bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Hivyo uishia Duniani kule hakuna kula Wala kunywaNimecheka sana,Kwa hiyo kwa Mungu tutakuwa tunakula mkate wa uzima na damu ya Yesu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo uishia Duniani kule hakuna kula Wala kunywaNimecheka sana,Kwa hiyo kwa Mungu tutakuwa tunakula mkate wa uzima na damu ya Yesu?
Nitajie wa kweli ili tuwajue.Naelewa kabisa,
Huyo ni Nabii wa uongo, agent wa kuzimu.
Na upanga u juu yake, ni suala la muda tu.
Nabii Tito ni gugu linamea pamoja na nganoMbona huulizii pombe za mchungaji Tito??
Ni hadi uvune ngano kwanza kwa Sasa acha magugu na ngano viote pamojaNitajie wa kweli ili tuwajue.
NB: Mwamposa sio nabii.
Mtume Meshach wa UKWELI ministry, Amiel Katelela, Mwakasege, Mch Misholi, Mch Maghembe, Askofu Gwajima, Mch Gamanywa , nk nk.Nitajie wa kweli ili tuwajue.
NB: Mwamposa sio nabii.
Ni hadi uvune ngano kwanza kwa Sasa acha magugu na ngano viote pamoja
Mponyaji ni Mungu kwa neno lake tukiishaamini bila ya hata kupitia vitu au watu.Ndugu wanajamii, kuna utofauti upi wa kiimani Kati ya maji ya "baraka " na maji "ya upako"?
Je tofauti pekee ni, yale mengine kuuzwa? Au kuna tofauti zingine za ziad!
Mkuu umenifanya nipaliwe askofu gwajima?Mtume Meshach wa UKWELI ministry, Amiel Katelela, Mwakasege, Mch Misholi, Mch Maghembe, Askofu Gwajima, Mch Gamanywa , nk nk.
Pia usisubiri kutajiwa, wapo wengi, Muulize Roho mtakatifu atathibitisha.
Hakunaga vitu kama hivyo.Ndugu wanajamii, kuna utofauti upi wa kiimani Kati ya maji ya "baraka " na maji "ya upako"?
Muulize Roho MTAKATIFU atathibitisha.mkuu umenifanya nipaliwe askofu gwajima????
kila mtu aamini anavyoamini njia yetu ni moja kwenda mbinguni.
Sasa tutakuwa tunaishije,si tutakufa na njaaHivyo uishia Duniani kule hakuna kula Wala kunywa
Huwa nasubiri siku ya mwisho nione watu watakavyoumbukaMtume Meshach wa UKWELI ministry, Amiel Katelela, Mwakasege, Mch Misholi, Mch Maghembe, Askofu Gwajima, Mch Gamanywa , nk nk.
Pia usisubiri kutajiwa, wapo wengi, Muulize Roho mtakatifu atathibitisha.
Kuna muujizaApostooooooo
Davie wa UONGO, Gwajima ni WA Kweli.Gwaji Boy nkono wa Baunsa nae ni wa kweli
Acha nabii nkuu nae awe nkweli
Political Pastor.Davie wa UONGO, Gwajima ni WA Kweli.
Uliwahi nunua mafuta au maji ya upako fake pale Kwa Gwajima?
MFALME DAUDI alikuwa Nabii pia.Political Pastor.
Hiyo haipoMFALME DAUDI alikuwa Nabii pia.
Nabii anapoonya na kupuuzwa, huingia kurekebisha, Maana hao ndo wamekabidhiwa Nchi.