Majeneza getini mwa Hospitali ya Amana hayaleti taswira nzuri kwa Wagonjwa.

Nyie wa vijijini kaeni kwa kutulia ya mjini hayawahusu
Kwahiyo nyie wanaume wa mjini mnaogopa majeneza kuuzwa sehemu sahihi? Jeneza haliepukiki,hata kama majeneza yatakua yanauzwa Kariakoo shimoni.
 
Hata bugando mwanza unapoanza tu kupandisha kilima kwenda hospital kushoto na kulia ni majeneza tu.
 
Umezungumza jambo la maana sana
 
Kwahiyo nyie wanaume wa mjini mnaogopa majeneza kuuzwa sehemu sahihi? Jeneza haliepukiki,hata kama majeneza yatakua yanauzwa Kariakoo shimoni.
Hongera kumbe mpaka kariakoo shimoni unakufahamu?
 
Ambao hatujaona hayo masanduku hapo amana tuna comment wapi
 
Hilo la backup ya umeme wa jenereta ndio la Msingi mnoo,,Naagiza wizara husika ilifanyie kazi kwa ufanisi na Haraka,,Wamo humu watapata ujumbe
 
Yote tisa kumi kama huo ni mradi wa Dr flani humo ndani mie siongei chochote
 
Weee ngependekeza biashara gani iwekwe hapo? Guest au bar?
Use unashirikisha akili kabla ya kutoa maoni humu GT

1.Nani kakwambia guest na bar ndio biashara mbadala?
2. Kwani hoja hapa ni hayo maeneo kuwekwa biashara? Au hoja biashara ya majeneza kufanywa eneo LA wazi kama sehemu yakuingilia hospital?

N.B huko shuleni ulienda somea ujinga?!!
 
Biashara yoyote inalenga potential customers hiyo ndo sehemu sahihi ya hiyo display ya biashara, huwezi kupeleka biashara ya vipuri vya magari karibu na hospitali sio mahara pake au upeleke jeneza jaribu na bar au guest house.
 
Wewe KCMC bado hujafika nadhani. Pale unaweza ukagoma hata kuendelea na safari ya hospitali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…