Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endapo jamii itaelewesha kuhusu imani na namna ya kuishi na imani zao basi mambo mengi sana yatapungua. Wengi wetu sasa hivi wanaamini mtu kuliko walichotakiwa kuamini.Tunafanyaje sasa?
Uelekeo wa loliondo kwa wachoma mbuziWapi huko?
Dini yao inajitetea yenyewe, hizi nyingine ndio wanatetea kwa upanga.Ngoja RC waje hapa,
Hueleweki mara unasema hayauzwi sio lazima ununue,mara yanauzwa kwakuwa kuna gharama sijui mabomba sijui nini,au upo kwa mwamsposa umeanza kupandisha pepoKwa bulldozer maji sio lazima ununue hata ya nyumbani na mafuta ya nyumbani hujalazimishwa kununua ni kuwa na imani tu.
kwahiyo mkuu maji ya chimbwe yatibiwe yawe na ubora wafanyakazi walipwe mabobo yatengenezwe , usafiri umeme, label halafu upewe bure.
Yeye atakuwa analima wapi hizo hela.
Hapana, siyo wote waongo. Maadhimisho ya ibada ya RC ni maudhui yatokanayo na dhima nzima ya kumwabudu Mungu wetu.Wote waongo tu.
Wote waongo kwa sababu huyo Mungu hayupo.Hapana, siyo wote waongo. Maadhimisho ya ibada ya RC ni maudhui yatokanayo na dhima nzima ya kumwabudu Mungu wetu.
Tunafanya kama Kristo Yesu alivyofanya kumwabudu Mungu. Wote tunajua ya kuwa Yesu Kristo alipokuwapo duniani, aliingia hekaluni kwa ajili ya kuabudu, nasi tunaingia makanisani kwa ajili ya kuabudu.
Adhimisho la ekaristi takatifu ni tukio lililofanyika siku ya Alhamisi Kuu, ambapo alimega mkate na akawapa wanafunzi wake, na kuwaambia, fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.
Wakati fulani imani inaiingiliana na saikolojia. Watu huweza kupindisha ukweli na kufanya jambo linaloelekeana na jambo la msingi, hapo ni jukumu la walengwa kung'amua ukweli ulivyo.
Umeelewa maana ya mstari huuEzekieli 4:12 BHN
Utachukua mavi ya mtu, uwashe moto, uoke mkate, na kuula mbele ya watu.”
We nae huna jipya kila siku na swali lako hiliWote waongo kwa sababu huyo Mungu hayupo.
Kama unabisha, nakuuliza swali rahisi tu, thibitisha huyo Mungu yupo.
Ukiwa mvivu wa kuyajua maandiko bure utakayajua kwa kuyalipiaEndapo jamii itaelewesha kuhusu imani na namna ya kuishi na imani zao basi mambo mengi sana yatapungua. Wengi wetu sasa hivi wanaamini mtu kuliko walichotakiwa kuamini.
Mtafute shehe mwaipopo atakuuziaYanapatikana wapi?
😅😅 Nicheke nikalale ......ehee uzima wa milele ni upiKuna utofauti mkubwa sana Bwaaa shekhe.
1. Maji ya Baraka hayauzwi ili hali yale ya upako yanauzwa.
2. Maji ya Baraka sio mali ya mtu, ili hali yale ya upako ni mali ya Mwamposa.
3. Maji ya Baraka yana nguvu ya Mungu, ili hali yale ya Upako hayana nguvu ya Mungu bali binadamu na ndio Maana yanauzwa.
Kuhusu Sakramenti na vimikate vingine.
1. Sakramenti ya Ekaristi Takatifu ni mwili kweli na damu kweli ya Bwana wetu Yesu Kristo, ili hali Mikate hiyo mingine ni Mikate tu kama Mikate.
2. Sakramenti ya Ekaristi Takatifu inatupa Uzima wa Milele, Wakati Mikate hiyo mingine haina uwezo huo.
3. Sakramenti ya Ekaristi Takatifu ni Kwaajili ya Wakristo Wakatoliki, tena waliojiandaa yaani wamejitakasa kwa toba na matendo mema, ili hali Mikate hiyo mingine inaliwa na yeyote bila kujali dini yake wala hali yake Kiroho.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Kwani Pana dhehebu linaabudu sanamuMaji yetu Katoliki na hayo ya Mwamposa plna Tonny Kapola hayana shida ila tatizo linakuja pale Mtu anapoacha kumwabudu Mungu anabaki na Maria
Maria ni mwanadamu tu na baada ya kumzaa Yesu aliendelea na masiha kawaida na bwana ake na alipata watoto wengine: Kuendelea kumuita bikra ni uongo.
Lakini walokole kama TAG nawakubali kwakuwa hawana mambo ya sanamu wala maji ya upako.
Siri ya Imani anayo mwenyeweNimeskia Chumvi ya upako!!
Kuthibitisha kuwa Mungu yupo ni rahisi (kama ulivyouliza swali rahisi). Tutabase zaidi kwenye logic; wewe kuwepo duniani, chanzo ni wazazi wako, ukifuatilia mlolongo huo, mwisho wa siku utakuja kuona chanzo cha binadamu ni Adam na Hawa. Sasa hebu niambie, chanzo cha Adam na Hawa ni nani? Did they come from vacuum?Wote waongo kwa sababu huyo Mungu hayupo.
Kama unabisha, nakuuliza swali rahisi tu, thibitisha huyo Mungu yupo.
Unatakaje jipya wakati la zamani hujalijibu?We nae huna jipya kila siku na swali lako hili
Logical non sequitur.Kuthibitisha kuwa Mungu yupo ni rahisi (kama ulivyouliza swali rahisi). Tutabase zaidi kwenye logic; wewe kuwepo duniani, chanzo ni wazazi wako, ukifuatilia mlolongo huo, mwisho wa siku utakuja kuona chanzo cha binadamu ni Adam na Hawa. Sasa hebu niambie, chanzo cha Adam na Hawa ni nani? Did they come from vacuum?
Kuna muujiza huku!!Apostooooooo