Maji kuisha kwenye tank bila kutumiwa

Maji kuisha kwenye tank bila kutumiwa

H
Maji hayawezi rudi Idara ya Maji kwa kuwa pipe ya kuingiza maji kwenye Tank lazima itakuwa iko juu ya Tank hivyo hayawezi rudi mpaka yaishe kwenye Tank. Nafikiri kutakuwa na leakage kwenye mabomba yanayotoa maji toka kwenye Tank
Huyu yuko na hoja ya kifundi, inlet iko juu out let iko chini sasa yanarudije? Aangalie anakoruhusu maji kwenda ama housegirl anauza maji hujui?
 
Ikiwa Mimi ni fundi bomba kwa tatizo kam hilo ni kwamba kwenye meter kuna kifaa kinaitwa RETURN VALVE inawezekana kimekufa na kazi yake ni kuzuia maji yaliokwenye mfumo wa ndani yasirudi nyuma......kwa kesi iyo ni kwamb either return valve imekufa au haipo kabisa ndo shida iyo tumesolve sana izo mambo
 
Back
Top Bottom