Majeshi ya Korea kaskazini yaingia kuisaidia urusi kwenye vita

Majeshi ya Korea kaskazini yaingia kuisaidia urusi kwenye vita

Miongoni mwa majeshi mabaya na katili kabisa lilikua jeshi la japan kipindi cha ww2 alafu wanafuatia wakorea huko front muda si mrefu tutaanza kusikia mauza uza ,..
Na mbaya zaidi hao wanaenda kupigana kwa misingi ya kiimani wakiamini wanaenda kupigana na upebari ambao kwao ni sumu kubwa sanaaaa sipati picha
Urussi ni mjanja sana ...hili lisinge wezekana kirahisi kama waukrain wasingevamia eneo la urusi hivyo hayo majeshi ya kiduku yanapelekwa Kursk...nilijua tu mrussi alitumia akili kuwapiga wavamizi kwa mtindo wa kulina asali ili aweze kuwaangamiza kwa wingi kama ilivyo sasa ...ukweli ni kwamba Urussi ilikuwa na uwezo wa kuangamiza wavamizi ndani ya siku 30 tu ila wengi wangekimbia na silaha zao ..hivyo angeua wachache na kuhalibu silaha chache tofauti na sasa ...waukrain wangekuwaxna akili wangeng'amua hii janja na kutoka KURSK HARAKA SANA
 
Miongoni mwa majeshi mabaya na katili kabisa lilikua jeshi la japan kipindi cha ww2 alafu wanafuatia wakorea huko front muda si mrefu tutaanza kusikia mauza uza ,..
Na mbaya zaidi hao wanaenda kupigana kwa misingi ya kiimani wakiamini wanaenda kupigana na upebari ambao kwao ni sumu kubwa sanaaaa sipati picha
Hawa macho madogo na jamii zao kwenye vita ni jamii hatari sana hizi , washenzi huwa hawarudi nyuma .
Ukraine wajiandae
 
Ni kujipanga tu Ili wamalize kazi,maana kuna choko huku anachokonoa mzinga wa nyuki wa uajemi,pakinuka vizuri nguvu za mabepari zitahamia huko kwa choko huku ukraine itapokwa mji baada ya mji chapchap...ila kiduku kasema kawapeleka training

Ni aibu kwa urusi. Toka siku tatu mpaka miaka. Chechen walishindwa, wakukodi walishindwa , ngoja tuone Korea.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-23-22-44-26-464.jpg
    Screenshot_2024-10-23-22-44-26-464.jpg
    305.7 KB · Views: 1
Urussi ni mjanja sana ...hili lisinge wezekana kirahisi kama waukrain wasingevamia eneo la urusi hivyo hayo majeshi ya kiduku yanapelekwa Kursk...nilijua tu mryssi alitumia skili kuwapiga wavamizi kwa mtindo wa kulina asali ili aweze kuwaangamiza kwa wingi kama ilivyo sasa ...ukweli ni kwamba Urussi ilikuwa na uwezo wa kuangamiza wavamizi ndani ya siku 30 tu ila wengi wangekimbia na silaha zao ..hivyo angeua wachache na kuhalibu silaha chache tofauti na sasa ...waukrain wangekuwaxna akili wangeng'amua hii janja na kutoka KURSK HARAKA SANA

Wewe unajua vita kuliko wanaopigana?. Urusi tangu Yale mavifaru yake yatawanywe yote Hana la maana Tena.
 
Aiseeh! Wana uadui gani na Ukraine mpaka wapigane nao?
Wanaenda kulipa fadhila kwa mjomba Putin ,Urusi ana historia ndefu na North Korea , Russia na China Ndio waliotengeneza hiyo nchi ili itumike kama buffer dhidi ya mmarekani kipindi cha Korean war , Russia na China walitoa mafunzo ,vifaa na hadi wanajeshi kupigana na mmarekani kwenye hiyo vita na mwisho Korea ikawa nchi mbili ,wakomunist huko kaskazini na mmarekani influence yake ikawa korea kusini .
Ni kama kama vita ya China Kati ya kwomentang waliokimbilia Taiwan na wacommunist akina mao ambao walishinda vita na kubaki mainland China .
 
Kwahiyo Urusi na ukubwa wote ule wa nchi ameishiwa wanajeshi mpaka anaomba kusaidiwa?
Hiyo inaitwa outsourcing mkuu
Walidhani atafanya mobilisation Ili kuleta panic kwa jamii ya Kirusi ila mwamba kafanya tofauti.

Sasa ndani ya Urusi ni Voluntary mobilisation halafu uko nje ni North ko.

Ila embu tuambie tofauti ya watuva, Ingushetia, Wasiberia, Buryat na hao Wanorth Ko?

Tatu hakuna uthibitisho wowote unao onyesha kuwa hao ni Wanorth Ko.

Hivyo hii ni propaganda kama nyingine Ili wapate sababu ya kushindwa kwao kuilinda Selidovo
 
Miongoni mwa majeshi mabaya na katili kabisa lilikua jeshi la japan kipindi cha ww2 alafu wanafuatia wakorea huko front muda si mrefu tutaanza kusikia mauza uza ,..
Na mbaya zaidi hao wanaenda kupigana kwa misingi ya kiimani wakiamini wanaenda kupigana na upebari ambao kwao ni sumu kubwa sanaaaa sipati picha
Wale wa Nazi wanavyoimbwa vibaya na vitabu vya historia huwa naona kuna propaganda za chuki zikiongezeka dhidi ya wajerumani ,ila makatili halisi walikuwa ni ile regime ya akina Hirohito na Tojo ,wale Wajapan walifanya massacres na unyama wa kutisha ni vile tu maslahi ya mmarekani hapo Japan akaamua kupindisha ukweli ,maana hata sidhani kama wale jamaa wakipewa adhabu kali kama wanazi wa Ujerumani .
 
Wewe unajua vita kuliko wanaopigana?. Urusi tangu Yale mavifaru yake yatawanywe yote Hana la maana Tena.
Vifaru vya daraja ya chini ....urussi siyo marekani kamwe hawezi kushindwa na nato hata wakiungana vipi.
 
Pomoja na like kundi la prigovin bado anachukua Korea kaskazini.
Wagner group hawapo tena ukraine tangu yule kipara auawe wako west afrika nako wanapigwa mno sijui nickname ya dogs of war imekuwaje
 
Back
Top Bottom