EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
sasa naomba nifunue huo ujanja ujanja uliotumiaSIJAFUPISHA WALA NINI
KAMA NIMEFUPISHA HAYO MAJIBU YA PADRE
LETA WEWE AMBAYO HAYAJAFUPISHWA
TUKATE MZIZI WA FITINA
hapo kwenye icho kitabu (unataka kudanganya
watu sio )
ulichokifanya ndugu arooni ni hiki KWENYE IYO
SURA YA 74 UMENYOFOANYOFOA AYA NA
MISTARI NA KUIPANGA KAMA UNAVOTAKA WEWE
.
NA KIBAYA ZAIDI KUNA MAELEZO NA MANENO
ULIOYAACHA NDANI YA IZO AYA eti unawekea
dot (......) unaweka dot kwenye mambo ya msingi
kama hayo ( na umefanya ivo kwa lengo la
kuharibu maana iliyokusudiwa na mwandishi)
SASA KAMA UNAJIAMINI tuletee maelezo ya
humo ulipoweka dot(......) then unganisha na
hayo uliyoyaleta (yaani kwenye iyo sura ya 74
leta kila kitu kama kinavoonekana kwenye kitabu)
leta maelezo ulioyaacho kwenye izo dot(......)
na usipoleta naomba usirudi ndo uhamishie magoli kwenye KATEKISIMU