mwanamichakato
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 1,188
- 1,090
Jeshi la Wananchi wa Tanzania..
Wanaangalia maslahi mapana ya watanzania na kuyalinda,kuyatekeleza..Wana viapo thabiti na uzalendo uliotukuka
JPM alitumia zaidi wanajeshi sababu ya nidhamu iliotukuka..
Wanaangalia maslahi mapana ya watanzania na kuyalinda,kuyatekeleza..Wana viapo thabiti na uzalendo uliotukuka
JPM alitumia zaidi wanajeshi sababu ya nidhamu iliotukuka..