Majeshi yangu bora ya Afrika 2024

kwa mara ya kwanza naona ndani ya thread yako umesifu zana za mrusi
big up braza
Kwanini huwa mnadai naziponda silaha za Urusi, huwa nafanya fair comparison. Iwe naipinga silaha yao au naikubali dhidi ya nyingine ya Western bado nafanya fair sipindishi.
Mfano hapo nimetaja Yak-130 trainer kuwa ni bora kutoka Urusi, sio bora dunia nzima. Ila kwenye list ya trainers bora duniani ipo, ingawa haiwezi kuwa ya kwanza ushindani ni mkali. Nyinyi mnataka niseme Russia ni wazuri kila kitu au wabovu kila kitu wakati sio.
 
Mkuu Umesahau Tanzania ni ya 6 Duniani..
Alisema yule msemaji wetu
 
Tangu ulipotuamisha kuhusu IDF kuwa jeshi bora sana duniani, ukasifia vifaru vyao vya Mercava, ukawananga warusi kuwa ni jeshi bovu na wame underperform huko Ukraine; napata mashaka na uchambuzi wako, hasa ukizingatia performance ya IDF huko gaza.
 
Mkuu Umesahau Tanzania ni ya 6 Duniani..
Alisema yule msemaji wetu
Tanzania hatuwezi kuwa kinara wa lolote jema duniani. Wachungaji wetu wezi wa sadaka na matapeli, watumishi wa Mungu wahuni mara wanabaka mara wanalawiti, wanasiasa mafisadi, wanandoa sio waaminifu, wakandarasi wakifanya miradi wanalipua, maaskari waonevu, wahudumu wa afya hawajitumi.

Kwenye jamii ya watu wahuni kama hao hamuwezi kuwa na jeshi imara duniani, jeshi ni product ya jamii na ndio kielelezo cha haraka cha jamii iliyostaarabika. Haiwezekani kila sekta na taasisi hata za kidini ziwe mbovu alafu eti jeshi tu ndio liwe sawa.
 
Ni kwasababu watu wanatengenezwa na ugumu wa Maisha
 
Islander missile hazijawahi kuuzwa popote
 
GDP hazina uhasilia
 
Majeshi ya show off hayo wakipigana na Al Houth wote wana malizwa
 
Inaonekana vita inahamia kwenye drones. Tuwekeze kwenye kufundisha watu masuala ya drones. SA waliwekewaga vikwazo vya silaha wakati wa ukaburu, wakaaanza kuunda wenyewe. Waliunda mzinga mmoja bora sana hadi nchi zingine zikaanza kununua. Wakaja hawa wakina Zuma wanawaza ngono na kula, yaani hata starehe zao ni basic kabisa!!
 
Kwa mfano umeandika GDP ya Egypt ni zaidi ya 1 tr usd! Hamna nchi ya Africa iliyofika hapo
Ungesoma hapo niliandika kabisa kwamba ni in terms of PPP si ndio. Sasa wewe unakariri nominal. Egypt hata kufika $2 trillion GDP in PPP haitokuwa ajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…