikombowa tunaona kabisa kuwa uzayuni upo ukingoni. Bi;la Mmarekani na NATo saa hizi kungekuwa hakuna uzayuni, na wata badilika tu, utasaidi vilema mpaka lini?

Mwenyezi Mungu kawaongezea kilema cha ushoga wanajeshi wa kizayuni, askari ambao wanakwenda front huku wamevaa diapers, kuzuia mavi yaokuwatapakaa, ambayo hayana tena kizuizi cha asili.
Hata watetezi wao wengi hapa JF ni upinde wenzao tu.
 
Na magaidi vilema Wapo wangapi?!
Hayo yasikusumbuwe sana. Sapalestina hawajaanza kuuliwa na kutiwa vilema leo au jana, tokea mwaka 1948, sasa hao vilema wameamua liwlo na liwe, ndiyo maana unawaona wanavyopigana kishujaa hapo Ghaza na sasa Kaskazini ya israel.

Huu ni mwanzo tu wa mwisho wa uzayuni, kumbuka hilo.
 
Hayo yasikusumbuwe sana. Sapalestina hawajaanza kuuliwa na kutiwa vilema leo au jana, tokea mwaka 1948, sasa hao vilema wameamua liwlo na liwe, ndiyo maana unawaona wanavyopigana kishujaa hapo Ghaza na sasa Kaskazini ya israel.

Huu ni mwanzo tu wa mwisho wa uzayuni, kumbuka hilo.
Magaidi Hamas wanazidi kupukutishwa tu hapo Gaza. Almost 40k wameuwawa kuanzia Oct 7 walipofanya ugaidi dhidi ya Israel.
 

Attachments

  • IMG_4962.jpeg
    IMG_4962.jpeg
    1.2 MB · Views: 3
Kwa akili ulitarajia Israel alilenga kwenda kukomboa mateka? Israel alitaka kuiharibu Gaza na miundombinu ya Hamas, hili kafanikiwa kwa asilimia kubwa. Kuimaliza Hamas ni ngumu kwani ni ideology, ila wapiganaji wake wengi wamekufa na walibakia inabidi wajifiche kati ya raia.
😀😀😀
Kwamba wewe ndio unajua zaidi kuliko paka
Sio mimi niliosema kama naenda kuiangamiza hamas ni paka ila mpaka sasa kachemka ila wewe unahishana na paka
Hata hao magaidi wao waliotekwa sio mimi nlosema kama naenda kuwaokoa ni paka
Kamwambia paka kama hawawezi kuiondoa hamas maana alisema ataifuta hamas ila mwaka sasa
Yaani kaeneo kama sinza kamemshinda 😀😀
 
Israel ipo hapo ilipo ikiwa na Jordan, Syria, Egypt, Lebanon zote zinaidai ardhi. Bado inawafanya inavyojisikia. Hao Hamas wasiishe warudi tena watengeneze magofu mengine hilo ni juu yao.

Netanyahu aliwaambia atatoa somo, likiisha wakitaka watapewa somo tena. Israel haijapunguza hata inch moja. Tofauti na Russia ambao wanapigana na jeshi la nchi, Israel haipigani na jeshi ndio maana kila siku mnalalamika watoto, wazee na wanawake kuuwawa sababu Hamas inawaweka mbele huku inajificha mashuleni na hospitalini na kambi za wakimbizi. Hapa unashangilia Israel haipigi, ikipiga unadai imepiga shule na kambi.
Hayo ya syria yaache njoo hapa kwa hamas na usrahell
Usrahell anachoweza nikuua watu wasiokua na hatia kama eti kupigana na magaidi kama mnavyodai ndio sababu ya vifo kua vingi nakuuliza tu usrhell ndio nchi ya kwanza kupigana na hao mnaowaita magaidi mbona huko kwengine hatujaona vifo vya aina ya usrahell
Usrahell ndio gaidi namba moja sababu anatumia mpaka chakula dawa nk kama silaha wakati ambao wenzake kina russia walikua wanaambiwa kinyume na sharia za kimataifa
neta paka hakutwambia anaenda kubomoa majengo kama kuna sehemu alisema tuoneshe tupaone neta paka alisema anaenda kukomboa magaidi wao waliotekwa nampaka sasa mwaka kasoro miezi mitatu kakomboa watu wanne hii ni zaidi ya aibu kwa jeshi mnaloliita bora na nchi mnayosema ina intel bora duniani
Pia neta paka alisema anaenda kuifuta hamas juzi tu hamas wamerusha roket ndani ya usrahell kuonesha kua wanaouawa sio wao nandio maana bado wananguvu ya kupambana na usrahell au media group
Mwisho hakuna somo analotoa netapaka zaidi ya kuua watoto kina mama na wagonjwa hospital na hili niliwaambieni tokea mwanzo kua ndio pekee analoweza kufanya hamas usrahell walisema kuna hamas 15k ila leo vifo vinasoma 39k sasa hamas si washakufa wote leo wanapambana na nini
Halafu mimi sijawahi kudai kwamba usrahell anashambulia shule na hospital ila ndio ukweli ulivyo shifaa hospital alisema kuna comand ya hamas akaibomoa akashindwa kuleta ushahidi wa kweli na hataleta mpaka qiyama
Akazusha shutuma UNRWA ni wahusika wa lile shambulio kashindwa kuleta ushahidi na hataleta mpaka qiyama
Usrahell anachoweza kupiga ni majengo na watu wasiokua na hatia nandio maana anashindwa kumaliza hii vita kama angekua anapigana na hamas angekua kawamaliza zamani sana
Nasikia ukanda wa ghaza unaweza kwenda na kurudi hata mara million kwa siku kutumia miguu ila usrahell anashindwa kukomboa hata magaidi wake walotekwa dah
Usrahell ukiisikia kwa wachambuzi wa jf utaona inatisha zaidi ya kifo kumbe bure kabisaaa
 
Enyi watu mjifunze kwenye vita hii ya hamas na IDF kuna kitu kinatokea watu wanachkulia poa. Wale comandos wa hamas wanaweza kutembea mpaka kwenye kifaru cha idf wazi wazi na kuna askari ndani yake lakini hawawaoni mpaka mtu anaplant bomu anarudi analipua unajua ni kwaninj? Someni uislam mtajua kuna aya ukisoma adui hakuoni abadani na ipo katika Quran tu hakuna pengine utaipata sasa wale ni maulamaa chungu za mwenyewe video zao wanazopublish utagundua kitu
 
Enyi watu mjifunze kwenye vita hii ya hamas na IDF kuna kitu kinatokea watu wanachkulia poa. Wale comandos wa hamas wanaweza kutembea mpaka kwenye kifaru cha idf wazi wazi na kuna askari ndani yake lakini hawawaoni mpaka mtu anaplant bomu anarudi analipua unajua ni kwaninj? Someni uislam mtajua kuna aya ukisoma adui hakuoni abadani na ipo katika Quran tu hakuna pengine utaipata sasa wale ni maulamaa chungu za mwenyewe video zao wanazopublish utagundua kitu
🤣🤣🤣, Mwamedi mwenyewe watu walimvunja meno wewe unakuja na mambo ya aya. Unataka kuwa Kinjekitile wa kizazi hiki!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787], Mwamedi mwenyewe watu walimvunja meno wewe unakuja na mambo ya aya. Unataka kuwa Kinjekitile wa kizazi hiki!
Alijificha pangoni kwa aya buibui wakatanda muda huo huo ikaoneka kama hapajaingiwa mtu humo kwa muda wa miaka kadhaaa kumbe dk 5 zilizopita mtu kaingia hio ndio Quran
 
Alijificha pangoni kwa aya buibui wakatanda muda huo huo ikaoneka kama hapajaingiwa mtu humo kwa muda wa miaka kadhaaa kumbe dk 5 zilizopita mtu kaingia hio ndio Quran
Acha na hivi vichekesho
 
Hilo ni kweli, mgambi tu hawezi kufanya oparedheni waliyoifanya Oktoba 7.

Na walifahamu fika matokeo yatayofatia, walikuwa wamejitayarisha vya kutosha ndiyo maana mwezi wa 9 sasa bado wanajihami kishujaa kabisa.

Majenerali wa kizayuni wameshsema "Hamas hatuwawezi" kwa namna jeshi lao lilivyo na mashoga wengi kuliko wapiganaji.
Yahya sinwar,alimtumia ujumbe haniyeh,tunewaweka waisrael pahala tulipopataka,Leo netanyahu anakaa na wenzake kujadili sizi faya,maana makamanda msitari wa mbele washaona Hali si hali
 
Back
Top Bottom