Majenerali wa Jeshi la Isreal wataka vita visitishwe huko Gaza

Majenerali wa Jeshi la Isreal wataka vita visitishwe huko Gaza

Alijificha pangoni kwa aya buibui wakatanda muda huo huo ikaoneka kama hapajaingiwa mtu humo kwa muda wa miaka kadhaaa kumbe dk 5 zilizopita mtu kaingia hio ndio Quran
Achana na hawa kenge hata uwape mfno gani watakukejeli tuh ...NB mjinga mjibu kaa ujinga wake
 
Israel ipo hapo ilipo ikiwa na Jordan, Syria, Egypt, Lebanon zote zinaidai ardhi. Bado inawafanya inavyojisikia. Hao Hamas wasiishe warudi tena watengeneze magofu mengine hilo ni juu yao.

Netanyahu aliwaambia atatoa somo, likiisha wakitaka watapewa somo tena. Israel haijapunguza hata inch moja. Tofauti na Russia ambao wanapigana na jeshi la nchi, Israel haipigani na jeshi ndio maana kila siku mnalalamika watoto, wazee na wanawake kuuwawa sababu Hamas inawaweka mbele huku inajificha mashuleni na hospitalini na kambi za wakimbizi. Hapa unashangilia Israel haipigi, ikipiga unadai imepiga shule na kambi.
Ushahidi ulishatolewa kuwa Israel wanashambulia raia kimakusudi.
Ukitaka mkuu tunakuwekea ushahidi.
IDF wamekua wakishindwa STREET BATTLES hasira wakimaliza kwa raia wakawaida.
Mfano bomu lililopigwa kanisani na wanawake wawili waliouliwa na SNIPER.
Unataka kusema Sniper mdunguaji wa masafa ya mbali anashindwa kung'amua adui!?
Hilo laonesha wazi kuwa Israel inaua raia kimakusudi,huko vita za mtaani na Alqassam zinamshinda.

Egypt na Lebanon na Jordan walishauridisha ardhi zao.
Anayemdai ardhi Israel ni Syria(Gollah heights) na Palestine basi.
Hao wa huko juu ardhi zao zilirudi Egypt na Jordan 1973 kwa mtutu wa bunduki na 1978 kwa makubaliano ya Camp David pamoja na Jordan.
Lebanon 2000 kwa withdrawal ya IDF pamoja na 2006 kwa mtutu wa bunduki pale Bint Jubeir.
Israel ni dhaifu,kuna video nyingi zimesambaa ikikimbia cross fire dhidi ya Hamas mitaa ya Gaza iliyobomoka.
Na Gaza kubomoka sio mara ya kwanza 2006,20011,2021 ilibomoka na ikajengwa.
 
Kama kichwa cha habari kinavojieleza habari ambazo zina trend kwa sasa ni kwa Majenerali wa Jeshi la Israel kuitaka serikali ya Netanyahu kusitisha vita huko Gaza ili mateka wakombolewe salama na pia kuepusha vita na Hesbollah ya Lebanon kitu ambacho wao wanaona hakuna msingi huo hata kama Hamas wataendelea kubakia Gaza.

Hii inatokana na askari wa majeshi ya Israel kuchoka kupigana na kupelekea wengine ama kuacha jeshi au kuomba kuondolewa jeshini wakati huohuo ikíkabiliwa na upungufu mkubwa wa wapiganaji katika uwanja wa mapambano.

Habari zaidi zinapatikana katika vyombo vya habari mbalimbali duniani likiwemo gazeti maarufu la Israel "HAAERTZ''
Acha porojo. Jeshini hakuna kitu kama hicho, jeshi lolote likifanya hivyo ni mutiny na ni mapinduzi na serikali hiyo itakuwa imeangushwa.
 
Kama kichwa cha habari kinavojieleza habari ambazo zina trend kwa sasa ni kwa Majenerali wa Jeshi la Israel kuitaka serikali ya Netanyahu kusitisha vita huko Gaza ili mateka wakombolewe salama na pia kuepusha vita na Hesbollah ya Lebanon kitu ambacho wao wanaona hakuna msingi huo hata kama Hamas wataendelea kubakia Gaza.

Hii inatokana na askari wa majeshi ya Israel kuchoka kupigana na kupelekea wengine ama kuacha jeshi au kuomba kuondolewa jeshini wakati huohuo ikíkabiliwa na upungufu mkubwa wa wapiganaji katika uwanja wa mapambano.

Habari zaidi zinapatikana katika vyombo vya habari mbalimbali duniani likiwemo gazeti maarufu la Israel "HAAERTZ''
Huu ndio ukweli
 
Back
Top Bottom