Maji ya baraka ya (RC) vs maji ya upako ya (Mwamposa)

Maji ya baraka ya (RC) vs maji ya upako ya (Mwamposa)

Kuna utofauti mkubwa sana Bwaaa shekhe.

1. Maji ya Baraka hayauzwi ili hali yale ya upako yanauzwa.

2. Maji ya Baraka sio mali ya mtu, ili hali yale ya upako ni mali ya Mwamposa.

3. Maji ya Baraka yana nguvu ya Mungu, ili hali yale ya Upako hayana nguvu ya Mungu bali binadamu na ndio Maana yanauzwa.

Kuhusu Sakramenti na vimikate vingine.

1. Sakramenti ya Ekaristi Takatifu ni mwili kweli na damu kweli ya Bwana wetu Yesu Kristo, ili hali Mikate hiyo mingine ni Mikate tu kama Mikate.

2. Sakramenti ya Ekaristi Takatifu inatupa Uzima wa Milele, Wakati Mikate hiyo mingine haina uwezo huo.

3. Sakramenti ya Ekaristi Takatifu ni Kwaajili ya Wakristo Wakatoliki, tena waliojiandaa yaani wamejitakasa kwa toba na matendo mema, ili hali Mikate hiyo mingine inaliwa na yeyote bila kujali dini yake wala hali yake Kiroho.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app

Sipendi tabia ya padre kunywa mvinyo peke yake,huo ni uchoyo kristo aliwapa wanafunzi wake wanywe bila kuwachovyea kama wafanyavyo mapadre
 
Sipendi tabia ya padre kunywa mvinyo peke yake,huo ni uchoyo kristo aliwapa wanafunzi wake wanywe bila kuwachovyea kama wafanyavyo mapadre
😂😂😂😂😂😂😂 anakunywa peke yake?
 
Kuna utofauti mkubwa sana Bwaaa shekhe.

1. Maji ya Baraka hayauzwi ili hali yale ya upako yanauzwa.

2. Maji ya Baraka sio mali ya mtu, ili hali yale ya upako ni mali ya Mwamposa.

3. Maji ya Baraka yana nguvu ya Mungu, ili hali yale ya Upako hayana nguvu ya Mungu bali binadamu na ndio Maana yanauzwa.

Kuhusu Sakramenti na vimikate vingine.

1. Sakramenti ya Ekaristi Takatifu ni mwili kweli na damu kweli ya Bwana wetu Yesu Kristo, ili hali Mikate hiyo mingine ni Mikate tu kama Mikate.

2. Sakramenti ya Ekaristi Takatifu inatupa Uzima wa Milele, Wakati Mikate hiyo mingine haina uwezo huo.

3. Sakramenti ya Ekaristi Takatifu ni Kwaajili ya Wakristo Wakatoliki, tena waliojiandaa yaani wamejitakasa kwa toba na matendo mema, ili hali Mikate hiyo mingine inaliwa na yeyote bila kujali dini yake wala hali yake Kiroho.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Big up mkuu. Uko vizuri sana.
 
Ni kucheza na akili za watu wavivu wa fikra ambao ni wepesi wa kuamini kwa njia nyepesi zaidi kuliko kujishughulisha wao kama wao.
 
Ndugu wanajamii, kuna utofauti upi wa kiimani Kati ya maji ya "baraka " na maji "ya upako"?

Je, tofauti pekee ni, yale mengine kuuzwa? Au kuna tofauti zingine za ziada?

Je, mkate wa Bwana na keki ya upako Vina tofauti gani?

Nashawishika kuamini kuwa bulldozer ana"copy" vitu upande wa "kanisa katoliki" na kuvi"modifai".

Je kuna uhusiano upi hapo juu?

Nawakaribisha wajuzi wa mambo watudadavulie!
😆
 
Ni kucheza na akili za watu wavivu wa fikra ambao ni wepesi wa kuamini kwa njia nyepesi zaidi kuliko kujishughulisha wao kama wao.
Yapi unayaita feki ya RC, ya Mwamposa au ya Zamzam?
 
Yapi unayaita feki ya RC, ya Mwamposa au ya Zamzam?
Sijayaita feki yoyote kati ya hayo, ila shida ni imani za watu siku hizi zimekuwa za kuaminishwa na vitu rahisi zaidi kuliko wanavyofikiri wao.
 
Ndugu wanajamii, kuna utofauti upi wa kiimani Kati ya maji ya "baraka " na maji "ya upako"?

Je, tofauti pekee ni, yale mengine kuuzwa? Au kuna tofauti zingine za ziada?

Je, mkate wa Bwana na keki ya upako Vina tofauti gani?

Nashawishika kuamini kuwa bulldozer ana"copy" vitu upande wa "kanisa katoliki" na kuvi"modifai".

Je kuna uhusiano upi hapo juu?

Nawakaribisha wajuzi wa mambo watudadavulie!
Maji yetu Katoliki na hayo ya Mwamposa na Tonny Kapola hayana shida ila tatizo linakuja pale Mtu anapoacha kumwabudu Mungu anabaki na Maria
Maria ni mwanadamu tu na baada ya kumzaa Yesu aliendelea na masiha kawaida na bwana ake na alipata watoto wengine: Kuendelea kumuita bikra ni uongo.
Lakini walokole kama TAG nawakubali kwakuwa hawana mambo ya sanamu wala maji ya upako.
Muaminini Yesu achaneni na Maji.
 
Sijayaita feki yoyote kati ya hayo, ila shida ni imani za watu siku hizi zimekuwa za kuaminishwa na vitu rahisi zaidi kuliko wanavyofikiri wao.
Nimeskia Chumvi ya upako!!
 
Maji yetu Katoliki na hayo ya Mwamposa na Tonny Kapola hayana shida ila tatizo linakuja pale Mtu anapoacha kumwabudu Mungu anabaki na Maria
Maria ni mwanadamu tu na baada ya kumzaa Yesu aliendelea na masiha kawaida na bwana ake na alipata watoto wengine: Kuendelea kumuita bikra ni uongo.
Lakini walokole kama TAG nawakubali kwakuwa hawana mambo ya sanamu wala maji ya upako.
Ngoja RC waje hapa,
 
Back
Top Bottom