..Malaysia walipata uhuru 1963.
..Singapore walipata uhuru 1965 baada ya kujitenga na Malaysia.
..Nchi hizo zimepata maendeleo makubwa kuliko Tanganyika iliyopata uhuru 1961.
Sijafanikiwa hata kumaliza nursery school badoKwenye kuchambua hatua za maendeleo ya nchi uwoga sio factor.
Umefanikiwa hata kumaliza kidato cha nne?
Nchi ni USA Texas ni jimbo ambalo kwa Kwetu ni kama mkoa tu kwa hadhi achana na swala la ukubwaTexas siyo mkoa ni Nchi Kama ilivyo Tanganyika sawa dogo acha kuharibu kwa kuifananisha Texas na mkoa
Na hii itawatesa sana USA mpaka mjute wafuasi wakeUnaelewa maana ya "major disaster"?
Nchi ni USA Texas ni jimbo ambalo kwa Kwetu ni kama mkoa tu kwa hadhi achana na swala la ukubwa
Nchi ni USA Texas ni jimbo ambalo kwa Kwetu ni kama mkoa tu kwa hadhi achana na swala la ukubwa
Beberu sio watu wale hawa faiNgoja watetezi wake waje
Wapo waumini wake wengi sana, kwao kila kilicho cha beberu ndicho sahihiBeberu sio watu wale hawa fai
Beberu sio watu wale hawa fai
Hawa wengi ni watoto wa 90Wapo waumini wake wengi sana, kwao kila kilicho cha beberu ndicho sahihi
Ya beberu la kichina mkuu sio la Marekani apa nina sema asante mchinaHapo ulipo umejaa chanjo za mabeberu mwili mzima na unatumia simu ya mabeberu kuandika huu upupu wako.
Ingekuwa Afrika ingewekwa front na media za kimataifa na kila dakika breaking news
View attachment 1707231
CBS NEWS
Wakati Mbunge Edward Cruz akishutumiwa vikali kwa kujijali mwenyewe na familia yake kwa kuwakimbia wananchi wenye majanga kwenda safari ya mapumziko kisiwani Cancun Mexico maelfu ya wakazi mkoani Texas Marekani wamejikuta hawana maji kufuatia mabadilko makubwa ya tabia nchi.
Baadhi ya wananchi wamelazimika kuokota barafu na kuchemsha ili kupata maji kwa ajili ya matumizi ya msingi.
Kukatika kwa maji mkoani Texas kunakuja siku chache baada ya kutamalaki kwa mgao wa umeme uliotangazwa na Shirika la Ugavi wa Umeme mkoani humo kufuatia kuelemewa kwa mahitaji ya nishati hiyo katika gridi ya mkoa.
Katika majiji makubwa likiwemo la Houston mkoani humo raia weonekana wakipanga foleni kwa ajili kugawiwa maji ya chupa kwa hisani ya taasisi za misaada.
View attachment 1707239
Mbunge Cruz ambae alirejea nchini Marekani siku mbili baada ya mapumziko yake nchini Mexico alilazimika kuomba msaada wa ulinzi kutoka jeshi la polisi la uwanja wa ndege baada ya wananchi wenye hasira kali kutishia kumshushia kichapo.
View attachment 1707242
Ya beberu la kichina mkuu sio la Marekani apa nina sema asante mchina
Ingekuwa Afrika ingewekwa front na media za kimataifa na kila dakika breaking news
BBC, VOA, RFiMedia za kimataifa ni zipi kwako au unafikiri hiyo taarifa imekufikia kupitia wasafi TV?
Hoja yangu Afrika wanaangazia zaidi matatizo yetu, umaskini, picha zisizo na matumaini, njaa, Magonjwa, mafuriko...mbona BBC , CNN hawaripoti tukio hili, karibia wiki Texas hali ni hiyoMedia za kimataifa ni zipi kwako au unafikiri hiyo taarifa imekufikia kupitia wasafi TV?
Ndiyo ingekuwa wange tutabiria na vifoIngekuwa Afrika ingewekwa front na media za kimataifa na kila dakika breaking news
Hoja yangu Afrika wanaangazia zaidi matatizo yetu, umaskini, picha zisizo na matumaini, njaa, Magonjwa, mafuriko...mbona BBC , CNN hawaripoti tukio hili, karibia wiki Texas hali ni hiyo