Maji ya baraka ya (RC) vs maji ya upako ya (Mwamposa)

Maji ya baraka ya (RC) vs maji ya upako ya (Mwamposa)

kwa bulldozer maji sio lazima ununue ata ya nyumbani na mafuta ya nyumbani hujalazimishwa kununua ni kuwa na imani tuu.

kwaiyoo mkuu maji ya chimbwe yatibiwe yawe na ubora wafanyakazi walipwe mabobo yatengenezwe , usafiri umeme, label alafu upewe bure. yeye atakuwa analima wapi hizoo hela.
Waeleze waelewe......
 
Ndugu wanajamii, kuna utofauti upi wa kiimani Kati ya maji ya "baraka " na maji "ya upako"?

Je tofauti pekee ni, yale mengine kuuzwa? Au kuna tofauti zingine za ziada. Je, mkate wa Bwana na keki ya upako Vina tofauti gani?

Nashawishika kuamini kuwa bulldozer ana"copy" vitu upande wa "kanisa katoliki" na kuvi"modifai".Je kuna uhusiano upi hapo juu?

Nawakaribisha wajuzi wa mambo watudadavulie!
Mbona umesahau maji ya zamzam?
 
Mi ni mkristo ila nimecheka jinsi ambavyo hukuzingatia mafundisho ya kipaimara.Eti damu kweli na mwili kweli!!!! Mwenyewe Aliumega Mkate akawapa akisema.....fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.
Ule ni mfano wa kukumbuka.Tungekuwa tunakula mwili wake wa ukweli tangu enzi hizo si huo mwili ungekuwa umeisha? Kha!
Km wewe ni Mkristo,basi ni Mkristo bogas aka zuzu au zezeta,kuwa Mkristo tu haitoshi,Lazima uwe na Elimu ya kina Kuhusu Mambo hayo.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Nimecheka sana,Kwa hiyo kwa Mungu tutakuwa tunakula mkate wa uzima na damu ya Yesu?
Mtume Paulo alifundisha kuwa Ufalme wa Mungu si habari za kula na kunywa, tena mfalme Daudi alidokeza kuwa tukifufuliwa tutashibishwa kwa kuutazama uso wa Mungu milele yote
Sasa tutakuwa tunaishije,si tutakufa na njaa

Huwa nasubiri siku ya mwisho nione watu watakavyoumbuka
 
Mtume Paulo alifundisha kuwa Ufalme wa Mungu si habari za kula na kunywa, tena mfalme Daudi alidokeza kuwa tukifufuliwa tutashibishwa kwa kuutazama uso wa Mungu milele yote
Uelewa wako juu ya Maandiko Matakatifu ni Mdogo sana.Ukiwa mkubwa utanielewa na kisha utakuja kunishukuru.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Mtume Paulo alifundisha kuwa Ufalme wa Mungu si habari za kula na kunywa, tena mfalme Daudi alidokeza kuwa tukifufuliwa tutashibishwa kwa kuutazama uso wa Mungu milele yote
Basi maisha ya duniani ni mazuri kuliko ya peponi, huku tunakokula kunywa na kufanya mapenzi.

Isingekuwa kunakufa nisingeenda mbingu ningejibakia tu dunia,
 
YESU ni Kuhani Mkuu...

Sipendi kuwasema wapakwa mafuta wa Bwana, ila kifupi tu Kuhani Musa ni mtumishi anayetumiwa na Bwana...

Namshukuru Mungu hata mimi kwa kupitia mafundisho ya neno la Mungu kwa Kuhani Musa nimekuwa na nguvu za Rohoni...

Ninaouwezo wa kujua kuwa mtumishi huyu ni wa Bwana kwa kupitia Roho Mtakatifu..

Na mambo yajayo...

Bwana YESU atukuzwe
Hivi mnajua jinsi mitume wa Mungu walivyotabiliwa toka kuzaliwa, siyo hawa wajanjawajanja wanaotapeli watu, kumbuka Yohana mbatizaji, Mussa mpaka Yessu na wengine
 
Basi maisha ya duniani ni mazuri kuliko ya peponi, huku tunakokula kunywa na kufanya mapenzi.

Isingekuwa kunakufa nisingeenda mbingu ningejibakia tu dunia,
Unalinganisha kushiba kwa kula mnofu wa nyama ya tumbili, mamba au kitimoto dhidi ya kushiba kwa kuutazama USO wa Mungu?
 
Unalinganisha kushiba kwa kula mnofu wa nyama ya tumbili, mamba au kitimoto dhidi ya kushiba kwa kuutazama USO wa Mungu?
heri nibaki dunia, au niende nikijua kutakuwa na wanawake mabikira, mito ya pombe, matunda manyama ya kila aina, hapo sawa
 
heri nibaki dunia, au niende nikijua kutakuwa na wanawake mabikira, mito ya pombe, matunda manyama ya kila aina, hapo sawa
Unataka mito ya pombe ili ukilewa uanze kumtukana muumba kwa kukuchagulia mabikra wasio na mizigo ilhali mwenzako wamempa wale wa maumbo ya kibantu
 
Back
Top Bottom