Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Tupo katika kipindi ambacho ugaidi unakua na kusambaa na kushika taswira ya janga la kidunia.
Ni dhahiri kuwa ubinafsishwaji wa bandari unaweza kuwa na athari za Kiulinzi na za kiusalama kwa nchi yetu kwani itapunguza mamlaka za bandari hivyo hata uwezo wa ukaguzi wa shehena huwenda utapunguwa na baadaye inaweza kuwa mwiba mbavuni mwa majeshi yetu.
Je, maoni ya jeshi au majeshi ya nchi yetu ni yapi?!
Ni dhahiri kuwa ubinafsishwaji wa bandari unaweza kuwa na athari za Kiulinzi na za kiusalama kwa nchi yetu kwani itapunguza mamlaka za bandari hivyo hata uwezo wa ukaguzi wa shehena huwenda utapunguwa na baadaye inaweza kuwa mwiba mbavuni mwa majeshi yetu.
Je, maoni ya jeshi au majeshi ya nchi yetu ni yapi?!