Maji ya baraka ya (RC) vs maji ya upako ya (Mwamposa)

Maji ya baraka ya (RC) vs maji ya upako ya (Mwamposa)

Ezekieli 4:12 BHN

Utachukua mavi ya mtu, uwashe moto, uoke mkate, na kuula mbele ya watu.”
"Nawe utakila kama mkate wa shayiri, nawe utakioka mbele ya macho yao juu ya mashonde yatokayo katika mwanadamu". Hii ndiyo iliyoandikwa pale SICHO ulichoandika
 
Kuna vitu ni kweli kabisa unaweza jikuta unacheka tu. Nilikuwa bush moja hivi majira ya kuelekea pasaka waliweka hiyo hiyo movie ya Brian decon kupitia projector uwanjani kiukweli nilisikitika watu wanalia kabisa wakati anapigwa misumari.

Sasa ile image ya Brian imeshaganda katika fikra za watu wakimtazama kama Yesu katika maono ndiyo mwisho wa siku mtu anakwambia kamuona Yesu live. Aisee
 
Ndugu wanajamii, kuna utofauti upi wa kiimani Kati ya maji ya "baraka " na maji "ya upako"?

Je, tofauti pekee ni, yale mengine kuuzwa? Au kuna tofauti zingine za ziada?

Je, mkate wa Bwana na keki ya upako Vina tofauti gani?

Nashawishika kuamini kuwa bulldozer ana"copy" vitu upande wa "kanisa katoliki" na kuvi"modifai".

Je kuna uhusiano upi hapo juu?

Nawakaribisha wajuzi wa mambo watudadavulie!
Gambe la upako bado hajalikopi tu?
 
Logical non sequitur.

Kwanza hujathibitisha kuwa kulikuwapo na Adam na Hawa.

Pili, hata ukithibitisha kuwa Adam na Hawa walikuwapo, hujathibitisha kwamba waliumbwa na Mungu.

Yani ni hivi, hata ikiwa watu wa kwanza hawakutoka kwenye vacuum, huo si uthibitisho kwamba wameumbwa na Mungu.

Na kama unaona swali la "wametoka wapi, wametoka kwenye vacuum" ni muhimu, hata huyo Mungu naye naweza kukuuliza "Mungu naye katoka wapi, katoka kwenye vacuum"
Mkuu, wewe unasemaje kuhusu utata huu? Vitu vilijitokeza vyenyewe tu bila kuwa na mwezeshaji? Kuna theory yoyote inayoelezea vitu kujizalisha pasipo chanzo? Na kama hakuna kitu kinachoweza kujizalisha chenyewe, basi utuambie chanzo chake ni nini?
 
Kwanini ni nabii wa uongo?
Unataka kujua ni WA UONGO vipi?

Njia ya kwanza, Chukua audio au video YouTube au sikiliza mahuburi yake muda ambao Huwa unaenda kulala,

Iache video au sauti ya redio ya mahuburi ikiwa on, ukipitiwa na USINGIZI Ukiwa unaisikiliza,

Utaweza kuingia katika Ulimwengu wa Roho na utakutana naye live.

Utakachikiona au kikisikia akuambiacho, mwonekano wake, matendo yake katika Ulimwengu huo, yapime Kwa neno la Mungu.

Ukiona yafuatayo, pigia mstari kuwa ni WA UONGO.

1. Ukimwona tu uchi na anakufuata azini nawe.

2. Ukimwona ana hasira anapambana nawe.

3. Tizama mavazi ,RANGI na mwonekano wake, ikiwa Yu uchi au amevaa black, pigia mstari.

4. Ukionyeshwa ametangulia mbele mnaelekea msituni.

5,6,7.......

Ikiwa ni WA kweli utaona yafuatayo.

1. Ukiwa kwenye maombi utamwona akija kukusaidia katika vita.

2. Mavazi yake na mwonekano wake ni WA furaha, na mavazi MEUPE.

3. Amani ndani Yako. Kwa lolote utakalokiona, ukipata Amani, jua ni WA kweli, ukihisi analeta hatari stuka.

,4,5,6,7.......

Anyway unaweza kuona tofauti na niliyoandika lakini ni vizuri kushare na watu wajuao Ili usaidiwe sawa na maandikiko.

NB: Wapo wanaosali Kwa manabii wa UONGO na hawajui, na hawana kosa, ila ni vizuri kumuuliza Mungu ikiwa upo Mahali sahihi au la.

Blessed be u. Amen
 
Back
Top Bottom