Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Vunjo ni mjini?
Kila mtu humu jf unadhani ni mchaga mwenzio?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vunjo ni mjini?
Mi mromboKila mtu humu jf unadhani ni mchaga mwenzio?!
Hata usiposema unafahamika.Mi mrombo
MAMA SAMIA ACHONGEWE SANAMU SIYO TU KAFANIKIWA KUTURUDISHA KWENYE UONGOZI BORA WA ZAMA ZA MSOGA KWA KUTULETEA SHIDA YA MAJI KAMA WAKATI KIKWETE BALI PIA KAFANIKIWA KUTULETEA UGONJWA WA KIPINDUPINDU KAMA WAKATI WA KIKWETE ...PIA KAFANIKISHA KULETA TENA MAGENERETA KARIAKOOO...PIA KAFANIKISHA KURUDISHA WAFANYA KAZI HEWA WA KUTOSHA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wizara ya maji - Dawasco, embu tatueni hili tatizo. Wananchi wanapata shida.
Line ya Morogoro road Ubungo hadi Kibaha hakuna maji.
Yule ni msanii kama wasanii wenzakeKuna wakati mwaka jana au juzi nadhani nilimwona Waziri Aweso kule Mbezi Makabe akipiga Tilalila za Maji na vyombo vya habari kuwa maji yanatoka anasaini mikataba hadharani na mbwembwe nyingi mno,Cha kushangaza leo nimetoka huko Makabe hadi Msakuzi Rafiki yangu ananiambia hakuna cha Maji wala nini hata hayo ya kununua elf 15 kwenye Magari hayapatikani.
Upo bia ya ngapi mkuuKuna shida gani ambapo maji yanakuwa shida Dar?
Tatizo mawasilianooo hawakuchukua jukumu la haraka kuwataaarifu walajiiKulikuwa na break down Mae neo ya Visiga na tatizo limeshafanyiwa kazi hali imerejea kwenye kawaida
Maji ni kama dhahabu hapa darTatizo mawasilianooo hawakuchukua jukumu la haraka kuwataaarifu walajii
Hata maisha ya kawaida / mahusianoo taarifaa mapema ata ka umechaipia uwongoo guruduuu linasogea na kupunguza magomvi
Customer service haipewi kipaumbele kabisa na hili ni tatizo sugu serikaliniTatizo mawasilianooo hawakuchukua jukumu la haraka kuwataaarifu walajii
Hata maisha ya kawaida / mahusianoo taarifaa mapema ata ka umechaipia uwongoo guruduuu linasogea na kupunguza magomvi