Maji nayo yakatika mkoani Texas, Marekani, wananchi Wachota barafu kwa matumizi

Sasa fahamu maendeleo ni pamoja na kupewa chanjo ambazo zinakuzuia kufa mapema au kupata ulemavu wa kudumu, sio barabara na madaraja tu.
Beberu la Kimarekani limechelewesha Maendeleo yetu sana
 
H Hongera mkuu. Mtu mstaarabiu anasimamia hoja sio maneno ya kejeli. Inaonyesha namna elimu ilivyoshindwa kukutofautisha na ambaye hana, una uwezo mdogo wa fikra na uchambuzi wa mambo duniani. Unahamaki sababu huwezi kujenga au kutetea unachopost
 
Nchi ni USA Texas ni jimbo ambalo kwa Kwetu ni kama mkoa tu kwa hadhi achana na swala la ukubwa
Nani kakudanganya acha kupotosha Texas ni Nchi, USA ni muungano wa Nchi hizo 50+ siyo majimbo sawa kijana kasome uelewe vizuri,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…