Majeshi yetu yana Maoni gani kwenye Sakata la Bandari?

Majeshi yetu yana Maoni gani kwenye Sakata la Bandari?

Restless Hustler

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
5,150
Reaction score
20,025
Tupo katika kipindi ambacho ugaidi unakua na kusambaa na kushika taswira ya janga la kidunia.

Ni dhahiri kuwa ubinafsishwaji wa bandari unaweza kuwa na athari za Kiulinzi na za kiusalama kwa nchi yetu kwani itapunguza mamlaka za bandari hivyo hata uwezo wa ukaguzi wa shehena huwenda utapunguwa na baadaye inaweza kuwa mwiba mbavuni mwa majeshi yetu.

Je, maoni ya jeshi au majeshi ya nchi yetu ni yapi?!
 
Tupo katika kipindi ambacho ugaidi unakua na kusambaa na kushika taswira ya janga la kidunia.

Ni dhahiri kuwa ubinafsishwaji wa bandari unaweza kuwa na athari za Kiulinzi na za kiusalama kwa nchi yetu kwani itapunguza mamlaka za bandari hivyo hata uwezo wa ukaguzi wa shehena huwenda utapunguwa na baadaye inaweza kuwa mwiba mbavuni mwa majeshi yetu.

Je, maoni ya jeshi au majeshi ya nchi yetu ni yapi?!
HII INAFUTWA JF WALIVYO WAOGA
 
Tupo katika kipindi ambacho ugaidi unakua na kusambaa na kushika taswira ya janga la kidunia.

Ni dhahiri kuwa ubinafsishwaji wa bandari unaweza kuwa na athari za Kiulinzi na za kiusalama kwa nchi yetu kwani itapunguza mamlaka za bandari hivyo hata uwezo wa ukaguzi wa shehena huwenda utapunguwa na baadaye inaweza kuwa mwiba mbavuni mwa majeshi yetu.

Je, maoni ya jeshi au majeshi ya nchi yetu ni yapi?!
Wametulia ktk usiri mkubwa. Usalama upo juu hata Taifa lingekuwa halina kiongozi amani ingekuwepo...
 
Tupo katika kipindi ambacho ugaidi unakua na kusambaa na kushika taswira ya janga la kidunia.

Ni dhahiri kuwa ubinafsishwaji wa bandari unaweza kuwa na athari za Kiulinzi na za kiusalama kwa nchi yetu kwani itapunguza mamlaka za bandari hivyo hata uwezo wa ukaguzi wa shehena huwenda utapunguwa na baadaye inaweza kuwa mwiba mbavuni mwa majeshi yetu.

Je, maoni ya jeshi au majeshi ya nchi yetu ni yapi?!
Ngoja yote wapate kinga za kutosbtakiwa
 
Unafikiri ni kazi ya Majeshi ya ulinzi kuhoji mikataba?
 
Sidhani Kama itakuwa ni njia sahihi ya kuimarisha usalama wa nchi yetu
 
Back
Top Bottom