Majesuit ndio walimuua Abraham Lincoln

Majesuit ndio walimuua Abraham Lincoln

SIJAFUPISHA WALA NINI


KAMA NIMEFUPISHA HAYO MAJIBU YA PADRE

LETA WEWE AMBAYO HAYAJAFUPISHWA

TUKATE MZIZI WA FITINA
sasa naomba nifunue huo ujanja ujanja uliotumia
hapo kwenye icho kitabu (unataka kudanganya
watu sio )

ulichokifanya ndugu arooni ni hiki KWENYE IYO
SURA YA 74 UMENYOFOANYOFOA AYA NA
MISTARI NA KUIPANGA KAMA UNAVOTAKA WEWE
.
NA KIBAYA ZAIDI KUNA MAELEZO NA MANENO
ULIOYAACHA NDANI YA IZO AYA eti unawekea
dot (......) unaweka dot kwenye mambo ya msingi
kama hayo ( na umefanya ivo kwa lengo la
kuharibu maana iliyokusudiwa na mwandishi)

SASA KAMA UNAJIAMINI tuletee maelezo ya
humo ulipoweka dot(......) then unganisha na
hayo uliyoyaleta (yaani kwenye iyo sura ya 74
leta kila kitu kama kinavoonekana kwenye kitabu)

leta maelezo ulioyaacho kwenye izo dot(......)
na usipoleta naomba usirudi ndo uhamishie magoli kwenye KATEKISIMU
 
sasa naomba nifunue huo ujanja ujanja uliotumia
hapo kwenye icho kitabu (unataka kudanganya
watu sio )

ulichokifanya ndugu arooni ni hiki KWENYE IYO
SURA YA 74 UMENYOFOANYOFOA AYA NA
MISTARI NA KUIPANGA KAMA UNAVOTAKA WEWE
.
NA KIBAYA ZAIDI KUNA MAELEZO NA MANENO
ULIOYAACHA NDANI YA IZO AYA eti unawekea
dot (......) unaweka dot kwenye mambo ya msingi
kama hayo ( na umefanya ivo kwa lengo la
kuharibu maana iliyokusudiwa na mwandishi)

SASA KAMA UNAJIAMINI tuletee maelezo ya
humo ulipoweka dot(......) then unganisha na
hayo uliyoyaleta (yaani kwenye iyo sura ya 74
leta kila kitu kama kinavoonekana kwenye kitabu)

leta maelezo ulioyaacho kwenye izo dot(......)
na usipoleta naomba usirudi ndo uhamishie magoli kwenye KATEKISIMU
KWANINI WEWE USILETE HIZO AYA AU UKWELI HALISI TUFANANISHE?

WEWE HAUNA NA TOFAUTI NA WAISLAMU WASEMAO BIBLIA IMEBASILISHWA ,ILA HIYO HALISI HAWATAKI KUILETA



LETA HIZO NUKUU HALISI TUFANANISHE BASI ,


MBONA UNALIALIA
 
sasa naomba nifunue huo ujanja ujanja uliotumia
hapo kwenye icho kitabu (unataka kudanganya
watu sio )

ulichokifanya ndugu arooni ni hiki KWENYE IYO
SURA YA 74 UMENYOFOANYOFOA AYA NA
MISTARI NA KUIPANGA KAMA UNAVOTAKA WEWE
.
NA KIBAYA ZAIDI KUNA MAELEZO NA MANENO
ULIOYAACHA NDANI YA IZO AYA eti unawekea
dot (......) unaweka dot kwenye mambo ya msingi
kama hayo ( na umefanya ivo kwa lengo la
kuharibu maana iliyokusudiwa na mwandishi)

SASA KAMA UNAJIAMINI tuletee maelezo ya
humo ulipoweka dot(......) then unganisha na
hayo uliyoyaleta (yaani kwenye iyo sura ya 74
leta kila kitu kama kinavoonekana kwenye kitabu)

leta maelezo ulioyaacho kwenye izo dot(......)
na usipoleta naomba usirudi ndo uhamishie magoli kwenye KATEKISIMU
Kulialia hakutakusaidia kitu

Kwanini usilete full nukuu unazosema sijaziweka

MIMI NIMEWEKA FULL NUKUU,


HIZO DOT NATENGANISHA TU

SASA WEWE KAMA SIO MUONGO LETA HAYO MANENO NILIYOYAACHA ,

INAONESHA HATA HICHO KITABU HUKIJUI NA HUNA
 
Kama maelezo hayo ni ya uongo


LETA WEWE YA UKWELI HAPA , ILI AJULIKANE NANI MUONGO

unadai ufafanuzi wangu ?

mi ndo nimekileta icho kitabu
kitabu ulete wewe ukikimbie wewe halafu maelezo uombe kwangu (unatumia nini kufikiri ndugu yangu)

kama hukuanacho kakitafute usome mwenyewe
na ndoo maana nakwambia we endelea kukopi na kupesti vitu usivovijua
 
Kulialia hakutakusaidia kitu

Kwanini usilete full nukuu unazosema sijaziweka

MIMI NIMEWEKA FULL NUKUU,


HIZO DOT NATENGANISHA TU

SASA WEWE KAMA SIO MUONGO LETA HAYO MANENO NILIYOYAACHA ,

INAONESHA HATA HICHO KITABU HUKIJUI NA HUNA
unadai ufafanuzi wangu ?
mi ndo nimekileta icho kitabu
kitabu ulete wewe ukikimbie wewe halafu
maelezo uombe kwangu (unatumia nini
kufikiri ndugu yangu)
kama hukuanacho kakitafute usome
mwenyewe
na ndoo maana nakwambia we endelea
kukopi na kupesti vitu usivovijua
 
unadai ufafanuzi wangu ?

mi ndo nimekileta icho kitabu
kitabu ulete wewe ukikimbie wewe halafu maelezo uombe kwangu (unatumia nini kufikiri ndugu yangu)

kama hukuanacho kakitafute usome mwenyewe
na ndoo maana nakwambia we endelea kukopi na kupesti vitu usivovijua
Kulia lia hakutakusaidia

MIMI NIMELETA QUOTATION

WEWE UNADAI NI ZA UONGO

SASA ILIKUTHIBITISHA NI ZA UONGO, SI ULETE HIZO ZA UKWELI?

hahaaaa ,wewe jamaa ushachoka akili, unadai nimeacha maneno, kama ni kweli leta hayo maneno niliyoyaacha


MIMI NASEMA SIJAACHA KITU,

endelea kulalama hapa ni bakora tu
 
Kulialia hakutakusaidia kitu

Kwanini usilete full nukuu unazosema sijaziweka

MIMI NIMEWEKA FULL NUKUU,


HIZO DOT NATENGANISHA TU

SASA WEWE KAMA SIO MUONGO LETA HAYO MANENO NILIYOYAACHA ,

INAONESHA HATA HICHO KITABU HUKIJUI NA HUNA
KOPI NA PESTI
NDO URUDI TENA

kitabu kidogo kama ocho kimekushinda
ndo ukaiweze KATEKISIMU
hizo ni ndoto za alinacha
 
unadai ufafanuzi wangu ?
mi ndo nimekileta icho kitabu
kitabu ulete wewe ukikimbie wewe halafu
maelezo uombe kwangu (unatumia nini
kufikiri ndugu yangu)
kama hukuanacho kakitafute usome
mwenyewe
na ndoo maana nakwambia we endelea
kukopi na kupesti vitu usivovijua
UNALIALIA SANA

NI KWELI NIMEKOP NA KUPEST

NIMEKOPI KATIKA KITABU CHA BUSTANI YA KATEKISTA Uk.74

Sio maneno yangu,ni ya padri
 
KOPI NA PESTI
NDO URUDI TENA

kitabu kidogo kama ocho kimekushinda
ndo ukaiweze KATEKISIMU
hizo ni ndoto za alinacha
Ndio NAKOP NA KUPEST KUTOKA KWA HICHO KITABU

KAMA NI UONGO ,LETA UKWELI KUTHIBITISHA

haahaaaaaa haaaaa
 
KOPI NA PESTI
NDO URUDI TENA

kitabu kidogo kama ocho kimekushinda
ndo ukaiweze KATEKISIMU
hizo ni ndoto za alinacha
WEWE NI MAAMUMA TENA WALE WASIOJUA KITU MNAOPELEKWA KAMA MBUZI TU

Hivi unawezaje kusema hii ni FAKE wakati ORIGINAL huna na hujawahi kuiona?


SASA MIMI NIMENUKUU BILA KUPEPESA MACHO

SASA WEWE UNAYEBISHANA NA PADRI WAKO, LETA NUKUU KAMILI KAMA MIMI NIMEPOTOSHA
 
Kulia lia hakutakusaidia

MIMI NIMELETA QUOTATION

WEWE UNADAI NI ZA UONGO

SASA ILIKUTHIBITISHA NI ZA UONGO, SI ULETE HIZO ZA UKWELI?

hahaaaa ,wewe jamaa ushachoka akili, unadai nimeacha maneno, kama ni kweli leta hayo maneno niliyoyaacha


MIMI NASEMA SIJAACHA KITU,

endelea kulalama hapa ni bakora tu
jibu swali izo dot(.......) ulzoweka mwishoni mwa kila aya ni za nini ? kama kuna maelezo hukucha

kwanini huogope hayo maelezo kuyaweka ?
nadhani sasa unaona faida kukopi na kupesti vitu usivovijua

utakuwa huko sawa kichwani wewe SiO bure
 
jibu swali izo dot(.......) ulzoweka mwishoni mwa kila aya ni za nini ? kama kuna maelezo hukucha

kwanini huogope hayo maelezo kuyaweka ?
nadhani sasa unaona faida kukopi na kupesti vitu usivovijua

utakuwa huko sawa kichwani wewe SiO bure
Haaahaaa KAMA KUNA MAELEZO UNAYAJUA KWANINI USIYAWEKE KUTHIBITISHA MIMI NI MUONGO?

KUWEKA ....... SIO KUONESHA NIMEACHA MANENO
 
jibu swali izo dot(.......) ulzoweka mwishoni mwa kila aya ni za nini ? kama kuna maelezo hukucha

kwanini huogope hayo maelezo kuyaweka ?
nadhani sasa unaona faida kukopi na kupesti vitu usivovijua

utakuwa huko sawa kichwani wewe SiO bure
Bila kujipanga hapa utakuwa unahenya,

KAMA KUNA MANENO NIMEACHA, INA MAANA UNAYAJUA

KWANINI USIYALETE HAYO MANENO?

wewe unaishi mbagala kimbangulile unataka kupingana na PADRE RAPHAEL?

saa ajabu hata form 4 hujafika, na inaonesha WEWE NDIO WALE KANISANI NI JUMAPILI YA X MASS PAGANISM HADI MWAKA MWINGINE
 
Bila kujipanga hapa utakuwa unahenya,

KAMA KUNA MANENO NIMEACHA, INA MAANA UNAYAJUA

KWANINI USIYALETE HAYO MANENO?

wewe unaishi mbagala kimbangulile unataka kupingana na PADRE RAPHAEL?

saa ajabu hata form 4 hujafika, na inaonesha WEWE NDIO WALE KANISANI NI JUMAPILI YA X MASS PAGANISM HADI MWAKA MWINGINE
ndio form 4 sijafika haina shida

we uliyefika mpaka phd UNATULETEA SURA NZIMA ya kitabu IKIWA NA mistari CHINI YA 10 pekee alafu unadai kila kitu kipo (hata mtoto wa darasa la kwanza atakucheka tu YAANI SURA NZIMA YA KITABU INAUNDWA NA MISTARI CHINI KUMI PEKEE)

we uliyefika mpaka PHD hujui hata maana ya dot (......) ambazo umeweka kwenye maelezo yako
halafu unadai eti umeandika kila kitu kama umeandika kila kitu maana ya izo dot(......) ni nini ? (au darasa la nne ulikuwa mtoro/doja darasani)

wewe PHD nakuomba maana ya izo dot(.....) ulizo weka hutaki kunipatia kama hujui maana ya dot(......) ulizoweka mwenyewe sema usaidiwe

Hata kama utaukataa ukweli huu kwangu mimi si ajabu kwani mtume Paulo alishabaini hilo alipomwandikia Timoteo katika waraka wa pili sura ya 4:3-4:
“utakuja wakati ambapo watu hawatasikiliza mabundisho ya kweli, ila watafuata tamaa zao wenyewe na kujikusanyia walimu tele watakaowaambia mambo yale tu ambayo masikio yao yako tayri kusikia. Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.” (2Tim 4:3-4).

USITEGEMEE KUNIONA TENA KWENYE HUO UPUUZI WAKO

ENDELEA NA NGONJERA ZAKO MWENYEWE

OVER
 
ndio form 4 sijafika haina shida

we uliyefika mpaka phd UNATULETEA SURA NZIMA ya kitabu IKIWA NA mistari CHINI YA 10 pekee alafu unadai kila kitu kipo (hata mtoto wa darasa la kwanza atakucheka tu YAANI SURA NZIMA YA KITABU INAUNDWA NA MISTARI CHINI KUMI PEKEE)

we uliyefika mpaka PHD hujui hata maana ya dot (......) ambazo umeweka kwenye maelezo yako
halafu unadai eti umeandika kila kitu kama umeandika kila kitu maana ya izo dot(......) ni nini ? (au darasa la nne ulikuwa mtoro/doja darasani)

wewe PHD nakuomba maana ya izo dot(.....) ulizo weka hutaki kunipatia kama hujui maana ya dot(......) ulizoweka mwenyewe sema usaidiwe

Hata kama utaukataa ukweli huu kwangu mimi si ajabu kwani mtume Paulo alishabaini hilo alipomwandikia Timoteo katika waraka wa pili sura ya 4:3-4:
“utakuja wakati ambapo watu hawatasikiliza mabundisho ya kweli, ila watafuata tamaa zao wenyewe na kujikusanyia walimu tele watakaowaambia mambo yale tu ambayo masikio yao yako tayri kusikia. Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.” (2Tim 4:3-4).

USITEGEMEE KUNIONA TENA KWENYE HUO UPUUZI WAKO

ENDELEA NA NGONJERA ZAKO MWENYEWE

OVER
Hahaaa KWANINI USILETE HIZO NUKUU TUFANANISHE KAMA NIMEDANGANYA?
 
ndio form 4 sijafika haina shida

we uliyefika mpaka phd UNATULETEA SURA NZIMA ya kitabu IKIWA NA mistari CHINI YA 10 pekee alafu unadai kila kitu kipo (hata mtoto wa darasa la kwanza atakucheka tu YAANI SURA NZIMA YA KITABU INAUNDWA NA MISTARI CHINI KUMI PEKEE)

we uliyefika mpaka PHD hujui hata maana ya dot (......) ambazo umeweka kwenye maelezo yako
halafu unadai eti umeandika kila kitu kama umeandika kila kitu maana ya izo dot(......) ni nini ? (au darasa la nne ulikuwa mtoro/doja darasani)

wewe PHD nakuomba maana ya izo dot(.....) ulizo weka hutaki kunipatia kama hujui maana ya dot(......) ulizoweka mwenyewe sema usaidiwe

Hata kama utaukataa ukweli huu kwangu mimi si ajabu kwani mtume Paulo alishabaini hilo alipomwandikia Timoteo katika waraka wa pili sura ya 4:3-4:
“utakuja wakati ambapo watu hawatasikiliza mabundisho ya kweli, ila watafuata tamaa zao wenyewe na kujikusanyia walimu tele watakaowaambia mambo yale tu ambayo masikio yao yako tayri kusikia. Watakataa kuusikia ukweli, watageukia hadithi za uongo.” (2Tim 4:3-4).

USITEGEMEE KUNIONA TENA KWENYE HUO UPUUZI WAKO

ENDELEA NA NGONJERA ZAKO MWENYEWE

OVER
Afadhali umeliona hilo mkuu...!

Vp kuhusu ile 666 aliyoifananisha na Papa...?maana kilichotokea alibadilisha uelekeo sasa haijulikani alielewa somo ama vp......?

Na ndio tabia zao siku zote.
 
Afadhali umeliona hilo mkuu...!

Vp kuhusu ile 666 aliyoifananisha na Papa...?maana kilichotokea alibadilisha uelekeo sasa haijulikani alielewa somo ama vp......?

Na ndio tabia zao siku zote.
Mbona unapayuka tu

Papa ni mpinga kristo

Ndiye mmiliki wa 666
e3f7c7c5a16ed10b3a96546ace4c1b5a.jpg
 
kweli nimeamini bado kuna watu wanahitaji kujitambua sana, unaambiwa leta hoja za kupinga hoja flani kwa ushahidi, unaleta bla bla , hata kama mleta hoja anaongea uwongo, but anajua jinsi ya kupingana kwa hoja zenye mashiko, tatizo wengine wanakuwa na ufia dini so akili inakuwa ndani ya box hawataki kuhoji, kisa wanamuogopa mungu atawapa adhabu kali?? this is so funny.
Please mleta mada tunaomba uendelee,,achana na wapuuzi wachache wasiojitambua.
 
kweli nimeamini bado kuna watu wanahitaji kujitambua sana, unaambiwa leta hoja za kupinga hoja flani kwa ushahidi, unaleta bla bla , hata kama mleta hoja anaongea uwongo, but anajua jinsi ya kupingana kwa hoja zenye mashiko, tatizo wengine wanakuwa na ufia dini so akili inakuwa ndani ya box hawataki kuhoji, kisa wanamuogopa mungu atawapa adhabu kali?? this is so funny.
Please mleta mada tunaomba uendelee,,achana na wapuuzi wachache wasiojitambua.
ahasante ndugu nashukuru

ningewaletea mengi na kwa wakati ila ni majukumu tu ndo yananibana
WAKILETA HOJA NITAKUJA KUJIBU LAKINI WAKILETA UPUUZI KAMA WA AROONI WA KUHAMISHA MAGOLI MARA SANAMU UKIMKABA UTAMKUTA KWENYE 666 AKISHIDWA ANAHAMIMA KWA BIKIRA MARIA hiyo kazi sifanyi
siwezi shinda mitandoni siku nzima kwa UPUUZI KAMA WA AROONI (nishamwambia kama anajiami akae kwenye mada moja akagoma)

ila kiufupi kaka nitaleta majibu kadiri nipatavo nafasi NA KAMWE SITAKAA NISHAMBULI MTU AU DHEHEBU LA MTU (sikufundiswha ivo na mwalimu wetu YESU KRISTO) NITAJITETEA TU NA KUJIBU MAWE NITAKAYO RUSHIWA PEKEE (nawahesimu woté hao ni ndugu zangu katika kristo na sote tu safarini)

otherwise nakushukuru Sana ndugu ahsante
 
Back
Top Bottom