imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Waswahili walishamaliza kwa kusema "Penye Miti hakuna wajenzi".Nchi imezungukwa na mito,maziwa na bahari kila upande... Hatupaswi kuteseka kwa ukosefu wa maji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waswahili walishamaliza kwa kusema "Penye Miti hakuna wajenzi".Nchi imezungukwa na mito,maziwa na bahari kila upande... Hatupaswi kuteseka kwa ukosefu wa maji.
Mbezi na shida ya maji ndugu ila migari haikaukiwi na inachotea Mbezi hapo hapo. Huu usanii nduguHaya yanauzwa hapa Mbezi darajani hayana break down
USSR
Kiangazi hiki hata huku kwetu ni shida na ni ya mgao..Wizara ya maji - Dawasco, embu tatueni hili tatizo. Wananchi wanapata shida.
Line ya Morogoro road Ubungo hadi Kibaha hakuna maji.
Asante sana Kiongozi.Undeni group za WhatsApp maeneo yenu mnayoishi kama tulivyofanya sisi kisha humo mu waongeze hawa wadau muhimu
Dawasco/Dawasa
Tanesco
Polisi
Mkiwa waongeza waombeni wawe wanawapatia taarifa zote muhimu za dharura nk toka vitengo vyao na mara moja moja mnawaalika kwenye vikao vya mtaa mnakula nao pilau nyama na kunywa nao soda za Coka au Pepsi, msiweke vilevi maana pombe huzibua milango ya hofu
Hata hao wanachukua mbali mno. wasiwasi wangu maji yanaweza yasiwe salama.Mkuu hapo mbezi darajani maji yanauzwa kwenye makenta yanazungusha mitaani kwa ndoo moja buku ,
Waziri aweso yupo bize na wake wawili na tilalila kama konda wa manzese
USSR
CCM wao wanawaza kushinda uchaguzi tu, hawawezi kuwaza hayo.Kiangazi hiki hata huku kwetu ni shida na ni ya mgao..
Mwisho mbona kiangazi kidogo kinatuathiri hivi tukioata kiangazi kama Somalia au Ulaya na kwingineko itakuaje?
Jamani wataalamu wa maji muwe na utaratibu wa kuwa na maji ya uhakika,Bora mradi uwe expensive lakini uweze kuhimili Hali ngumu..
Na uhakika zaidi yawe maji ya bahari,Ziwa na moto mikubwa ikiwemo mabwawa ya hifadhi za maji.
Yuko bize anachakata mbususu tu na kelele kibao mikwala kama teja ,badala afike mbezi kwanzaAweso yuko busy na mitala [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbezi na shida ya maji ndugu ila migari haikaukiwi na inachotea Mbezi hapo hapo. Huu usanii ndugu
CCM na miaka 60+ Mambo mengi kizungumkuti. Jambo wanalofanikisha ni Kuwa madarakani tuBado umeme. Umesikia hapa ruaha maji ni machache.
Mkuu hapo mbezi darajani maji yanauzwa kwenye makenta yanazungusha mitaani kwa ndoo moja buku ,
Waziri aweso yupo bize na wake wawili na tilalila kama konda wa manzese
USSR
Pumbavu, miaka yote ya jpm hayakukauka
USSR
Wewe huko kijijini umezoea maji ya kisima tu .kaa kwa kutuliaKwani kipindi cha dhalimu maji ndio yalikuwa hayakatiki au unadhani tumesahau?
Niko mjini hata kabla dhalimu hajaja kimasomo.Wewe huko kijijini umezoea maji ya kisima tu .kaa kwa kutulia
USSR
Wapinzani Wamehusika afufuliwe MwendazakeHata huku Ruaha National park .mtoni maji ni machache
Vunjo ni mjini?Niko mjini hata kabla dhalimu hajaja kimasomo.