Majeshi ya Korea kaskazini yaingia kuisaidia urusi kwenye vita

Majeshi ya Korea kaskazini yaingia kuisaidia urusi kwenye vita

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Kwa taarifa ya Sasa ni kwamba jeshi la Korea Kaskazini likiwa na Idadi ya wanajeshi 3000, limeingia Urusi tayari kupigana vita na Ukraine. Kitendo hiki Cha Korea Kaskazini kitapelekea nchi zingine kuingia upande wa Ukraine hivyo kurefusha vita hivi na kuvifanya vita vya tatu vya Dunia .
 
Miongoni mwa majeshi mabaya na katili kabisa lilikua jeshi la japan kipindi cha ww2 alafu wanafuatia wakorea huko front muda si mrefu tutaanza kusikia mauza uza ,..
Na mbaya zaidi hao wanaenda kupigana kwa misingi ya kiimani wakiamini wanaenda kupigana na upebari ambao kwao ni sumu kubwa sanaaaa sipati picha
 
Kwa taarifa ya Sasa ni kwamba jeshi la Korea Kaskazini likiwa na Idadi ya wanajeshi 3000, limeingia Urusi tayari kupigana vita na Ukraine. Kitendo hiki Cha Korea Kaskazini kitapelekea nchi zingine kuingia upande wa Ukraine hivyo kurefusha vita hivi na kuvifanya vita vya tatu vya Dunia .
Hata viwe vita vya tano vya dunia sawa tu, acha wapigane.
 
Miongoni mwa majeshi mabaya na katili kabisa lilikua jeshi la japan kipindi cha ww2 alafu wanafuatia wakorea huko front muda si mrefu tutaanza kusikia mauza uza ,..
Na mbaya zaidi hao wanaenda kupigana kwa misingi ya kiimani wakiamini wanaenda kupigana na upebari ambao kwao ni sumu kubwa sanaaaa sipati picha
Wale wa Chechen licha ya sifa kibao walikata moto vibaya.
 
Kwahiyo Urusi na ukubwa wote ule wa nchi ameishiwa wanajeshi mpaka anaomba kusaidiwa?
Ni kujipanga tu Ili wamalize kazi,maana kuna choko huku anachokonoa mzinga wa nyuki wa uajemi,pakinuka vizuri nguvu za mabepari zitahamia huko kwa choko huku ukraine itapokwa mji baada ya mji chapchap...ila kiduku kasema kawapeleka training
 
Miongoni mwa majeshi mabaya na katili kabisa lilikua jeshi la japan kipindi cha ww2 alafu wanafuatia wakorea huko front muda si mrefu tutaanza kusikia mauza uza ,..
Na mbaya zaidi hao wanaenda kupigana kwa misingi ya kiimani wakiamini wanaenda kupigana na upebari ambao kwao ni sumu kubwa sanaaaa sipati picha

Aiseeh! Wana uadui gani na Ukraine mpaka wapigane nao?
 
Back
Top Bottom